Wanaume mna tatizo gani?

Wanaume mna tatizo gani?

Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!

Aisee wanaume wengi uliokutana nao wapo hivo,we kiboko
 
hili swala saikologia pia ina husika unakuta dem first time tu mnakutana anakua mjuzi kma Ronaldo mpk mwanaume una hanya akili ina haha kukabiliana na Bundes liga
 
Pole sana Sintah yamekukuta mama
Mi nikushauri ubadili kidogo Kichwa cha Habari hii na isomeke hivi "Wanaume wa Dar mlilogwa na nani?"

Mbona wengine tupo dar na hatuna matatizo hayo? Nadhani sio lazima dar
 
Njooni mikoani mpate huduma maridhawa huku tumejaa wanaume wakazi tu, huko mijini wanaume wengi ni mashoga wengi wanagongwa kabla ya kugonga wewe unategemea Nini vike?
 
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!

Wanaume wengi??? hapa mjini???
 
Tiba na ushauri kwa vijana tumieni chai ya Tangawizi mtakuwa vizuri sana kwa wapenzi wenu hayo malalamiko yataisha na lazima akuulize ckuizi mbona uko hvyo! Huwezi kumaliza mapma.
 
Ni wanaume wachache ujikubali kuwa wana tatizo, ila wengi hujitamba wako vizuri lakini hili ni tatizo kubwa linalokua kwa kasi, wanaume watch out, msiichukulie hii mada kirahisi rahisi tu na kujisifia sifia tu humu.
atoto afya ya uzazi hivi sasa ni tatizo kubwa sana kwa pande zote wanaume kwa wanawake, lakini halipewi kipaumbele kila mmoja analalamika kivyake vyake wakati tatizo linakua kwa kasi ya ajabu hivi sasa ukitembelea mitandao mingi ya kijamii maada nyingi zinagusa hili suala kwa angle tofauti tofauti lakini sion hata watu kuiobuka na kufanya utafiti juu ya hili tatizo, miezi michache ilitokea case kama hii huko Rombo watu wakaichukulia poa na kuifanya sehemu ya utani wakati ni suala nyeti sana kwa ustawi wa jamii.
ndoa hazidumu nyingi kwa sababu ya tatizo la erectile dysfunction, na kutokushika mimba, tunaobahatika kufanya mijadala juu ya hili suala ama in privacy au in groups tatizo ni kubwa kwa pande zote kuliko tunanvyodhani.
watu tunafundishana na kuhamasishana kutumia viungo vingine vya mwili kukwepa tatizo hili, ni aibu mno.
 
Last edited by a moderator:
Ni wanaume wachache ujikubali kuwa wana tatizo, ila wengi hujitamba wako vizuri lakini hili ni tatizo kubwa linalokua kwa kasi, wanaume watch out, msiichukulie hii mada kirahisi rahisi tu na kujisifia sifia tu humu.
atoto afya ya uzazi hivi sasa ni tatizo kubwa sana kwa pande zote wanaume kwa wanawake, lakini halipewi kipaumbele kila mmoja analalamika kivyake vyake wakati tatizo linakua kwa kasi ya ajabu hivi sasa ukitembelea mitandao mingi ya kijamii maada nyingi zinagusa hili suala kwa angle tofauti tofauti lakini sion hata watu kuiobuka na kufanya utafiti juu ya hili tatizo, miezi michache ilitokea case kama hii huko Rombo watu wakaichukulia poa na kuifanya sehemu ya utani wakati ni suala nyeti sana kwa ustawi wa jamii.
ndoa hazidumu nyingi kwa sababu ya tatizo la erectile dysfunction, na kutokushika mimba, tunaobahatika kufanya mijadala juu ya hili suala ama in privacy au in groups tatizo ni kubwa kwa pande zote kuliko tunanvyodhani.
watu tunafundishana na kuhamasishana kutumia viungo vingine vya mwili kukwepa tatizo hili, ni aibu mno.
 
Nafikiri ni vizuri kuukubali ukweli na kuufanyia kazi
 
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!

Pole bibie inaelekea hujawahi kupata mkunaji sawasawa
Na hii umetudhalilisha wanaume wote
Karibu PM nikuelekeze namna ya kumjua mwanaume mwenye uwezo 6*6
 
Tafuta sisi vijana wa zamani early 40,tupo fiti na mambo twayajua
 
Katika Vitu Ambavyo sijawahi kuviamini na sitakaa nije kuviamini ni Unywaji wa Mchuzi wa pweza na kusaidia kua na nguvu za ugegedaji.

Ninachokiamini mimi ni Kwamba kujua kumfikisha mwanamke kileleni hakuhitaji uwe msuguaji mzuri au Kupiga goli kumi. Mwanamke au Mwanaume Anasehemu maalum ambazo zikiguswa na Kuchezewa Ipaswavyo Mwanamke Hujikuta Akishusha mzigo ndani ya Muda mfupi tu huku akiinjoi na kufurahia.

Lakini vile vile Wengi wanashindwa kuwaridhisha wenza wao kwa kuwa hakuna mawasiliano kati ya mume na mke. Tendo la ndoa ni Utayari wa kimwili, kiakili, kimoyo na kila kitu. unatakiwa uwe unatoa ahadi kwa mwenza wako kwamba leo nahitaji chakula ili ajiweke kabisa kwenye utayari Ili hata mkiingia Kwenye shughuli kila mtu afurahie na Kuridhika.

Pia kuna suala la Maandalizi ya Tendo mnapokuwa faragha.. Lakini Sikuhizi watu wamekalili vitu viwili katika maandalizi. Watu wanaishia kunyonya gegedu au papuchi wao ndio wameona wameshaandaana. Mapenzi ni Zaidi ya Kunyonya Papuchi au Gegedu, kuna vingi vya kuongeza Mihemko na Mautamu katika Mapenzi.

Ni Ajabu sana kwa ndoa za vijana wasasa, Eti watu wanaoana lakini kila mmoja hajui ni wapi akishikwa mwenzake anajisikia raha. Mapenzi ni ubunifu na uwazi ukiwa hujui mwambie mwenzio Akufundishe.

NB: NI UJINGA KUAMINI ETI ILI MWANAMKE ARIDHIKE NI KUMPIGA MAKOFI MATANO AU MANNE. MWANAMKE ANAWEZA KURIDHIKA KWA GOLI HATA MOJA ILI MRADI UMUANDAE VYA KUTOSHA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom