uungwana classic
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 2,324
- 2,079
Mtu hawezi chepuka kwa sababu alizosema mtoa mada mtu anachepuka kwa tamaa zake tu tena usishangae huyo mke wake ndani analalamika hapati tendo ila jamaa nje ni kiwembeWakuu huyu ndugu ameongea kitu cha maana ingawa ameanza na point zw kujitetea. Kwa sisi wanaume ni nadra sana kuwa waaminifu 100% kwenye ndoa ya mke mmoja.
Wengi wetu tuna michepuko kibao na huku tunajidai waaminfu kwenye ndoa .
Haijalishi mke anaumwa au mzima au yupo kwenye bleed no sisi tunachepuka anytime ila huwa tunapotafuya sympathy kwenye jamii ndio tunaenda na hizo hoja za mleta Uzi.
Mke mmoja inatubidi either kiuchumi au mapokeo ya imani Zetu za kidini ila tunhefuata mila zetu za kiafrica nadhani kila mwanaume hapa Tanzania angekuwa na wake zaidi ya mmoja.