Wanaume kwanini hampo romantic?

Wanaume kwanini hampo romantic?

Utakuwa romantic wakati hujui kesho utakula nini atakama unauhakika hujuii lini biashara yako itafungwa hahhahahahahahahahaha Romqntic ni kwa wenye uhakika na maisha sio lala hoi

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena walala hoi ndiyo wanajua ku care vizuri subili pesa iongezeke ndiyo utajua hata nguvu za kiume huongezeka kwa ajili ya michepuko sio kwa mke waliye sota naye wala msisingizie maisha tena wasijua kesho watakula nini wanapeana moyo kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa kwa akili yako unategemea comments za JF ziboreshe mahusiano yako? Kumbuka mapenzi ni sanaa na kama huwezi usanii endelea kusikilizia maumivu tu.
Mtu mwenye akili timamu mtu yeyote akimshauri hata wakiwa wanaongea vitu ambavyo hata kwake vipo huchutama chini nakuangalia hapa nami naweza fanya hili laweza nisaidia sio kubeba yote takataka vinyesi kamq mbwa koko kwenda kufungulia mbele ya safari huchuja hapo, wata washauri wa ndoa hushauri na kuwambia haya nendeni nyumbani mkayamalize mkifika huko si ndiyo mnaanza kupembua mchele na mawe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wanaume hapa duniani unatamani uwe nae muda wote asikuache ,anavyokuongelesha,,anavyojalii,,jinsi anavyokufanya huku anakuongelesha ,,,yaan huyo hata akikuita njoo sehemu flan hata huchelewi kwenda ,,
Lakin sasa kuna mengine sijui yalizaliwa wapi na kukulia wapi mi majitu ya hivi hapana bora nikae tu mwenyewe,jitu halijui kuvaa,halinukii,,hapana kabisa tena ukute na kikwapa juu ,,hunipati
Cc Daby
 
Kuna wanaume hapa duniani unatamani uwe nae muda wote asikuache ,anavyokuongelesha,,anavyojalii,,jinsi anavyokufanya huku anakuongelesha ,,,yaan huyo hata akikuita njoo sehemu flan hata huchelewi kwenda ,,
Lakin sasa kuna mengine sijui yalizaliwa wapi na kukulia wapi mi majitu ya hivi hapana bora nikae tu mwenyewe,jitu halijui kuvaa,halinukii,,hapana kabisa tena ukute na kikwapa juu ,,hunipati
Cc Daby
Star kwani mimi sipo romantic... unataka nikulambe hadi wapi ndiyo ujue niko romantic wewe?
 
kuna kenge mmoja alikua daily ananilalamikia eti siko romantic,mara sina diplomatic language ktk mapenzi..siku nilipokuja kumsomesha namba hakuamini...saivi amebaki tu kunitumia vitexts vya kipuuzi mara sijui nimekumiss mkurya wangu na bla bla zingine..ila ndo vile tena siwezi lea upuuzi ktk mahusiano bora tuvunje mkataba mapema ukatafute walio romantic huko wanakopatikana.
 
Baadhi yenu ndio mlivyo.. Ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini.. Khaa

Mwanaume muda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero.. Wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet, honey, babe, pumpkin, laaziz hawana hilo kabisa... Yaani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!!

Mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono.. Sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... Mkipanda kitandani sasa utaskia "Panua bwana usinipotezee mda wangu" or *Kama hutaki ondoka"..

Hii ndio sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..

Kuwa romantic kunapagawisha mwanamke.. Anajiona yupo kwenye himaya sahihi.. Anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli.. Anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake..

Mshike mkono mkitembea. Kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze, mbembeleze, hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..

Mjali kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (Sihamasishi uzinzi.. Muoane )

Wewe huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama Diamond.. Nsync.. Westlife.. Justin Bieber etc!...

Wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono.. Trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinawafanya wapagawe.. Wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..

Shauri yako..
Tupo wachache ambao tupo romantic.
 
Back
Top Bottom