Wanaume kwanini hampo romantic?

Wanaume kwanini hampo romantic?


ushazeeka tayari...kina zaid ya miaka kumi
kuzeeka wapi mkuu sema labda ni kuishi huku mbali na mijini huku kwetu nikifika toka shabani kuoga kula kitandani mikono yenyewe utazani ni mguu utampapasa vipi!!
 
Baadhi yenu ndio mlivyo.. Ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini.. Khaa

Mwanaume muda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero.. Wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet, honey, babe, pumpkin, laaziz hawana hilo kabisa... Yaani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!!

Mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono.. Sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... Mkipanda kitandani sasa utaskia "Panua bwana usinipotezee mda wangu" or *Kama hutaki ondoka"..

Hii ndio sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..

Kuwa romantic kunapagawisha mwanamke.. Anajiona yupo kwenye himaya sahihi.. Anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli.. Anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake..

Mshike mkono mkitembea. Kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze, mbembeleze, hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..

Mjali kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (Sihamasishi uzinzi.. Muoane )

Wewe huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama Diamond.. Nsync.. Westlife.. Justin Bieber etc!...

Wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono.. Trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinawafanya wapagawe.. Wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..

Shauri yako..
Toka nazaliwa sikuwahi kuona Upendo Wa mwanaume toka nakua najua mahusiano sijawahi kuonyeshwa Upendo sasa Mimi nachojua wanaume hawana Upendo niwakatili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnafanyiwa vyote hivo juu plus pesa na shoo ya maana lakini bado mnacheat! Mnamaana kwani ninyi! Bora kuwa kauzu tu
 
Baadhi yenu ndio mlivyo.. Ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini.. Khaa

Mwanaume muda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero.. Wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet, honey, babe, pumpkin, laaziz hawana hilo kabisa... Yaani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!!

Mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono.. Sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... Mkipanda kitandani sasa utaskia "Panua bwana usinipotezee mda wangu" or *Kama hutaki ondoka"..

Hii ndio sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..

Kuwa romantic kunapagawisha mwanamke.. Anajiona yupo kwenye himaya sahihi.. Anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli.. Anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake..

Mshike mkono mkitembea. Kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze, mbembeleze, hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..

Mjali kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (Sihamasishi uzinzi.. Muoane )

Wewe huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama Diamond.. Nsync.. Westlife.. Justin Bieber etc!...

Wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono.. Trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinawafanya wapagawe.. Wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..

Shauri yako..
ving'asti ndio nux,ukitaka mahusiano
 
Utakuwa bado unaishi kwenu au unalala kwenye makochi ya shemeji yako.


Ila kama ungekuwa unajua mwanaume anahangikia Kodi ya Nyumba, bili ya maji na umeme, Fedha ya taka, chakula, Kusaidia ndugu , Watoto , Mke nk


Usingekuja na hayo mapenzi ya kifilipino.


Hivi umewahi kumuuliza mama yako alikuwa anafanyiwa yote hayo na baba yako mbona mpaka sasa wamezeeka wapo pamoja ...


Acheni kuiga mapenzi ya kwenye tamthilia mtaishia kuumizwa mpaka mjute

Sent From My Nokia Ya Tochi
 
Kiuhalisia jamii zetu kimaisha Hatupo romantic na hii ni jadi yetu.

Hata lugha tu kiswahili hakipo romantic. Chukulia kispanish au English, baby I love you, baby I miss you... ina-sound vizuri.

Ndiyo maana huwa mnapenda kutuongelesha vingereza kwa mnaojua.

aggyjay pia kuna wanawake wengi tu hawako romantic... mwanamke hata kudeka kidogo anashindwa
Mzee mwenzangu naona umechukua siti ya mbele... Au msaidizi wa dereva?
 
Kazi yote hiyo kisa nini, mbunye!... Maden yananifanya niwe hivyo... "Panua bhana, tunapoteza mda wa fweeeedha".. Maisha haya tena!

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Na nyie mkiomba hela muombe kiromantic pia,
sio utatuma hutumi,kama hutumi niambie!
Umeuaaaaaa... Kweli aisee! Yaani hapa hata kama nilitaka kutoa, sitoi.. Yaani sijui wanapata wapi jeuri hii.

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Hii thread ni kicheko tu... Huyu mleta post kachokoza nyuki kwenye mzinga... Hahahaaah

"Ukifuga njiwa utajua bei ya mtama"
 
Back
Top Bottom