Wanaume kutooa wapenzi wao wa muda mrefu

Wanaume kutooa wapenzi wao wa muda mrefu

Sababu ndo hiyo hairuhusiwi
kuwa na hawara kabla ya ndoa !!?
vingievyo utakuwa mnajimaliza wenyewe !
 
Kwa nini huyo binti hakubaliki nyumbani kwenu?
Mama yangu huniambia bado naweza pata binti mzuri zaidi ya huyu...wanahisi hana tabia nzuri coz alishawahi kuzaa mapema sana akiwa secondary hivyo mtoto wake ni mkubwa tu kwasasa..japo ukimuona ni mpaka mtu akuambie huyu dada ana mtoto otherwise huwezi hata kudhania ana chuchu zile tunaziita saa nne kasoro hata saa sita bado hazijafika..na kiumri tunalingana miaka..
 
Mama yangu huniambia bado naweza pata binti mzuri zaidi ya huyu...wanahisi hana tabia nzuri coz alishawahi kuzaa mapema sana akiwa secondary hivyo mtoto wake ni mkubwa tu kwasasa..japo ukimuona ni mpaka mtu akuambie huyu dada ana mtoto otherwise huwezi hata kudhania ana chuchu zile tunaziita saa nne kasoro hata saa sita bado hazijafika..na kiumri tunalingana miaka..
Na wewe unavyoona tabia zake kweli ni mbaya? Anyway mwisho wa siku wewe ni msemaji wa mwisho
 
Na wewe unavyoona tabia zake kweli ni mbaya? Anyway mwisho wa siku wewe ni msemaji wa mwisho

Honestly hana tabia mbaya coz nimesha date naye for the past seven years hivyo namjua vizuri tu..japokuwa anazungukwa na close friends ambao most of them ni vicheche as I said before.
Sababu ya kutotaka kumuoa nilishasema nimejipima mara nyingi tu nakugundua sina mapenzi ya dhati nayeye.. Kudumu kwetu kwa mda mrefu hv ni sababu ya kuzoeana kupita maelezo, ila I wish apate A man of her life..na sure I'm telling huyo jamaa atafurahia vitu vingi sana kwa huyu dada
 
Honestly hana tabia mbaya coz nimesha date naye for the past seven years hivyo namjua vizuri tu..japokuwa anazungukwa na close friends ambao most of them ni vicheche as I said before.
Sababu ya kutotaka kumuoa nilishasema nimejipima mara nyingi tu nakugundua sina mapenzi ya dhati nayeye.. Kudumu kwetu kwa mda mrefu hv ni sababu ya kuzoeana kupita maelezo, ila I wish apate A man of her life..na sure I'm telling huyo jamaa atafurahia vitu vingi sana kwa huyu dada
Daah haya bana, it shall be well with her.
 
Honestly hana tabia mbaya coz nimesha date naye for the past seven years hivyo namjua vizuri tu..japokuwa anazungukwa na close friends ambao most of them ni vicheche as I said before.
Sababu ya kutotaka kumuoa nilishasema nimejipima mara nyingi tu nakugundua sina mapenzi ya dhati nayeye.. Kudumu kwetu kwa mda mrefu hv ni sababu ya kuzoeana kupita maelezo, ila I wish apate A man of her life..na sure I'm telling huyo jamaa atafurahia vitu vingi sana kwa huyu dada

Basi uwe mkweli usimwache azeekee mikononi mwako wakati humpendi. Na umwache kwa amani tu inawezekana anadhani utabadili mawazo anakusubiri mda wote huo.
Akiondoka labda utapata mda wa kujua vizuri kwamba hiyo miaka 7 hakukufaa au laa na iwapo unamhitaji.
Ndugu zako hawataishi naye hata angekuwa hajawahi zaa, mama ako siku zote hataona kuna mwanamke yeyote ana hadhi ya kuwa na mwanae hiyo ni fact maana yeye anadhani anakufahamu zaidi hicho ndo chanzo cha vita vya mama mkwe na mawifi. Ndo maana maandiko yanasema mtu ataachana na baba ake na mama ake na kuambatana na mkewe ya kwenu yaache kwenu usiwasingizie katika kumwacha binti wa watu
 
Hahahahah pouwa PesaNdogo nimekuelewa ushauri wako uko well noted... Na utekelezaji ulishaanza hata kabla ya huu uzi... Nataka kumwacha taratibu kabisa pasipo kumletea maumivu yoyote, bila shaka mwisho wa siku atanielewa coz sio tu nampotezea mda wake hata mimi pia napoteza mda mwingi tu kwa kudate na mtu ambaye najua fika siwezi kumuoa na umri wenyewe ndio huu tayari....
 
Last edited by a moderator:
Me wangu wa toka tuko standard five kaja kaniacha juzi kati,ila cha ajabu jamaa kamzalisha then kamuacha.
 
Wanawake wenyewe muda mwingine huwa mnachangia kukaa na mtu kwa muda mrefu na kuachika,mfano:mimi nimekaa na binti kwa muda wa miaka 4 mwisho wa siku tukaachana na bado yeye alikuwa anakomaa niendelee nae,tatizo lilikuwa ni dini mimi mkiristo yeye muislam,kubadili dini hataki anataka mimi ndo nibadili,nikamwambia hapa hakuna future,tuachane kila mtu aendelee na maisha yake,yeye anakomaa ananambia nikipata mwingine ndo nimwambie tuachane,nimekuja kumpata mwingine akamaindi balaaa,ila mwisho wa siku kila mtu alibaki kivyake!
 
Ni bahati na mipango. Mi 8+ years yet tukaooana. Walokuwa wanatutabiria kuachana ndo walitupa nguvu ya kuwa pamoja. Tumepigania malengo yetu pamoja.
 
Wanawake wenyewe muda mwingine huwa mnachangia kukaa na mtu kwa muda mrefu na kuachika,mfano:mimi nimekaa na binti kwa muda wa miaka 4 mwisho wa siku tukaachana na bado yeye alikuwa anakomaa niendelee nae,tatizo lilikuwa ni dini mimi mkiristo yeye muislam,kubadili dini hataki anataka mimi ndo nibadili,nikamwambia hapa hakuna future,tuachane kila mtu aendelee na maisha yake,yeye anakomaa ananambia nikipata mwingine ndo nimwambie tuachane,nimekuja kumpata mwingine akamaindi balaaa,ila mwisho wa siku kila mtu alibaki kivyake!

I gotta same problem like yours i dont know what to do although im inlove
Soo confused
 
Honestly hana tabia mbaya coz nimesha date naye for the past seven years hivyo namjua vizuri tu..japokuwa anazungukwa na close friends ambao most of them ni vicheche as I said before.
Sababu ya kutotaka kumuoa nilishasema nimejipima mara nyingi tu nakugundua sina mapenzi ya dhati nayeye.. Kudumu kwetu kwa mda mrefu hv ni sababu ya kuzoeana kupita maelezo, ila I wish apate A man of her life..na sure I'm telling huyo jamaa atafurahia vitu vingi sana kwa huyu dada

Ulichofanya siyo sahihi na wanaume wengi hufnya hili kosa"kwanini kama mtu humpendi kwa dhati unaendelea kumtumia na kumpotezea muda wake and resource zake
Mwambie mapema bwanaaee mie sina upendo kwako kila mtu atafute true love kwingine
7 years maskini huyo dada
Sijui ataanzia wapii kuricover
 
kumbeee....haitakiwi muishi pamoja kabla ya kuoana.

wow kumbe hii ni njia nzuri zaidi maana utapata muda wakutosha kumfahamu kabla mu approve as real wife than when you spend with her for while withot knowing her much then u get into marriage with litle knowlodge about her
 
Binafsi nilishawahi kuwa kwenye relationship na binti for seven years...nilidumu naye coz tulizoeana sana na alinipenda kwa kweli japo nikimwambia siwezi kuja kukuoa anasema poa tu, na nikijaribu kumuacha ananililia sana to the extent kama binadamu namuonea huruma...ila honestly sikumpenda ile 100%

Sasa ulikaa naye wanini if hukumpenda ? If mtu humpend mwambie kamwe usione huruma katika mapenz
 
Back
Top Bottom