Heeee saivi hakuna mzuri wala mbaya wote tunaombwaa pesaaa wanaume mmekuwa ombaomba mxeeewHio ndio sababu unaombwa pesa coz ungekuwa mzuri ungehongwa...so Jamaa kafuata papuchi tu na hela coz wewe humvutii zinamvutia pesa zako...
Kibao kimegeuka siku hizi heheheh wanaume wa Dar shikilieni hapohapo
how young are you madame??Wewe baba usinizeeshe tafadhali
mimi nitakuwa nakupa hela kutwa mara tatu.Eeeh unataka niwe mkwe wako kwan maana mm unanizaa so jiongeze mwenyewe
Kasoro mm humu insta babe ndio sina hela hapa najiandaa kuja kukuomba
Kijana upoNina swali [la kijinga].
Huwa napenda kujua majina ya watu yanavyotamkwa kwa sababu si mara zote hutamkwa vile yanavyoandikwa.
Hilo jina lako, Shunie, linatamkwaje?
Linatamkwa ‘Shuni’ bila hiyo ‘e’ hapo mwishoni?
Au linatamkwa ‘Shunie-e’ na hiyo ‘e’ hapo mwishoni?