Wanaume kutooa wapenzi wao wa muda mrefu

Wanaume kutooa wapenzi wao wa muda mrefu

Yaan kwa vyovyote vile ndoa yenu haiwez tena kuwa ya furaha na aman ya moyo...sabab kuu ikiwa ni tofaut ya dini na sasa itakuja kuwa mzigo kwa watoto wenu,,,kwan watakuwa njia panda hawatajua washike dini ipi kat yenu...ndoa inahitaj upendo wa ndan ya moyo na aman ya moyo ukifos ndoa ya namna hyo Moyon utakuwa huna aman,

Ndo hicho kitu mimi sitaki kuwatesa watoto wasio na hatia
 
Mkuu hiyo sio kozi ya diploma...watu wanaenda hadi six years...



Muombe mungu akusamehe kwa dhambi ulioitenda, maana huyo binti anaeza kukupa laana

Ok sumbai kwenye toba kwa mwenyezi mungu upo sahihi kabisa.. Ni kweli tumetenda dhambi kwa mda mrefu sana, miaka 7 ni mingi ila nisipomwacha sasa huenda ikafika hata 10 na zaidi...na huko nyuma nilishamuacha several times pasipo yeye kuwa na kosa lolote ndio maana aliponirudia na kunililia kama binadamu nilimuonea huruma.
 
Last edited by a moderator:
Usitoke katika mood NEEMA, ukweli ni kwamba aliponikubali miaka hiyo ilikuwa kama bahati, maana kwa nilipotokea na nilivyokuwa kwa kweli alinionyesha mapenzi ya dhati, mengi amefanya plus kunilipia ada, kunipa hela ya matumizi wakati nikiwa mwanafunzi japo nilikuwa nimemtangulia. Sasa kama mtu alikuwa mwema kiasi hicho kwangu, ningewezaje kumtema baada ya kuanza kujiweza? Ki ukweli hata yeye huwa namwambia ''mpenzi nakupenda lakini kubaki kwangu kuwa mwaminifu kwako na kuwa mume bora ni fadhila ya mambo uliyonifanyia miaka ile''......

Mie hiyo sentensi niliyoipigia mstari imenionda ktka mud.How could you?????
 
kiukweli kwenye hizi comment nimejifunza vitu vingi mno. nn cha kukifanya na nini nisikifanye. ILA wanaume popote mlipo nipo chini ya miguu yenu.msitufanyie hivyo watoto wa wanawake wenzenu.msemage mapema kama hamtatuoa tushike ustarabu mwingine tu, MY BOO popote ulipo naomba uniambie mapema nitafute uatarabu mwingine tu.
 
kiukweli kwenye hizi comment nimejifunza vitu vingi mno. nn cha kukifanya na nini nisikifanye. ILA wanaume popote mlipo nipo chini ya miguu yenu.msitufanyie hivyo watoto wa wanawake wenzenu.msemage mapema kama hamtatuoa tushike ustarabu mwingine tu, MY BOO popote ulipo naomba uniambie mapema nitafute uatarabu mwingine tu.
rubylove wakati mwingine tunakuwa wawazi tu kuwa baby kwa kweli sitoweza kukuoa kwa sababu moja au nyingine, ila unakuta wewe binti ndio umependa kupindukia jamaa anakua hana namna inabidi aendelee tu kudumu nawewe kwenye uhusiano kama sehemu ya kurudisha fadhila kwa yote mema uliyomtendea huko nyuma ila moyoni mwake unakuwa haupo kabisa
 
Last edited by a moderator:
rubylove wakati mwingine tunakuwa wawazi tu kuwa baby kwa kweli sitoweza kukuoa kwa sababu moja au nyingine, ila unakuta wewe binti ndio umependa kupindukia jamaa anakua hana namna inabidi aendelee tu kudumu nawewe kwenye uhusiano kama sehemu ya kurudisha fadhila kwa yote mema uliyomtendea huko nyuma ila moyoni mwake unakuwa haupo kabisa

kumbe.
 
Last edited by a moderator:
rubylove wakati mwingine tunakuwa wawazi tu kuwa baby kwa kweli sitoweza kukuoa kwa sababu moja au nyingine, ila unakuta wewe binti ndio umependa kupindukia jamaa anakua hana namna inabidi aendelee tu kudumu nawewe kwenye uhusiano kama sehemu ya kurudisha fadhila kwa yote mema uliyomtendea huko nyuma ila moyoni mwake unakuwa haupo kabisa

Aseeee hii mambo omba isikukute unaeza tamani usingezaliwa kabisa
Inauma saaana
 
Last edited by a moderator:
Honestly hana tabia mbaya coz nimesha date naye for the past seven years hivyo namjua vizuri tu..japokuwa anazungukwa na close friends ambao most of them ni vicheche as I said before.
Sababu ya kutotaka kumuoa nilishasema nimejipima mara nyingi tu nakugundua sina mapenzi ya dhati nayeye.. Kudumu kwetu kwa mda mrefu hv ni sababu ya kuzoeana kupita maelezo, ila I wish apate A man of her life..na sure I'm telling huyo jamaa atafurahia vitu vingi sana kwa huyu dada

hii case yako its almost the same na yangu japo wangu sijadumu nae mda mrefu.....

anyway wanasema life has never been fair
 
kiukweli kwenye hizi comment nimejifunza vitu vingi mno. nn cha kukifanya na nini nisikifanye. ILA wanaume popote mlipo nipo chini ya miguu yenu.msitufanyie hivyo watoto wa wanawake wenzenu.msemage mapema kama hamtatuoa tushike ustarabu mwingine tu, MY BOO popote ulipo naomba uniambie mapema nitafute uatarabu mwingine tu.

umeongea kwa uchungu kwel.......

sasa atakuacha vipi wkt replacement hajapata?? kuacha sio jambo dogo ndo mana tunatumia mda mrefu
 
kiukweli kwenye hizi comment nimejifunza vitu vingi mno. nn cha kukifanya na nini nisikifanye. ILA wanaume popote mlipo nipo chini ya miguu yenu.msitufanyie hivyo watoto wa wanawake wenzenu.msemage mapema kama hamtatuoa tushike ustarabu mwingine tu, MY BOO popote ulipo naomba uniambie mapema nitafute uatarabu mwingine tu.

Omba Mola atakusaidia kukupa aliye sahii kwa maisha yako, katu usimtegemee mwanadamu.
 
Hii inatokana na mabinti wengi kukosa uvumilivu kwa wenzi wao, hofu ya kuchujuka pia kutohimili mitongozo ya kijuha kutoka kwa wanaume wakwale na waroho wa mapenzi.
Mara nyingi mabinti ndio wavunjaji wakuu wa uchumba wa muda mrefu ILA WANAKOSEA SANA!
 
Hii inatokana na mabinti wengi kukosa uvumilivu kwa wenzi wao, hofu ya kuchujuka pia kutohimili mitongozo ya kijuha kutoka kwa wanaume wakwale na waroho wa mapenzi.
Mara nyingi mabinti ndio wavunjaji wakuu wa uchumba wa muda mrefu ILA WANAKOSEA SANA!

Imagine umedate na mtu miaka 5 afu ndo anakuja kusema siwezi kukuoa. Hadi upite kipindi cha maumivu, uje uanze tena mahusiano hadi upate sasa huyo mtu wa kukuoa. Haya na huyo baby mpya after miaka miwili anasema sijakupenda kwa dhati. Mmh binti wa watu hajazeeka pasipo sababu? Mnataka Tuvumilie kitu gani haswa? Maana kuna watu wapo vizuri tu lakini kuoa hawataki. Msipotezee mabinti za watu muda bana
 
nimedumu na demu wangu kwa miaka 8 aisee muda wa ndoa kufika nikajisikia tu nishamchoka nahitaji damu mpya
 
Mademu ni mapimbi sana,mahitaji ni zaidi ya hata Mungu alivokusudia,ni kuvumilia tu.
 
kiukweli kwenye hizi comment nimejifunza vitu vingi mno. nn cha kukifanya na nini nisikifanye. ILA wanaume popote mlipo nipo chini ya miguu yenu.msitufanyie hivyo watoto wa wanawake wenzenu.msemage mapema kama hamtatuoa tushike ustarabu mwingine tu, MY BOO popote ulipo naomba uniambie mapema nitafute uatarabu mwingine tu.

watoto wa wanawake wenzenu...hapo sijakuelewa kabisa...
 
Back
Top Bottom