Wanaume mna tatizo gani?

Wanaume mna tatizo gani?

Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!
Mabadiriko
 
Tatizo ni vyakula vya sikuhizi mwanaume mzima unashindia chips..usiku pia ugali wa sembe au chips lazima ukojoe kamoja ka pili ni shida unalazimisha uiweke wakati imelala..sikuhizi wanaume wengi ni wateja wa dawa za kuongeza nguvu za kiume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom