Wanaume mna tatizo gani?

Wanaume mna tatizo gani?

unatusingzia sio wote ila ukwel wangu nikikutana na dem hajui kujshughulsha kunako uwanja wa fund seremala mzuka huwa unakata kabsa hayo mambo yanahitaji ushirikiano kama vijana wa la masia ushindi lazma hebu jaribu kuonyesha ushirikiano
 
Inawezekana kweli vyakula vya kisasa ikawa tatizo lakini mi najiuliza, kwa nini hivi vyakula vya kileo viwaathiri wanaume tu? Au bayolojia hapo inasemaje? Inawezekana pia changamoto za maisha ya siku hizi zinachangia kwa kiasi fulani. Hata hivyo na nyie wanawake tupeni sapoti ya kutuninihii mnapoona hiyo hali siyo kulaumulaumu tuuu

Mkuu siku hizi kwa sehemu kubwa tatizo linasababishwa na stress za maisha na wala si vyakula.
 
Sure haya matatizo saiz yamezidi na suala c mazoezi ndo humfanya mtu kuwa active ila pia vyakula tunavyokula ni vyanzo vya matatizo ila pia msongo wa mawazo sometimes wanawake mnasababisha msongo

Sababu kubwa zaidi mi nafikiri ni msongo wa mawazo kutokana na hali ngumu ya maisha,
 
Mmh mtatuua sasa tutafute hela,mzitumie bila huruma,tupigane na foleni na nyie tuwaridhishe na tusipo waridhisha mtunange "the world is not fair"

Hahahaaa umeongea kwa huruma maskini!! Ndio uanaume huo sasa you have no choice, tafuta tu mtu mtakaeendana mpunguziane machungu.
 
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!

Hebu ni PM please
 
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!

Hayo ni matatizo yatokanayo na usharo. Mtoto wa kiume donna, kisamvu, samaki, kuku wa kienyeji, makande tena mahindi yasiyokobolewa mwanamke unatoka nduki.

Mimi wengi hawanielewi, nakula kienyeji kweli huwezi kunikuta na burger au chipsi kuku tena wa kizungu. Eti chipsi mayai kah!

Mtiti wake ndo usipime baada ya vyakula vyangu nawamudu hata wake sita bila malalamiko ya aina yoyote.
 
tatizo mnaangalia mtu mbavu nene mnahisi na game kla kitandani lipo hivo....reli hubeba treni try it
 
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!


Ulishawajaribu wote?
 
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!

Tatizo nyie wanawake mnaweweseka sana na vijanaume vyenye sura nzuri kama za kwenu mkidhani vinakila kitu kizuri kama sura zao na ndo vikishashindwa kula mzigo vizuri mnatujumuisha wanaume wote
 
Achana nae, tafuta anayekupelekesha hadi mabao kumi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom