Wanaume mna laana

Wanaume mna laana

Duh Bamdogo
1540886640890.png
1540886640890.png
1540886640890.png
1540886640890.png
1540886640890.png
1540886640890.png


Vipi nancy ana chura au Pengine halaumiki bamdogo.
 
MADEMU WA KIBONGO WANAVYOPISHANAGA NA BAHATI

12:00 nakuja
13:20 ndio naoga
15:50 navaa nguo
17:40 ndio natoka
18:30 nipo kwenye bajaji
19:20 babe sitakuja Mama ameniambia niwapikie wageni wanakuja....

Halafu ikifika miaka 38 hajaolewa anaanza kuwasumbua akina Mwakasege, Gwajima, Lusekelo wakuombee upate mume wengine huenda kwa shekhe Juma kusafisha nyota huku akisahau kuwa nyota alishaichafua kule juu,ambapo ule muda alioupoteza kule juuu wenzake walitumia chance hiyo wakaolewa huu ni uzwange Jr
Mkuu,huwa napenda sana uandishi wako!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom