Wanaume mamwinyi

Tutengekua hatufanyi hizo big things sidhani kama tungelalamikia only little things...
Halafu kama haujajua vizuri wanawake wanajali vitu vidogo vidogo zaidi ya vikubwa.
Napika naandaa napakua naosha vyombo hapo mwanaume akisaidia angalau kuleta kijiko inamaana kubwa mnoo.
 
#smallthingsmatterthemost#
 
ofcoz yes! Tatizo ni usilalamike na kuona kuto kupewa kijiko ni big deal,wakati kuna vingi tu vingine umefanyiwa
 
Utoto kwenye kubembelezwa na kufanyiwa kazi, ila akichelewa kurudi au atoke bila kuaga mpigie simu umuulize au mwambie kwa nini hivi na hivi. Utajibiwa "usinitreat kama mtoto bana, wewe sio mama yangu". Ngachoka


haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ! nacheka hapa mbiti ananiangaliaaaa haaha kamaliza kula yeye kaenda mbali zaid kaacha vyombo kwenye kochi yaan nimejikuta nachekaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! kha haya manaume sijui tunayaaokotea wapi !hahaha kweli @brondo ulikuwa na haki kusema mume wangu 'SPECIAL CASE'
 
Mtufikirie na sisi tunachoka kutumwa siku nzima
Unakosea kupanga vitu madam ndo maana anakutuma ili next time ujiongeze. Utaandaaje meza ili ale usahau kuweka maji ya kunawa na chumvi (table salt) halafu wewe uondoke badala ya kula naye au kumliwaza wakati anakula?

Ni mawili, hupendi kuwa karibu naye (lack of love) na kama una nia ya kuendelea naye jifunze kupanga nyumba na umshirikishe. Utimize majukumu yako kama mama kesho mtazaa watoto ujue jinsi ya kusimamamia familia.

Namalizia hivi ukikubali kuolewa usilale na ..........

Hapo kwenye usilale na ...... maana yake ni pana
 
mpe semina elekezi ya maisha ya wawili [mr&mrs]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…