Wanaume mna tatizo gani?

Wanaume mna tatizo gani?

Mkuu hata wao wanaathirika sana tu esp kwenye swala la kushika mimba..

Sio kushika mimba tu kuna wanawake hata ufanye romance unalia unakuta asee hawaivi na ukimpiga akafika kileleni we umejichelewesha hataki tena, na pia vyakula cjui nin wanawake wengi pia hawajui kujishughulisha uwanjani cjui wamelishwa maharage ya wapi?
 
Sio kushika mimba tu kuna wanawake hata ufanye romance unalia unakuta asee hawaivi na ukimpiga akafika kileleni we umejichelewesha hataki tena, na pia vyakula cjui nin wanawake wengi pia hawajui kujishughulisha uwanjani cjui wamelishwa maharage ya wapi?

Haha, hivi vyakula vinawaathiri ubongo na saikologia yao, yet wao hawaoni kama wanaathirika..
 
Matatzo yapo mwng ynayochangia hyo hali..hasa mwenendo wa maisha,mawazo na wenzi wetu pia wanachangia wanafnya mapnz na mtu lkn anareflect na mtu mwngne ...mapigo ynafanana ila siz ndo tofaut..halaf mapenz sio vita sio lazma upigwe vtano au kumi kimoja tu unaeza ukaridhika.nu ukijua mpnz wako anashida hyo bac ucmtenge kuwa karbu nae na mpe vyakula stahiki....
 
Wanaume kwa hili chukulien serious la sivyo shamba boy watawapigia mademu na wake zenu mpaka mkome... Ila hii haiwahusu wale wanao piga kimoja mda mrefu....ha ha ha anakoroma kama kameza cherehan ha ha ha uwiii... Nipe pesa hilo sitaliona kabisa
 
Nafikiri wasichana wengi wanadanganyika sana linapokuja suala na uhusiano wa mwili wa mazoezi na performance kitandani. Ni kweli wakati mwingine ni viceversa. Wakati mwingine mazoezi yakizidi nayo hupinguza hamu ya tendo.
 
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!

Hizi Chipsi yai na mahindi yakuchoma wanakula na chumvi na malimao yanaharibu vijana sasa
 
Erectile dysfunction (ED) is soon going to be public health concern..
rust you are right erectile dysfunction is now a public health concern also marriage is soon going to be public concern if you visit the stats you will be stunned, the problem is it has not been given much attention by civil societies and no research has been done on the matter.
these issue must be given much attention.
 
Last edited by a moderator:
hili tatizo lipo na linakuwa kwa kasi sana, we have to change our life styles kwakweli.
 
kama ww wanavyokufanya hao wahuni

Fanya uolewe, ngozi ya ndani ya K yako ita tepeta utadhani dekio.

Na sio ufahari kujisifu ujing.a hapa. Una kuta binti kama ww umegeuza K mtaji.
 
Yaani unakuta mtu mwili mzuri, kifua cha mazoezi anapiga ma push-up vizuri lakini kunako sita sita hakuna kitu, yeye kimoja tu anakoroma kama kameza cherehani, au ndo hizi kuku za kisasa mnazokula? Halafu unakuta mtu kila jioni anaenda kula pweza sasa sijui hazimsaidii!

Aaaaaagh, ukipigwa chini unaanza kulalamika. Nimetumia wanaume maana ni wanaume wengi wa hapa mjini ni shida kweli kwel hata mashost wanalalamika sana.

Hebu badilikeni bwana!
Njoo Kwangu Uone "Mabadiliko"!!
 
Ni wanaume wachache ujikubali kuwa wana tatizo, ila wengi hujitamba wako vizuri lakini hili ni tatizo kubwa linalokua kwa kasi, wanaume watch out, msiichukulie hii mada kirahisi rahisi tu na kujisifia sifia tu humu.
Hii Ni Kweli!!! Kuna Marafik Zangu Wa Kike, Wanalalamika Sanaa...Kwamba Majamaa Zao Ni Watu Wa "Kimoko" Hoiiiii!!!! Uwa Wanataman Kutafuta Wa Pemben.
 
Nlisikiliza mawaidha ya sheikh kipozeo anasema hawa kuku mataira wanachaingia pia so mjitahidi kunywa maji ya madafu mnaweka na ndimu pia mtumie asali kwa wingie
Fanyeni hivo wanaume, mwanamke bila kitmb heavy ni Sawa na punda bila mjeredi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom