Wanaume kupaka rangi kucha mabinti

huwa wanajua kupaka rangi sana na kuchora........wanawake wengi hawajui kuchora..........sijui nimekujibu?
preta hujanijibu mwanaume mzima unachungulia michirizi ya wnwk wakati hii nchi inamapori ya kumwaga ,hiyo ni kazi ya akidada bana wawachie nawao ni sehemu ya kujiingizia kipato upungufu wa maono kwa wanaume mm nasema hii ni laana kwa wanaume,it cnt be that way no matter what
 
Alafu hao wanawake walivyowehu akfanya kazi hyo mwanamke mwenzao hawaendi.. Ninao ushahidi wa'waz dada yangu ana'saloon yake lkn wenzake wamemsusia hata hawaendi
 
na wanao chora tatoo na piko wanawake??????unakuta mkeo kakuchorea picko kwenye wowowo...lolumewahi uliza kachorwa na nani??????ukichunguza sana mwanamke utaishia uchizi lol
Usipekue sana ...Hivi we hupendi tattoo chini ya mgongo juu ya ta'ko
 
kupaka rangi kucha wanawake sio kazi ya kiume kabisa mapori yamejaa hii nchi halafu tunashika vidole na mapaja ya akinamama hii ni laana unajua??, waje huku tulime bana waache ujinga kabisa
Na nyie ndo hata kushika jembe hamjui..maneno tu!!
 
mi sipendi tatoo hizo

napenda hina kwenye wowowo hivi
na piko kwenye mapaja lol

unaweza hiyo????????


Hii mada naifananisha na wanaume wanaoenda kufanyiwa masaji mitaani
Hahahahahah

Ni aina ya wivu tu mkuu, kama unakuwa so confused ukiona mpnz wako anashikwa miguu na kupakwa rangi mwambie tu.
Raha ya mapenzi ni wivu bana, kama huna wivu hujapenda
Habari ndo hii . . . .
 
hivi wewe unafikiri mwanaume wa kweli kweli atafanya kazi ya kupaka kucha wadada???????

hao kazi yao ni kujiongezea hamu tu,kula wanakula wengine....
Mkuu acha kuzarau kazi za wenzio.....hiyo ni kazi kama unavyoona kazi nyingine.
Mkuu unaishi dunia gani wewe? kwa taharifa yako hiyo kazi inakipato kuliko unavyofikilia....sema mazingira ya kazi kwa pale mwenge
ndiyo yanashusha thamani ya kazi hii.
 
preta hujanijibu mwanaume mzima unachungulia michirizi ya wnwk wakati hii nchi inamapori ya kumwaga ,hiyo ni kazi ya akidada bana wawachie nawao ni sehemu ya kujiingizia kipato upungufu wa maono kwa wanaume mm nasema hii ni laana kwa wanaume,it cnt be that way no matter what

acha tupakwe bana.....hapa mwenyewe nimeshaweka booking na MR Kucha leo.....lazima nikapakwe....si unajua w/end ndo hii
 
wanapata aisee, hasa wale wamama wa nyumbani, waume zao wakiwa wameenda kazini, utakuta mme wake mwnyewe kitambi kutupu kazi jana yake hakuiweza vizuri, maza akijashikwashikwa vidole analegea anamwingiza mpaka kucha ndani wanamaliza kiulainiii, father yuko posta ofisini anatafuta hela ya watoto, akirudi, maza anataka hata kidogo tu, kwasababu faza naye kitambi kinamsumbua, cha kwake ni kimoja tu hoi..hivyo balance inakuwa safiii hapo...nakwambia wanakula ile mbaya, ukizingatia wanawake husisimka zaidi kwa kushikwashikwa,,sio kuona kama sisi wanaume.
Mkuu hizo ni hisia zako tu! lakini hakuna kitu kama hicho.....na kama kitakuwepo si kwa wamama wote waendao pale mwenge. Amini nawaambieni hiyo ni kazi kama kazi nyingine tu, tene ni kazi mzuri sana kwa kipato kuliko mshahara wa mwalimu wa shule za kata
 
sisi sote ni watu wazima hakuna mtoto hata kidogo-pale mwenge lazima kuna jambo.haya mambo ya wanaume kuafanya kazi yz kuwahudumia wanawakemfano,kucha,saluni au wanawake kuwahudumia wanaume mfano massage au saloni za kiume ndani yake kuna siri imefichika.lazima msukumo wake ni uasherati na uzinzi.
 
Kwani nyie mnajifanya “NDIO WANAUME HASWA“ tatizo lenu nini haswa?!Kama wanaofanya hiyo kazi na wanaofanyiwa hawalalamika iweje nyie mnaumia sana?!
Hata mie nawashangaa sana kwanini wanaumia kuona some guys are doing thiz job....alafu wanaonyesha kuizarau sana kazi hiyo kupita kiasi.
Ila nimegundua watu waliowengi wanaangalia mazingira ya mwenge tu na some uswazi area tu kuhusiana na hii kazi.....ningependa siku moja watembelee kwenye masalon makubwa ya kiprofeshino ili wajionee how it goes....mtu analipwa laki 5 tano hadi 7 kwa mwezi.
 
Hata mie nawashangaa sana kwanini wanaumia kuona some guys are doing thiz job....alafu wanaonyesha kuizarau sana kazi hiyo kupita kiasi.Ila nimegundua watu waliowengi wanaangalia mazingira ya mwenge tu na some uswazi area tu kuhusiana na hii kazi.....ningependa siku moja watembelee kwenye masalon makubwa ya kiprofeshino ili wajionee how it goes....mtu analipwa laki 5 tano hadi 7 kwa mwezi.
Ukiona mtu anahangaika kuonyesha mawazo yake...kazi yake na yeye mwenyewe ni bora kuliko wengine hivyo aigwe yeye unapotezea tu. Kuna dalili za kutojiamini.....
 
sisi sote ni watu wazima hakuna mtoto hata kidogo-pale mwenge lazima kuna jambo.haya mambo ya wanaume kuafanya kazi yz kuwahudumia wanawakemfano,kucha,saluni au wanawake kuwahudumia wanaume mfano massage au saloni za kiume ndani yake kuna siri imefichika.lazima msukumo wake ni uasherati na uzinzi.
Pole sana naona uko mbali sana na dunia ya sasa! mkuu haya mambo tumeletewa mfano wa hizi dini 2 kubwa. Nenda China,USA,UK,CANADA,S.AFRICA,JAPAN nk. utaona ni the samething tu. Au nyie mlitaka hawa watu wafanye kazi gani? na kama hawajasoma inakuwaje? Eti mnasema ni kazi za wakinadada....hiyo sheria imepitishwa wapi? acheni zarau jamani
 
na wanao chora tatoo na piko wanawake??????

unakuta mkeo kakuchorea picko kwenye wowowo...lol
umewahi uliza kachorwa na nani??????

ukichunguza sana mwanamke utaishia uchizi lol

Mkuu mashine ya kuchorea tatoo si chini ya 2 mil,kujifunza how to do that job si chini ya miezi 6 na malipo yake si chini ya mil.1 kwa kujifunza.
Kwahiyo kazi hizi za beauty hazina tofauti na hospitali....inategemea na mtu anayetoa hiyo huduma na location....ni kweli usipende kumchunguza mamito wako pindi aendapo au atokapo salon....lakini kuwa na imani nae tu maana hakuna kitu kibaya pindi hawapo saloon
 
acha tupakwe bana.....hapa mwenyewe nimeshaweka booking na MR Kucha leo.....lazima nikapakwe....si unajua w/end ndo hii
Preta naomba niwe mpaka kucha wako, maana naona Wiselady ananizingua tu...
 
acha tupakwe bana.....hapa mwenyewe nimeshaweka booking na MR Kucha leo.....lazima nikapakwe....si unajua w/end ndo hii
Ukimkosa au ukamkuta yuko busy....basi ni PM ili nikuelekeze somewhere uende na watakuweka kucha za Gel....gharama yake like tsh 40,000 na utaspend like 2 hrs ndani ya salon hadi kumaliza
 
heheheeeee! mbona nyie mkienda fanyiwa massage na wadada hatulalamiki jamani..:dance:
 
Back
Top Bottom