Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,249
- 3,070
Mnavaa vimini, nguo za kihayawani alafu mnategemea wanaume wawe fit kitandani hamu zote tushamalizia nje kwa macho ndo maana baada ya kimoja mtu hutaki tena maana hamna jipya mvuto upo likizo
Wanawake tunahitaji mabadiliko.......:behindsofa:
Fanya uolewe, ngozi ya ndani ya K yako ita tepeta utadhani dekio.
Na sio ufahari kujisifu ujing.a hapa. Una kuta binti kama ww umegeuza K mtaji.
Kunademu nilmpiga goli moja,kumshika tena anadai tulale kwanza.sasa mbona wenyewe hamueleweki?washamba tu!
Hili tatizo inabidi tufunge na kuomba aisee..
Ukumbuke kuwa wakati mwingine trip ya pili inakuwa ni shida kutokana na harufu aidha kwa kuchanganya mabwana au kuvaa hivi vinguo vinavyoitwa ko.ndo.mu hasa wakati wa joto kama hivi sasa. Wanaume wengi hatuna ubavu wa kuwaeleza ukweli kuwa inakata stimuHili tatizo inabidi tufunge na kuomba aisee..
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!
Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.
Hebu badilikeni bwana!
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!
Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.
Hebu badilikeni bwana!
Kweli jogoo hata umfiche pakachani ipo siku atawika tu... Hongera mama kwa kufunguka. Ila taarifa hizi mumeo/mpenzi wako anazo? Sio unatuambia sisi tu na mumeo hana habari zozote utakua unakosea. Mmulika nyoka huanzia miguuni.
HIVI ni kwann huwa wanasema Nmechoka
Au huwa wanaona kwamba unamchezea tu
Mwanamke anamchango mkubwa sana wa kupunguza/kuongeza perfomance ya mwanaume kunako 6 kwa 6,kwahyo unapomlaumu mwanaume jitazame na wewe kwanza...au hujawah kusikia mwanaume anaweza kusex na mwanamke flan asiende hata round mbili,ila kuna mwanamke akikutana nae ni kwamba match inakua bab kubwa,mwanamke anajua kweli hapo amekunwa.
tuna nguvu imara za vitandani, hatuna haja ya ku boost miili yetu.Jaribu wa vijijini..
Ume panic bro