Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,227
- 1,389
- Thread starter
- #21
preta hujanijibu mwanaume mzima unachungulia michirizi ya wnwk wakati hii nchi inamapori ya kumwaga ,hiyo ni kazi ya akidada bana wawachie nawao ni sehemu ya kujiingizia kipato upungufu wa maono kwa wanaume mm nasema hii ni laana kwa wanaume,it cnt be that way no matter whathuwa wanajua kupaka rangi sana na kuchora........wanawake wengi hawajui kuchora..........sijui nimekujibu?