BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,341
michepuko sio dili baki njia kuu..UKIMWI UNAUA
Ww kubali mwanao kishaliwaNa mimi naenda kumtengeneza njia vizuri nitavaa hata dilido nihakikishe napiga tako mbili tatu
Ladies if are having problem with your man please don't make every lady think all man are dogs like him. Quietly take your dog to the veterinary for review.



nipe no za mwanao na mimi ni rika lakeAliwe tu na mimi nahakikisha analiwa huyo nduli sina shida mwanangu kuliwa ila aliwe na rika lake wapakane shombo sio huyo fala mwenye kashfa za kibamia mtaani,anatafuta watoto ili kiweze kufiti
deni ni kulipa. Ba mdogo keshaona uwezekano wa kulipwa pesa yake ni mdogo,hivyo anatafuta njia ya kupoza machungu. Ingawa njia hiyo ni haramu.Lipa hela za watu
Sasa unalalamika nn kama huna shida mwanao kuliwa?!Aliwe tu na mimi nahakikisha analiwa huyo nduli sina shida mwanangu kuliwa ila aliwe na rika lake wapakane shombo sio huyo fala mwenye kashfa za kibamia mtaani,anatafuta watoto ili kiweze kufiti
Hahaaa! Naona unatafuta namna ya kufuta deni automatically.Jana nilikua naongea kwa simu na rafiki yangu dakika zikakata nikamwita mwanangu (nancy 17) akanichukulie vocha wakati nampa pesa akaniambia mama kama ni simu ya muhimu ongea na simu yangu ina dk zakutosha voda to voda
Nikacopy namba na nancy akaelekea kwa mangi kuchukua vocha, wakati nikiwa na simu yake najiandaa kupiga ikangia msg
"sema basi toto la kishombe shombe omba ruksa wkend hii nikupeleke beach"
nikapotezea nikafikiri nivivulana wenxie waache waende huko wakatiane shombo tu. Mara ikaja sms nyingine
"Usimuogope mama yako kwanza namdai pesa za gari niliyomuuzia hana sauti mbele yangu"
Nikapata wasi wasi nikacopy namba yake pia nacy alikua hajaisave namba hata kwangu haikuleta jina lolote nilivyokua naiandika. Nancy nae akarudi nikampa simu yake nikamwambie sijampata hata niliekua namtafuta akapokea akaingia zake ndani kuangalia series yake ya the 100,
Nikajiuliza huyu anaenidai ni nani tofauti na baba yake mdogo nancy?? Nikaamua kuichek ile namba kwa mpesa kwa kujaribu kutuma kiwango cha uongo cha pesa,,aiseee wanaume ni was*****nge sana jina likaja la yule baradhuli,baba yake mdogo nancy
Mimi sio mwanamke wa kupanic wala kulia lia nikamuita nancy akanieleza bab mdogo ananisumbua kwel mam,nikamwambia sasa mwanangu kubali kwenda out ila mwambia hupendi beach utamwambia eneo la kwenda mkale maraha,,adhabu ya asili itamfika huyu mpumbavu fala kibolo kudinda,nishaandaa mijitu yenye miguvu minne yatatangulia yatajibanza chini ya kitanda
Anaenda kuliwa mtu this wkend
hahaaaBaba mdogo anataka kula mayai ya nyumbani
Ukarimu ulioje huoBaba mdogo anataka kula mayai ya nyumbani