Baadhi yenu ndio mlivyo.. Ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini.. Khaa
Mwanaume muda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero.. Wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet, honey, babe, pumpkin, laaziz hawana hilo kabisa... Yaani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!!
Mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono.. Sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... Mkipanda kitandani sasa utaskia "Panua bwana usinipotezee mda wangu" or *Kama hutaki ondoka"..
Hii ndio sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
Kuwa romantic kunapagawisha mwanamke.. Anajiona yupo kwenye himaya sahihi.. Anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli.. Anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake..
Mshike mkono mkitembea. Kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze, mbembeleze, hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
Mjali kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (Sihamasishi uzinzi.. Muoane

)
Wewe huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama Diamond.. Nsync.. Westlife.. Justin Bieber etc!...
Wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono.. Trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinawafanya wapagawe.. Wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..
Shauri yako..