Wanaume kutooa wapenzi wao wa muda mrefu

Wanaume kutooa wapenzi wao wa muda mrefu

Uwiiiii najuuutaa kupenda miee uwiii
Mkuu na wewe ulipitia huku mimi ilipoee?

Mm nimepitia na ni zaid ya mara moja had leo nashindwa kuuelewa moyo aisee nilisema ctapenda tena na kama nikipenda bac nitapenda kwa kiwango flan ila daah najikuta nazama kimo kile kile nilichozama nilikotoka vimbwanga kwa nimpendae vnaanza ila kila kitu kinawezekana kabisa
 
Teh teh....jamaa kalipa fadhila miaka saba ya kutumia...

Sijui wewe ungevumilia miaka saba? Usubiri malipo ya fadhira
Nimsubirie nani? Khaa miaka 7 labda kama walianzia o- level

Nliwahi tena sio mara moja enzi hizo za ubazazi. Acha tuu nilikuwa second year. The whole year i used to approach...anakuja kukaa sawa linakuja swala la dini, i loved her soo...paka leo tunawasiliana na kila mtu anareget for hizi dini..
Dini ilinikosesha mke,
Nliumia, ila muda ukaamua akajitokeza mwingine...
"Common faith" jambo la msingi sana ingawa tunalichukuliaga poa afu mwishoni mnaishia kuachana while mnapendana
 
Oooh shukrani mkuu kwa kushare nami experience yako ntafanya kila namna nipate ufumbuzi

Wewe mkuu unatakiwa kwanza psychological ukubali hali halisi na ukili mwenyewe kutoka ndani kwamba haiwezekani kuoana.

Then from there ukikili hivyo na kurealize unakuwa kama umereleze mzigo flani hivi moyoni. Accept kwamba its imposible...then move on..
Baada ya hapo nadhan fanya kuwa huru tu moyoni mwako na mentality iwe katika searchings...yani single and available....

Fungua ukurasa wa fulsa...kwa makini tuu unapata right substitution. Then maisha yanaendelea...

Huwezi kulazimisha mambo, ambayo kwa namna moja huko baadae probably inaeza kuletea shida kwenye malez na makuzi ya watoto, pia ule umoja wa kifamilia hautakuwepo
 
Uwiiiii najuuutaa kupenda miee uwiii
Mkuu na wewe ulipitia huku mimi ilipoee?

Unaona ugum kwa sabab pia ni ngum kumuacha mtu bila kosa lolote alilokufanyia, ukimuacha ukikumbuka hajakufanyia lolote baya roho lazima ikuume na huruma itakujia, so mtafutie kosa la kwanza abadili dini aje dini yako najua hapo kwake pagum so hapo ndo pakuanzia.....
 
Mm nimepitia na ni zaid ya mara moja had leo nashindwa kuuelewa moyo aisee nilisema ctapenda tena na kama nikipenda bac nitapenda kwa kiwango flan ila daah najikuta nazama kimo kile kile nilichozama nilikotoka vimbwanga kwa nimpendae vnaanza ila kila kitu kinawezekana kabisa

Polee sanaa mkuu
Nikifanikiwa kumaliza huu uhusiano sitaki tena ijirudie kwangu kosa moja lisizae lingine?mpenzi mnaoendana dini inapendeza asikwambie mtu na hata watoto hawapati shida
 
Nimsubirie nani? Khaa miaka 7 labda kama walianzia o- level

Teh teh teh sasa si maisha labda hayaja nyooka. Licha ya hivyo pia kuna swala la utayari wa mtu..(kimwili, kiakili, ) unavuta subira....
A haa haa


"Common faith" jambo la msingi sana ingawa tunalichukuliaga poa afu mwishoni mnaishia kuachana while mnapendana

kweli, linaletaga shida mnoo....ila kwanini watu sio flexible tuu kubadili na kuwa na common faith!? For their mutual benefit in their future...
 
Wewe mkuu unatakiwa kwanza psychological ukubali hali halisi na ukili mwenyewe kutoka ndani kwamba haiwezekani kuoana.

Then from there ukikili hivyo na kurealize unakuwa kama umereleze mzigo flani hivi moyoni. Accept kwamba its imposible...then move on..
Baada ya hapo nadhan fanya kuwa huru tu moyoni mwako na mentality iwe katika searchings...yani single and available....

Fungua ukurasa wa fulsa...kwa makini tuu unapata right substitution. Then maisha yanaendelea...

Huwezi kulazimisha mambo, ambayo kwa namna moja huko baadae probably inaeza kuletea shida kwenye malez na makuzi ya watoto, pia ule umoja wa kifamilia hautakuwepo

Waaaaooo ushauri wako nimeupenda sanaa i will consider it asante sumbai kwa hekima yako watu kama nyie tunawahitaji sana katika jamii
Barikiwa saaaaaanaaaa
 
Last edited by a moderator:
Polee sanaa mkuu
Nikifanikiwa kumaliza huu uhusiano sitaki tena ijirudie kwangu kosa moja lisizae lingine?mpenzi mnaoendana dini inapendeza asikwambie mtu na hata watoto hawapati shida

Ahsante mkuu, hili swala lako sio kubwa kiivyo, ingekua ishu kama tayar umezaa nae au una ujauzto wake bt now ni muda wako wa ku take action kabla jua halijazama likizama itakua ngum kwako sana ila kwa sa hv utaumia ila co kwa kiwango ambacho utaumia utakapochelewa!
 
Njema kabisa nilishawahi kumtega sanaa ili nimtafutie kosa lakini waaapii ndo mana inakua ngumu kumwacha coz lazima ataniuliza unaniacha kwa kosa gani au sababu zipi hapo ndo kigugumizi kinaanza
 
Last edited by a moderator:
kweli, linaletaga shida mnoo....ila kwanini watu sio flexible tuu kubadili na kuwa na common faith!? For their mutual benefit in their future...

Mkuu kubadili dini siyo jambo jepesi especially kama familia yako imeshikilia dini sanaa (mfano familia yangu mie ni ya kikristo)ni ngumu sana wazazi kukubali kuona mwanae anaenda dini tofauti na walivyokulea wao
 
Njema kabisa nilishawahi kumtega sanaa ili nimtafutie kosa lakini waaapii ndo mana inakua ngumu kumwacha coz lazima ataniuliza unaniacha kwa kosa gani au sababu zipi hapo ndo kigugumizi kinaanza

Yaan kwa vyovyote vile ndoa yenu haiwez tena kuwa ya furaha na aman ya moyo...sabab kuu ikiwa ni tofaut ya dini na sasa itakuja kuwa mzigo kwa watoto wenu,,,kwan watakuwa njia panda hawatajua washike dini ipi kat yenu...ndoa inahitaj upendo wa ndan ya moyo na aman ya moyo ukifos ndoa ya namna hyo Moyon utakuwa huna aman,
 
Last edited by a moderator:
kweli, linaletaga shida mnoo....ila kwanini watu sio flexible tuu kubadili na kuwa na common faith!? For their mutual benefit in their future...
Mmh kubadili dini si kitu kirahisi mpendwa
Mkuu kubadili dini siyo jambo jepesi especially kama familia yako imeshikilia dini sanaa (mfano familia yangu mie ni ya kikristo)ni ngumu sana wazazi kukubali kuona mwanae anaenda dini tofauti na walivyokulea wao
Yani hata kama wazazi wakubali, aisee mimi kama mimi kubadili dini sitoweza kamwe. Imani sio kitu cha kubadilishwa overnight. Ndo utashangaa mwingine anakubali kubadili dini kisa ndoa afu akifika kwenye ndoa anaact kama mpagani. seriously nibadili Imani yangu kisa mtu? I'll be fooling myself.
 
MKE wangu nilikaa naye kwenye uchumba kwa miaka 6, tangu nikiwa form six, chuo 4 years + mwaka mmoja kazini na leo tumeoana na tunaishi vizuri kabisa.
Ila siku niliyomwambia nataka kumuoa alicheka akidhani masihara na akaniambia kuwa ilikuwa imebaki miezi michache ili aniache na atafute mwanamume muoaji, alinivumulia kwa mengi na alikuwa akinipa huduma stahiki hivyo niliamua kulipa fadhila kwa kumuoa maana ndugu wote wa upande wangu walikuwa wanamjua.

Swala ni kujipanga tu na kuwa na malengo.

Mie hiyo sentensi niliyoipigia mstari imenionda ktka mud.How could you?????
 
Ahsante mkuu, hili swala lako sio kubwa kiivyo, ingekua ishu kama tayar umezaa nae au una ujauzto wake bt now ni muda wako wa ku take action kabla jua halijazama likizama itakua ngum kwako sana ila kwa sa hv utaumia ila co kwa kiwango ambacho utaumia utakapochelewa!

Asantee mkuu kwa ushauri waki mzurii ntaufanyia kazi kabla sijaanza jutia
 
Mmh kubadili dini si kitu kirahisi mpendwa

Yani hata kama wazazi wakubali, aisee mimi kama mimi kubadili dini sitoweza kamwe. Imani sio kitu cha kubadilishwa overnight. Ndo utashangaa mwingine anakubali kubadili dini kisa ndoa afu akifika kwenye ndoa anaact kama mpagani. seriously nibadili Imani yangu kisa mtu? I'll be fooling myself.

Umeeonaeee , kubadili dini ni shida sana mpaka uzoee taratibu za dini nyingine lazima uisome namber
 
Back
Top Bottom