Wanaume kwanini hampo romantic?

Wanaume kwanini hampo romantic?

Attachments

  • IMG-20170817-WA0003.jpg
    IMG-20170817-WA0003.jpg
    135.5 KB · Views: 22
.
 

Attachments

  • IMG-20170817-WA0003.jpg
    IMG-20170817-WA0003.jpg
    135.5 KB · Views: 31
  • IMG-20170817-WA0004.jpg
    IMG-20170817-WA0004.jpg
    25.5 KB · Views: 48
Kiuhalisia jamii zetu kimaisha Hatupo romantic na hii ni jadi yetu.

Hata lugha tu kiswahili hakipo romantic. Chukulia kispanish au English, baby I love you, baby I miss you... ina-sound vizuri.

Ndiyo maana huwa mnapenda kutuongelesha vingereza kwa mnaojua.

aggyjay pia kuna wanawake wengi tu hawako romantic... mwanamke hata kudeka kidogo anashindwa
Mmh baby

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahaha!mimi mbiti nathibitisha kuwa xwez kudendeka nikiwa nimeximama kwaxabab flow ya damu miguuni huwa inakata najikuta napepexuka na kuanguka chini

nitaweka baadae ref kwa xhahid zaidx! ! ... xwag on flik
Hahaaaa,ww bi dada weweee
 
Kama mnataka kubembezwa, futa mahali. Mtu kajipinda kakopa huku na kule kakuingiza ndani kwa jasho afu aanze kujiumauma, Hebu geka huku haraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom