Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

Wanaume mnaofika kileleni mapema mnakera sana

wadada wengi naomba niwaambie kitu kimoja

mna fantasy world flani amaizing ila sasa mnapo fwata kuitimiza iyo fantasy world yenu ndo mnapo bugi..

ukimuona mkaka insatgram/ ffb / au kazini kishalo balo full kunukia ana swagga nini mnakua easily subjected kumegwa nao kuliko sisi wakimya ambao hatuna makuu wala hatushindi ma raphsody n.k/...
sasaa ao wenye swaga ndo matokeo yake..ukimpa ngoma acheze anaishia kutoa udenda
my take dont fall easily by the looks, thats not the whole package.
take care..
N.B target kwenye ndoa zaid , dunia imechafuka..usidonoe donoe ovyo
 
Kweli wanawake ka weye hamstahili kuwepo humu duniani kabisaaaa. Sijakuchukia ila nimekudharau tuu iishilie mbali. Hebu fikiri, mambo hayo hufanywa na watu 2 tu kistaarab. Sasa umeshindwa kumwambia kuwa mbona weye unachokaga haraka kuliko jamaa flan alini do juzi kati mpaka nikajisikia. Unakimbilia keyboard ati wanaume hawajui kitu.
Umewajaribu wangapi?? Ulimlinganisha na nani?? Usidharau dada. Kuna watu tena vyao ni vibamia tu lakini, watundu mfano wake hakuna. Utatoka hapo hadi umesahau kyupi kwake.
Unajikuta umemsumbua weeee masaa 8 utadhani ameomba umkatie kipande ndio ufikiri kabla. Ukija toa kyupi jamaa kishajichafua boxer haifai hata kutembea hadi afike kwao kubadili. Akija kuona alichokuwa analilia mda wote huo, La haulla lakwat!! Kumbe, mshimoooo hata akitumbukiza ni ka mswaki ndani ya meno ya mamba. Unataka nini?? Weye upo tiyari kumridjisha??
Kwenye hilo game hakuna kutegeana, ndo maana tunasema tunafanya yaani weye unafanya nami nina fanya. Kwa heriii
 
Unatoa ushirikiano? isijekua kila unapoguswa hutaki ukigeuzwa Hivi hutaki!
Maana warembo wengine wanaboa kishenzi ukipeleka mkono utasikia aah usishike huko
ukimkunja hivi utasikia aah! nnamshono ok geuka hivi utasikia hivyo siitaki sijazoea sasa unatakaje jiachie uone kazi
utaipenda tu ukinyooka kama mende nami nanyooka dakika sifuri nasepa naenda kunyoosha mbavu mbele huo kwa wasio kua wavivu
Kinachonifanya nipende zaid JF ni vituko kama hivi. Mnanifurahisha sana wakuu.

Contrary to what u said, sion sababu ya kuwa na mtu hajui mapenz na bado hana hela. At least bas awe na kimoja
 
Jamani mwanaume unatia aibu romans hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika sifuri chali.Mapenzi ni raha na sio karaha ya kuchafuana kwa bao la dakika sifuri, khaaa! Stukeni jamani.
Kweli lakini ndio mana mimi hua kama nachinja mtu hua sina huruma
 
Kuna kitu lazima tujue
Kuwahi kufika kileleni huwa inategemeana na slope ya eneo hilo...

Kama mlima ni kama wa kilimanjaro au meru kileleni ni wiki ila kama ni hizi tambarare zetu zenye vichuguu ni sekunde yaani ni kupanda na kushuka kama mchezo vile..
 
How much air time do you want? It seems your clever than him in the battle. why dont you teach your partner how to make you happy????.
 
mtamu sasha kuna watu wanajifanya kuna vitu wanaviogopa lakini kiukweli kumbe kuna wanavyovifanya wao ukivijua utasikitika.
Hahaaa n kweli mkuu wanajifanya innocent mbele ya watu kumbe ndani mmmh
 
Back
Top Bottom