Wanaume kwanini hampo romantic?

Wanaume kwanini hampo romantic?

Tupo Romantic ila kuna wakati maisha yanatuchanganya mpaka tunajisahau ,ila pesa ikiwa mfukoni tunakuwa swafiii tunapeleka wake zetu sehemu nzuri na tukifika sita kwa sita utafikiri nimezaliwa ulaya
 
Hapa Kazi Tu.
Anyways hizi tamthilia za kifilipino ndio zimeleta haya yote.

Najaribu kuwaza tu kidogo hapa kwa sauti je kwa mfano babu zetu waliweza vipi kudumu kwenye ndoa zao kwa muda mrefu bila hizi demands za kuwa romantic?

Anywayz wanaume majukumu ni mengi sana so mtusamehe kidogo
hivi mapenzi ya mababu zetu uliwahi kuyaona aubhata kusimuliwa?

huku tanga ukipita nyumba unaskia wanaimbiana taarab ya mapenzi huku mume analishwa vhula baada ya kutoka shamba hoi..
anaenda kuogeshwa..anakandwa mwili..
huu wote ni uzungu?

hata kama majukumu mengi.
ili penzi lidumu tengeni mda wa kuwa pamoja..
 
baadhi yenu ndo mlivo..ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini..khaa

mwanaume mda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero..
wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet,honey,babe,pumpkin,laaziz hawana hilo kabisa...yani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!! mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono

sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... mkipanda kitandani sasa uraskia "panua bwana usinipotezee mda wangu"
or *kama hutaki ondoka"...
hii ndo sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
kuwa romantic kunapagawisha mwanamke..anajiona yupo kwenye himaya sahihi..anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli..
anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake.

mshike mkono mkitembea
kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze
mbembeleze
hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
mjali
kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (sihamasishi uzinzi..muoane )

we huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama diamond..nsync..westlife..justin bieber etc!!..wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono..trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinwafanya wapagawe..wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..



shauri yako..

Imba nyimbo zote usiponiimbia CCM selema, Magufuli selema sioni uromantic wako.
 
Tupo Romantic ila kuna wakati maisha yanatuchanganya mpaka tunajisahau ,ila pesa ikiwa mfukoni tunakuwa swafiii tunapeleka wake zetu sehemu nzuri na tukifika sita kwa sita utafikiri nimezaliwa ulaya
weee
 
Romance and kupiga mizinga have an inversely relationship!

The higher the 'kupiga mzinga' the less the romance, and vice versa is tru!
 
Hebu tafsiri maneno yafuatayo kwa kiswahili tupime uromantic wake:-

● Baby I really feels you

● Honey I hv been missing you

● Sinyorita...ll u buy some roses for me tonight? (Lugha ya picha hiyo)
Sinyorita ni wanawake wanapenda kujisikia sana alafu ukimwangalia wala sio wazuri maringo tu mi sinyorita siwapendag wanapenda sana maua siwataki kbs labda itokee bahat mbaya asubuh nijikute nimelala nae wanapenda maua sana mambo ya kuleteana nyuki ndan sipend mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa iyo wewe hauna mchango wowote kumfanya mwanaume awe romantic!

We endelea kuangalia tmthilia za Masanja, wakati mwenzako anamrusha aliyemsaliti.
 
baadhi yenu ndo mlivo..ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini..khaa

mwanaume mda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero..
wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet,honey,babe,pumpkin,laaziz hawana hilo kabisa...yani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!! mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono

sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... mkipanda kitandani sasa uraskia "panua bwana usinipotezee mda wangu"
or *kama hutaki ondoka"...
hii ndo sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
kuwa romantic kunapagawisha mwanamke..anajiona yupo kwenye himaya sahihi..anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli..
anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake.

mshike mkono mkitembea
kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze
mbembeleze
hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
mjali
kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (sihamasishi uzinzi..muoane )

we huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama diamond..nsync..westlife..justin bieber etc!!..wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono..trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinwafanya wapagawe..wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..



shauri yako..


aggyjay hivi unaota au, kumpenda demu wa kibongo, hawa wasiopendeka?
 
Back
Top Bottom