agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,391
Mwaanake kaumbwa kumtegemea mwanaume.hii tabia ya kujifananisha na wanawake inaongeza mashoga kwa kasi.Kwani mwanamke kuomba hela si aibu? Demiss
Mwaanake kaumbwa kumtegemea mwanaume.hii tabia ya kujifananisha na wanawake inaongeza mashoga kwa kasi.Kwani mwanamke kuomba hela si aibu? Demiss
Mwaanake kaumbwa kumtegemea mwanaume.hii tabia ya kujifananisha na wanawake inaongeza mashoga kwa kasi.
Mwanaume asili yake ni provider na sio receiver.Mkuki kwa nguruwe, I hope mshajua how it feels kuombwa ombwa hela na mwanamke Mzigua90
Sasa zana ya kumsaidia mwanaume mnataka kuifanya majukumuMwanamke kaumbwa kumsaidia mwanaume, isome biblia vizuri kwenye kitabu cha mwanzo agata edward
Ukweli mchungu kwa wanaume wa kizazi cha nyokaMwanaume asili yake ni provider na sio receiver.
Jana nimekutana na mtu akawa anatuambia na rafiki zangu tusije fanya kosa la kudate mwanaume ambae sio provider. Kudate na mwanaume maskini ni ujinga wetu wanawake. Na kama hakupi atampa mwenzio.
Neno likanichoma kabisa Hilo. Sasa mwanaume mwenzio anaongelea kumpa mwanamke hela kuwa ni lazima wewe unasema kuombwa inauma.
Wanaume wa Tz (hasa kizazi cha kuanzia 80's) hampendi kabisa majukumu. Kuweni kama wawest basiii. Yule mcameroon jana kaukosha moyo wangu rafiki yangu anae bahati sana wallah
NdioooooMwaanake kaumbwa kumtegemea mwanaume.hii tabia ya kujifananisha na wanawake inaongeza mashoga kwa kasi.
Ila wanasemaga pia hakuna mwanaume bahili inategemea anakuchukuliaje. Unaweza muona bahili kwako kwa mwenzio anazimwaga kama zoteeeee.Ukweli mchungu kwa wanaume wa kizazi cha nyoka
Mmezidi sana nimewavumulia nimechoka mmezid sana kuomba mxeeew
Yani mwanamme akijua una kazi tu inayoingiza mshahara mwisho wa mwezi atakusifia hata kama sura lako baya Ili mradi akuingize laini akutapeli.
Mambo ya kuombana hela mm sitak bhn agggr.
Nimesema sitak kuombwa pesaaa .
Nilipokuwa sna kazi hata sm ulikuwa hupigi saivi umejua Nina kazi simu kila saa unanisifia Nina umbo namba nane wakat najijua mm ni mbaya alafu hapohapo unaniomba hela mxeeew
Demiss mahela .
Kabisaa.Ila wanasemaga pia hakuna mwanaume bahili inategemea anakuchukuliaje. Unaweza muona bahili kwako kwa mwenzio anazimwaga kama zoteeeee.
Pole sanaTulieni kwanza dawa iingie.....nyie mnafikiriaga kwamba kuombwa ombwa hela ni raha utamu.......huu mchezo ni zam zam........
Pole sana
Duuuh nimewahi kuishi maeneo flan na binti mmoja alikua anaitwa agata edward......ana kaka zake ndo walikua rafki zangu.......sjui ni wewe mwenyewe!!??Pole sana
Mwanaume asili yake ni provider na sio receiver.
Jana nimekutana na mtu akawa anatuambia na rafiki zangu tusije fanya kosa la kudate mwanaume ambae sio provider. Kudate na mwanaume maskini ni ujinga wetu wanawake. Na kama hakupi atampa mwenzio.
Neno likanichoma kabisa Hilo. Sasa mwanaume mwenzio anaongelea kumpa mwanamke hela kuwa ni lazima wewe unasema kuombwa inauma.
Wanaume wa Tz (hasa kizazi cha kuanzia 80's) hampendi kabisa majukumu. Kuweni kama wawest basiii. Yule mcameroon jana kaukosha moyo wangu rafiki yangu anae bahati sana wallah
Sasa unahonga upendwe. Tofautisha kulazimisha kupendwa na kuhudumiaIshu ni kuwa wadada wengi wanatuomba hela kwa nia ya kutukomoa, na si kwamba wana shida kweli, in other cases unahonga wee una-date au unamuoa mdada ila ukiishiwa pesa unachekwa na kukimbiwa plus dharau juu. Au ushasahau ile thread yako yenye kichwa cha habari "Joyce kiria kuolewa ili kuendelea kuishi mjini" Mzigua90
Hahahahahahahahahahahaha..... Nimebakia kucheka.Mmezidi sana nimewavumulia nimechoka mmezid sana kuomba mxeeew
Yani mwanamme akijua una kazi tu inayoingiza mshahara mwisho wa mwezi atakusifia hata kama sura lako baya Ili mradi akuingize laini akutapeli.
Mambo ya kuombana hela mm sitak bhn agggr.
Nimesema sitak kuombwa pesaaa .
Nilipokuwa sna kazi hata sm ulikuwa hupigi saivi umejua Nina kazi simu kila saa unanisifia Nina umbo namba nane wakat najijua mm ni mbaya alafu hapohapo unaniomba hela mxeeew
Demiss mahela .
Mmezidi sana nimewavumulia nimechoka mmezid sana kuomba mxeeew
Yani mwanamme akijua una kazi tu inayoingiza mshahara mwisho wa mwezi atakusifia hata kama sura lako baya Ili mradi akuingize laini akutapeli.
Mambo ya kuombana hela mm sitak bhn agggr.
Nimesema sitak kuombwa pesaaa .
Nilipokuwa sna kazi hata sm ulikuwa hupigi saivi umejua Nina kazi simu kila saa unanisifia Nina umbo namba nane wakat najijua mm ni mbaya alafu hapohapo unaniomba hela mxeeew
Demiss mahela .