soul provider
JF-Expert Member
- Jun 21, 2014
- 1,346
- 2,160
Hahah!, kwa hiyo mnaamua kuwa wagumu ili msipigwe mizinga!
Mizinga ya kushtukiza inakera sana
Hahah!, kwa hiyo mnaamua kuwa wagumu ili msipigwe mizinga!
Mizinga ya kushtukiza inakera sana
hivi mapenzi ya mababu zetu uliwahi kuyaona aubhata kusimuliwa?Hapa Kazi Tu.
Anyways hizi tamthilia za kifilipino ndio zimeleta haya yote.
Najaribu kuwaza tu kidogo hapa kwa sauti je kwa mfano babu zetu waliweza vipi kudumu kwenye ndoa zao kwa muda mrefu bila hizi demands za kuwa romantic?
Anywayz wanaume majukumu ni mengi sana so mtusamehe kidogo
jamani kakangu...haya banaMnataka hela na romantic juu!!....who gonna do this shit lol!!
baadhi yenu ndo mlivo..ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini..khaa![]()
mwanaume mda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero..
wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet,honey,babe,pumpkin,laaziz hawana hilo kabisa...yani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!! mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono
sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... mkipanda kitandani sasa uraskia "panua bwana usinipotezee mda wangu"
or *kama hutaki ondoka"...
hii ndo sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
kuwa romantic kunapagawisha mwanamke..anajiona yupo kwenye himaya sahihi..anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli..
anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake.
mshike mkono mkitembea
kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze
mbembeleze
hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
mjali
kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (sihamasishi uzinzi..muoane![]()
)
we huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama diamond..nsync..westlife..justin bieber etc!!..wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono..trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinwafanya wapagawe..wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..
shauri yako..
itakuwa yupo

weeeTupo Romantic ila kuna wakati maisha yanatuchanganya mpaka tunajisahau ,ila pesa ikiwa mfukoni tunakuwa swafiii tunapeleka wake zetu sehemu nzuri na tukifika sita kwa sita utafikiri nimezaliwa ulaya

Sinyorita ni wanawake wanapenda kujisikia sana alafu ukimwangalia wala sio wazuri maringo tu mi sinyorita siwapendag wanapenda sana maua siwataki kbs labda itokee bahat mbaya asubuh nijikute nimelala nae wanapenda maua sana mambo ya kuleteana nyuki ndan sipend mimiHebu tafsiri maneno yafuatayo kwa kiswahili tupime uromantic wake:-
● Baby I really feels you
● Honey I hv been missing you
● Sinyorita...ll u buy some roses for me tonight? (Lugha ya picha hiyo)
Imba nyimbo zote usiponiimbia CCM selema, Magufuli selema sioni uromantic wako.
wewe vipi unachanganya sasa wanaume wa watumy tikiti...

![]()
![]()
wewe vipi unachanganya sasa wanaume wa watu
Wewe mguse uone hata mbele zawatu linabweka tu kama jibwa koko limeokota mfupa, kanda ya ziwa wajita
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora niaze kukutongoza ww mpenzitabia zao tu..ukiona hivi si hayuko deep in love na wewe.
mwambie sina kazi siku hiyo atakublok kila kona
Kwann huna?!sina hata mmoja mwaya
nyooo! kiborodiinda kama wewe nkubebee mbeleko gani uktuliza kikojoleo chako..Bora niaze kukutongoza ww mpenzi

baadhi yenu ndo mlivo..ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini..khaa
mwanaume mda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero..
wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet,honey,babe,pumpkin,laaziz hawana hilo kabisa...yani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!! mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono
sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... mkipanda kitandani sasa uraskia "panua bwana usinipotezee mda wangu"
or *kama hutaki ondoka"...
hii ndo sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
kuwa romantic kunapagawisha mwanamke..anajiona yupo kwenye himaya sahihi..anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli..
anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake.
mshike mkono mkitembea
kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze
mbembeleze
hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
mjali
kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (sihamasishi uzinzi..muoane![]()
)
we huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama diamond..nsync..westlife..justin bieber etc!!..wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono..trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinwafanya wapagawe..wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..
shauri yako..