Wanaume mna tatizo gani?

Wanaume mna tatizo gani?

Mnavaa vimini, nguo za kihayawani alafu mnategemea wanaume wawe fit kitandani hamu zote tushamalizia nje kwa macho ndo maana baada ya kimoja mtu hutaki tena maana hamna jipya mvuto upo likizo
 
Kunademu nilmpiga goli moja,kumshika tena anadai tulale kwanza.sasa mbona wenyewe hamueleweki?washamba tu!
 
wengi dar wanalelewa
waapena raha hawana hela wanaliwa kirahisiii
kuna mmoja ananivizi vizia nshamshtukia,,,
 
Tatizo mnadanganyika na wabeba nondo.wenye vitambi mnatudharau.
Vitambi oyeeeee
 
Hili tatizo inabidi tufunge na kuomba aisee..
Ukumbuke kuwa wakati mwingine trip ya pili inakuwa ni shida kutokana na harufu aidha kwa kuchanganya mabwana au kuvaa hivi vinguo vinavyoitwa ko.ndo.mu hasa wakati wa joto kama hivi sasa. Wanaume wengi hatuna ubavu wa kuwaeleza ukweli kuwa inakata stimu
 
Mimi nikipiga moja ukimaliza round lazima ufangashe virago vyako uende!Tatizo sio moja, mnaweza kumudu hata hilo 1 lenyewe???
 
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!

Dada ni pm nkusaidie shida yako
 
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!

Toa elimu sasa wafanyeje ili hali hyo istokee tena
 
Kweli jogoo hata umfiche pakachani ipo siku atawika tu... Hongera mama kwa kufunguka. Ila taarifa hizi mumeo/mpenzi wako anazo? Sio unatuambia sisi tu na mumeo hana habari zozote utakua unakosea. Mmulika nyoka huanzia miguuni.

Nimeipenda hii kaka
 
Mwanamke anamchango mkubwa sana wa kupunguza/kuongeza perfomance ya mwanaume kunako 6 kwa 6,kwahyo unapomlaumu mwanaume jitazame na wewe kwanza...au hujawah kusikia mwanaume anaweza kusex na mwanamke flan asiende hata round mbili,ila kuna mwanamke akikutana nae ni kwamba match inakua bab kubwa,mwanamke anajua kweli hapo amekunwa.

Especcially katika suala la USAFI, mwanamke msafi na mtundu kitandani atakufanya urudie round nyingi sana kuliko mchafu halafu gogo kitandani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom