Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,174
- 34,405
Good Lord.
Hapo tu uliposema acha waende huko wakapakane shombo na vivulana nimebaki naumia. Unless ni story tu unatoa hapa kwa ajili ya kuchangamsha kijiwe.
Hivi una uchungu na mwanao kweli? Ni mwanao wa kumzaa?
Zama hizi za kumlinda mtoto awe wa kiume ama wa kike wewe una relax kabisa 'wakapakane shombo' at the tender age of 17?
[HASHTAG]#shakingmydamnhead[/HASHTAG]
Hapo tu uliposema acha waende huko wakapakane shombo na vivulana nimebaki naumia. Unless ni story tu unatoa hapa kwa ajili ya kuchangamsha kijiwe.
Hivi una uchungu na mwanao kweli? Ni mwanao wa kumzaa?
Zama hizi za kumlinda mtoto awe wa kiume ama wa kike wewe una relax kabisa 'wakapakane shombo' at the tender age of 17?
[HASHTAG]#shakingmydamnhead[/HASHTAG]
