yorkshire
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 2,533
- 3,175
Mie anipe pesa tu, hayo mengine nitajiromantize mwenyewe.

Nenda kule kwenye Uzi Wa kupewa pesa na wake zao uone walivyofurahi, Ila huku wanajitoa ufahamu eti!!Eti utajiromantize mwenyewe!![]()
Asee!, kwa mtazamo wa wakaka wa humu kwenye hii, wengi romance wataisoma tu..
Nenda kule kwenye Uzi Wa kupewa pesa na wake zao uone walivyofurahi, Ila huku wanajitoa ufahamu eti!!
Tatizo wabongo tunapenda maigizo sana na kingine tunataka yale mambo ambayo wale waphilipino wa tamthlia wanazoonesha Star TV ndio tuyafanye wakati kiuhalisia mazingira hayaruhusu. Wewe chukulia poa tu hata kama ukipigwa mtama wewe tulia tuBaadhi yenu ndio mlivyo.. Ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini.. Khaa
Mwanaume muda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero.. Wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet, honey, babe, pumpkin, laaziz hawana hilo kabisa... Yaani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!!
Mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono.. Sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... Mkipanda kitandani sasa utaskia "Panua bwana usinipotezee mda wangu" or *Kama hutaki ondoka"..
Hii ndio sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
Kuwa romantic kunapagawisha mwanamke.. Anajiona yupo kwenye himaya sahihi.. Anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli.. Anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake..
Mshike mkono mkitembea. Kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze, mbembeleze, hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
Mjali kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (Sihamasishi uzinzi.. Muoane![]()
)
Wewe huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama Diamond.. Nsync.. Westlife.. Justin Bieber etc!...
Wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono.. Trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinawafanya wapagawe.. Wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..
Shauri yako..
Kwa kweliKiuhalisia jamii zetu kimaisha Hatupo romantic na hii ni jadi yetu.
Hata lugha tu kiswahili hakipo romantic. Chukulia kispanish au English, baby I love you, baby I miss you... ina-sound vizuri.
Ndiyo maana huwa mnapenda kutuongelesha vingereza kwa mnaojua.
aggyjay pia kuna wanawake wengi tu hawako romantic... mwanamke hata kudeka kidogo anashindwa
hayo yenyewe yanajua kupiga mizinga tu hata viuno kukata hayajuiAnza wewe kuzitoa kiromantic.....next time ataomba kufanana na alivyopokea. Tusitegeane.
teh..teh..teh..kazi ipo.Wewe mguse uone hata mbele zawatu linabweka tu kama jibwa koko limeokota mfupa, kanda ya ziwa wajita
Sent using Jamii Forums mobile app
kiunganishi hela? labda kwenu nyie madomo zege,mamburula.mhhh! haya mamabo kweli ni shida imba,ongea kiromantic sijui nini mwisho wa siku kiunganishi ni hela.
Na ndio maana mapenzi ya Tanga ya ladha tofauti na mikoa mingine coz na wanawake nao wanajitahidi kuwa romantic na kutimiza majukumu yao ipasavyo.hivi mapenzi ya mababu zetu uliwahi kuyaona aubhata kusimuliwa?
huku tanga ukipita nyumba unaskia wanaimbiana taarab ya mapenzi huku mume analishwa vhula baada ya kutoka shamba hoi..
anaenda kuogeshwa..anakandwa mwili..
huu wote ni uzungu?
hata kama majukumu mengi.
ili penzi lidumu tengeni mda wa kuwa pamoja..