Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
Kuna stori za kutunga ila hii sio ya kutunga.
Poleni sana
Poleni sana
Mkuu,huwa napenda sana uandishi wako!MADEMU WA KIBONGO WANAVYOPISHANAGA NA BAHATI
12:00 nakuja
13:20 ndio naoga
15:50 navaa nguo
17:40 ndio natoka
18:30 nipo kwenye bajaji
19:20 babe sitakuja Mama ameniambia niwapikie wageni wanakuja....
Halafu ikifika miaka 38 hajaolewa anaanza kuwasumbua akina Mwakasege, Gwajima, Lusekelo wakuombee upate mumewengine huenda kwa shekhe Juma kusafisha nyota huku akisahau kuwa nyota alishaichafua kule juu,ambapo ule muda alioupoteza kule juuu wenzake walitumia chance hiyo wakaolewa
huu ni uzwange Jr
![]()
TusubiriUmeniwahi. Mrejesho muhimu