Mmezidi sana nimewavumulia nimechoka mmezid sana kuomba mxeeew
Yani mwanamme akijua una kazi tu inayoingiza mshahara mwisho wa mwezi atakusifia hata kama sura lako baya Ili mradi akuingize laini akutapeli.
Mambo ya kuombana hela mm sitak bhn agggr.
Nimesema sitak kuombwa pesaaa .
Nilipokuwa sna kazi hata sm ulikuwa hupigi saivi umejua Nina kazi simu kila saa unanisifia Nina umbo namba nane wakat najijua mm ni mbaya alafu hapohapo unaniomba hela mxeeew
Demiss mahela .
Ndo mimiDuuuh nimewahi kuishi maeneo flan na binti mmoja alikua anaitwa agata edward......ana kaka zake ndo walikua rafki zangu.......sjui ni wewe mwenyewe!!??
Poamambo
Kwani kumsaidia pesa akupendea ni kosa?,amwombe nani sasa wakati mnatakiwa kusaidizana pale panapohitajika!Mmezidi sana nimewavumulia nimechoka mmezid sana kuomba mxeeew
Yani mwanamme akijua una kazi tu inayoingiza mshahara mwisho wa mwezi atakusifia hata kama sura lako baya Ili mradi akuingize laini akutapeli.
Mambo ya kuombana hela mm sitak bhn agggr.
Nimesema sitak kuombwa pesaaa .
Nilipokuwa sna kazi hata sm ulikuwa hupigi saivi umejua Nina kazi simu kila saa unanisifia Nina umbo namba nane wakat najijua mm ni mbaya alafu hapohapo unaniomba hela mxeeew
Demiss mahela .
Poa....bado mpo mbeyaNdo mimi
HahaaWewe nae umerudi na upuuzo wako, shenzi type..!
Hahaahii ni kiki tu huna pesa ya kuombwa wewe
Hahaa jf bwanamwanamke mzee au m'baya lazima aombwe pesa na wanaume.
HahaaUwe na adabu pumbav..sio wanaume wote wako hivyo ...kama umeombwa pesa be specific umtaje na jina lake na anapoishi sio unafanya jumla wengine tuna heshima zetu shika adabu
Natania sio MimiPoa....bado mpo mbeya