gwijimimi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 7,344
- 3,616
Asante ila Nyani Ngabu hanibandui ng'oooooo
Nani anakubandua malkia
Last edited by a moderator:
Asante ila Nyani Ngabu hanibandui ng'oooooo
Tuataona.....si tupo.
Labda nisipewe Ban
Teh teh teh pole za utangulizi zinamhusu huyo Madame B
Lakn shy land ni yes.
Bichwa lipi sasa? Nnayo mawili ujue.....
Nani anakubandua malkia
We wala sina haja ya kupinga nawe.
Najua tu ntakutafuna kwa raha zangu.
Toto bichi kabisa lenye rangi ya chungwa na sauti nyororo ya kumtoa jongoo shimoni.
Tusubiri...
Huku ni usiku mnene wapenzi
Tukijaaliwa.
Shindwa na ulegee mwili mzima!
Tusubiri...
Huku ni usiku mnene wapenzi
Tukijaaliwa.
Mwambie labda ajigeuze popobawa
Habar za kuuza ng'ombe wa maziwa kwa sababu ya bunye nakuomba ziishie hapo!! kwani wen wewe kutafunwa hadi ziunzwe ng'ombe.
Sawa mpenzi lala unono.
Na ukiota niote mimi.
Mabichwa yote mawili mabayaaa...
Akuote unamfanya nini?
Akuote unamfanya nini?