Wanaume kwanini hampo romantic?

Wanaume kwanini hampo romantic?

aggyjay sasa KAMA HAYUPO ROMANTIC, SI WEWE UWE ROMANTIC ILI NA YEYE AKOPI NA KUPESTI? AU LAZIMA AANZE KUWA YEYE ROMANTIC? MWANAMKE ANA NAFAS KUBWA YA KUMBADILISHA MUMEWE KITABIA NA MWENENDO KWA UJUMLA, TUMIA NAFAS YAKO
Wewe mguse uone hata mbele zawatu linabweka tu kama jibwa koko limeokota mfupa, kanda ya ziwa wajita

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi wenyewe saa zingine mnakera.kila saa tu Hela sijui wigi mara nikakombelee nguo kwa fundi mara sijui vikoba ahaaa! Mara hujakaa vizuri watu wa Finca wamekuja kuchukua makochi eti marejesho yamechelewa.haàaa ! Wanachukua Romantic yote na kuicha Mkatoriki
Tunajadili mambo ya hela hela kama tuko kwenye ubia wa kibiashara vile na wala siyo ndoa
Umenivunja mbavu hakika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyinyi wenyewe saa zingine mnakera.kila saa tu Hela sijui wigi mara nikakombelee nguo kwa fundi mara sijui vikoba ahaaa! Mara hujakaa vizuri watu wa Finca wamekuja kuchukua makochi eti marejesho yamechelewa.haàaa ! Wanachukua Romantic yote na kuicha Mkatoriki
Tunajadili mambo ya hela hela kama tuko kwenye ubia wa kibiashara vile na wala siyo ndoa
Hahahahahahaha
 
Kwa uzoefu wangu wanawake wanapenda bad boys. Wanaume wanaojua nini cha kusema kwa wakati gani. Wanawake wengi wanapenda kuwa dominated. Choking, spanking, dirty talking zinawapagawisha sana hawa dada zetu. Lakini ukijifanya romantic kama mithun ujue atakuja kukuona boya.
 
tumesikia na tumetii tutahakikisha tunakuwa romantic kwa ajili yenu,
tuna ahidi kuwapenda kama watoto, tutaongea na ninyi kwa upole, tutawadekeza na kuwabembeleza, tutawapa ahadi za uongo kama watoto, tutakuwa tukiwagombeza na kuwapiga kiasi lakini mwishoni tutawapa vizawadi ili mtusamehe... tunaahidi kuwatendea yote hayo kama jukumu letu hilo kwenu, tutakuwa tunajifaharisha mbele za watu kwa kuwa na nyinyi kama tuwapo na watoto wetu, tutakuwa tunawabeba, washika na kuwakumbatia... tutawalisha na kuwaogesha na hata tukiwa tuko faragha na nyie tutawadekeza huku tukiwapa pole nyingi kama mabikira na mkilia tutawafuta machozi...

kama kuna la kuongeza mtukumbushe.
 
Back
Top Bottom