Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!
Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.
Hebu badilikeni bwana!
pole sana sintah yamekukuta mama
mi nikushauri ubadili kidogo kichwa cha habari hii na isomeke hivi "wanaume wa dar mlilogwa na nani?"
Pole sana Sintah yamekukuta mama
Mi nikushauri ubadili kidogo Kichwa cha Habari hii na isomeke hivi "Wanaume wa Dar mlilogwa na nani?"
Tuombe radhi wanaume wa dar
Inawezekana kweli vyakula vya kisasa ikawa tatizo lakini mi najiuliza, kwa nini hivi vyakula vya kileo viwaathiri wanaume tu? Au bayolojia hapo inasemaje? Inawezekana pia changamoto za maisha ya siku hizi zinachangia kwa kiasi fulani. Hata hivyo na nyie wanawake tupeni sapoti ya kutuninihii mnapoona hiyo hali siyo kulaumulaumu tuuu
Hii haina comeback wazee. Tukajipange tu.
Kwa mtazamo kama huu lazima wanawake wadai mabadiliko, lazima wanawake watuponde, anyway dogo mwanamke haridhiki kwa kupigwa vingapi,anaweza kuridhika hata bila kupigwa vingapi.Wewe unatoshelezwa na vingapi?
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!
Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.
Hebu badilikeni bwana!