Wanaume mna laana

Wanaume mna laana

nancy nitamletea episode mpya ya 100 tutaangalia wote humo chumbani mwake
 
Jana nilikua naongea kwa simu na rafiki yangu dakika zikakata nikamwita mwanangu (nancy 17) akanichukulie vocha wakati nampa pesa akaniambia mama kama ni simu ya muhimu ongea na simu yangu ina dk zakutosha voda to voda

Nikacopy namba na nancy akaelekea kwa mangi kuchukua vocha, wakati nikiwa na simu yake najiandaa kupiga ikangia msg

"sema basi toto la kishombe shombe omba ruksa wkend hii nikupeleke beach"

nikapotezea nikafikiri nivivulana wenxie waache waende huko wakatiane shombo tu. Mara ikaja sms nyingine

"Usimuogope mama yako kwanza namdai pesa za gari niliyomuuzia hana sauti mbele yangu"

Nikapata wasi wasi nikacopy namba yake pia nacy alikua hajaisave namba hata kwangu haikuleta jina lolote nilivyokua naiandika. Nancy nae akarudi nikampa simu yake nikamwambie sijampata hata niliekua namtafuta akapokea akaingia zake ndani kuangalia series yake ya the 100,

Nikajiuliza huyu anaenidai ni nani tofauti na baba yake mdogo nancy?? Nikaamua kuichek ile namba kwa mpesa kwa kujaribu kutuma kiwango cha uongo cha pesa,,aiseee wanaume ni was*****nge sana jina likaja la yule baradhuli,baba yake mdogo nancy

Mimi sio mwanamke wa kupanic wala kulia lia nikamuita nancy akanieleza bab mdogo ananisumbua kwel mam,nikamwambia sasa mwanangu kubali kwenda out ila mwambia hupendi beach utamwambia eneo la kwenda mkale maraha,,adhabu ya asili itamfika huyu mpumbavu fala kibolo kudinda,nishaandaa mijitu yenye miguvu minne yatatangulia yatajibanza chini ya kitanda

Anaenda kuliwa mtu this wkend

Kama kawaida yako unawajumuisha walokuwemo na wasokuwemo.Miss "GENERALIZATION". Aisee ni shida sana
 
Siku sema ni mume wangu baba nancy yupo mbele ya haki miaka kadhaa sasa.

Yule ni mjinga mjinga tu asie na mbele wala nyuma
Sasa kama Mumeo alifariki na wewe kisheria uko huru kuolewa tena, kwanini usiolewe ili utulie na Mume mmoja? Au kufariki kwa Mumeo ndiyo imekuwa ruksa kwako kuruka ruka na wanaume hovyo hovyo??

Na huyo binti yako kama kweli alikuwa hataki kufanya kamchezo kachafu na baba yake mdogo, kwanini hakukuambia alipoanza kutongozwa??
Inawezekana vipi mtoto asi-save jina la baba yake mdogo kwenye simu yake na awe anawasiliana naye kwa kujificha ficha??

Kama unayoyaandika siyo "chai", basi hakika wewe mama "Nancy" unahitaji maombi kweli kweli. Nikuambie kitu kritika ,mrudie YESU KRISTO, na atakuweka huru na vifungo vyote hivyo.
 
Kumbuka unadaiwa pesa ya gari na Nancy anajua
 
Shemeji yako huyo... Na bila shaka yupo humu na ameshapata ujumbe wake... Umeshapanic Hivyo umemkosa...
 
WEWE UTAKUWA UMETENDWA,NA KAMA HUJATENDWA BASI UTAKUWA MBAYA WA SURA NA UMBO,HUPATI WANAUME UNAOWAHITAJI,HAIWEZEKANI HAYO YOTE UNAYOYAANDIKA, KILA SIKU NI KUTUKANA WANAUME,NA KUWADHALILISHA KILA SIKU,UNA TATIZO KUBWA MNO LA KISAIKOLOJIA,WAKUU HUYU DADA NI WA KUSAIDIWA SANA,PITIENI HIZI NYUZI ALIZOANZISHA MTAAMINI NISEMACHO,IN SHORT ANA STRESS SI BURE!!.View attachment 771629View attachment 771630View attachment 771632View attachment 771634
Mkuu huyu Kritika kuna moja ya bandiko nilichangia nikasema anahitaji msaada wa kisaikolojia ili aondokane na stress.Huhitaji kukutana na mtu umjue kama ana stress,hata chatting hizi na comments huwa zinatupa viashiria flani vya kwamba mambo hayaendi sawa.Kama kuna dokta au mwanasaikolojia ajitokeze ampe usaidizi huyu mwanadada. Vinginevyo ataishia kila siku kufanya "UJUMUISHAJI WA MATENDO YA AJABU KATIKA JINSIA YA KIUME" sisi wengine tunajiheshimu na mambo ya kijinga hatuna
 
Mtoto huiga kwa mamaye kama wewe ni mchepukaji kwann yeye asitoe uroda
 
Alafu unalana mwenyewe dada kabla sijasahau.

Inaonekana huna adabu mtoto anamiaka 17 tayari umemruhusu kumiliki simu?.
Hatahivyo kila laheri katika mtegowako.
 
Jana nilikua naongea kwa simu na rafiki yangu dakika zikakata nikamwita mwanangu (nancy 17) akanichukulie vocha wakati nampa pesa akaniambia mama kama ni simu ya muhimu ongea na simu yangu ina dk zakutosha voda to voda

Nikacopy namba na nancy akaelekea kwa mangi kuchukua vocha, wakati nikiwa na simu yake najiandaa kupiga ikangia msg

"sema basi toto la kishombe shombe omba ruksa wkend hii nikupeleke beach"

nikapotezea nikafikiri nivivulana wenxie waache waende huko wakatiane shombo tu. Mara ikaja sms nyingine

"Usimuogope mama yako kwanza namdai pesa za gari niliyomuuzia hana sauti mbele yangu"

Nikapata wasi wasi nikacopy namba yake pia nacy alikua hajaisave namba hata kwangu haikuleta jina lolote nilivyokua naiandika. Nancy nae akarudi nikampa simu yake nikamwambie sijampata hata niliekua namtafuta akapokea akaingia zake ndani kuangalia series yake ya the 100,

Nikajiuliza huyu anaenidai ni nani tofauti na baba yake mdogo nancy?? Nikaamua kuichek ile namba kwa mpesa kwa kujaribu kutuma kiwango cha uongo cha pesa,,aiseee wanaume ni was*****nge sana jina likaja la yule baradhuli,baba yake mdogo nancy

Mimi sio mwanamke wa kupanic wala kulia lia nikamuita nancy akanieleza bab mdogo ananisumbua kwel mam,nikamwambia sasa mwanangu kubali kwenda out ila mwambia hupendi beach utamwambia eneo la kwenda mkale maraha,,adhabu ya asili itamfika huyu mpumbavu fala kibolo kudinda,nishaandaa mijitu yenye miguvu minne yatatangulia yatajibanza chini ya kitanda

Anaenda kuliwa mtu this wkend
Maskini..! Waambie basi watumie Kondom halafu wamfanye polepole
 
haha hahaa hahaa Palantir
baba mdogo njoo huku
kila mwezi huwa kuna kamwezi mchanga kanajitokeza JF amini hilo!..
Eti ukamtindue malinda shem/mdogo wako kisa kamtaka mtoto wako!.
Ila hearly angalia mzee, kasije kuwa kale katoto wyt kamekuchoma bimkubwa wake kaileta kama bamdogo ili akupeleke maboya upoteze bk.😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom