Wanaume kuogopa wanawake

Wanaume kuogopa wanawake

Kusema UKWELI.
Mwanaume ni kweli kuwa muoga kumuoa mwanamke aliye mzidi kimali,biashara,na majumba.
coz,wanaume wanachohofia ni kwamba
wewe mwanamke utakuwa juu zaidi ya mwanaume na utapaza sauti juu yake,so mwanaume kama mwanaume atajisikiaje?
Atahisi shame.Na ndipo utakuta ndoa hakuna.But hili swala wanawezana wazungu but not waswahili wa bongo uswazi mbona utakoma huyo mwanamke kwa mashoga zake.
 
If i may ask iv kutokuolewa ndo mwsho wa maisha?? Vichaa je au wagonjwa wa kudumu wao hawana maisha?mfano mtu aliyepararaiz mh,....
 
Tafuta hela bebi ukipata nyingi niPM nikuoe mm siogopi wenye hela ndo nawataka.
 
I heard story a lady sold her house so that she doesnt intimidate her husband. Tena akabadili aina ya maisha akawa "very homely" kama wanavyosema kule Nigeria.

Hii mambo ipo.
 
Hulka na tabia ya vile/wale wanaoitwa dume ama wànaume duniani kote havipendi kutawaliwa na ..KE
 
Habari zenu sana jf

Kuna jambo linanitatiza hapa na sijajua if lina ukweli ndani yake au la. Siku ya X-mas nilikua na rafiki yangu mmoja tukawa tunapiga story, akaniambia kuwa ukiwa msichana, unafanya kazi, unajiweza, una gari inabidi uolewe.

Mimi nikamjibu kwamba ndoa sio jambo la kukurupuka, mpaka sasa sijaona atayenifaa na ambaye nitaendana nae. Sasa nilipomwambia kuolewa is not my priority nina plans zangu za maendeleo zaidi like kujenga nyumba etc alihamaki akaniambia,"Shosti wanaume watakuogopa na hutaolewa kamwe".

Hii statement imenishangaza. Kwahiyo eti nisifanye maendeleo yoyote eti sababu wanaume wataniogopa? Mbona wanawake tumekua watumwa wa ndoa hivi? Kwanini nisifanye kitu roho inapenda kwa kuhofia hiyo kitu?

Swali langu ni je ni kweli wanaume huogopa wanawake waliowazidi kipato? Kama ni kweli ni kwanini? Kwani mwanaume akinioa anashindwa kuja kuishi kwenye nyumba yangu?
Ukimzidi mwanaume kipato utakuwa hautoi papuchi vizuri, ukiniuliza kwa sababu gani nitakwambia, ngoja kwanza nimrudushie Mteja chenji.
 
Habari zenu sana jf

Kuna jambo linanitatiza hapa na sijajua if lina ukweli ndani yake au la. Siku ya X-mas nilikua na rafiki yangu mmoja tukawa tunapiga story, akaniambia kuwa ukiwa msichana, unafanya kazi, unajiweza, una gari inabidi uolewe.

Mimi nikamjibu kwamba ndoa sio jambo la kukurupuka, mpaka sasa sijaona atayenifaa na ambaye nitaendana nae. Sasa nilipomwambia kuolewa is not my priority nina plans zangu za maendeleo zaidi like kujenga nyumba etc alihamaki akaniambia,"Shosti wanaume watakuogopa na hutaolewa kamwe".

Hii statement imenishangaza. Kwahiyo eti nisifanye maendeleo yoyote eti sababu wanaume wataniogopa? Mbona wanawake tumekua watumwa wa ndoa hivi? Kwanini nisifanye kitu roho inapenda kwa kuhofia hiyo kitu?

Swali langu ni je ni kweli wanaume huogopa wanawake waliowazidi kipato? Kama ni kweli ni kwanini? Kwani mwanaume akinioa anashindwa kuja kuishi kwenye nyumba yangu?
Mnadharau sana ndio utasikia mwanaume suruali
 
Interesting story, but, wanaume hawaogopi kumuoa mwanamke mweny mali zake, lahasha, kinachofanya tusiwaoe ni udhaifu mlio nao, ukiisha pata unajikweza na kumshusha mumeo, unamdharau, utasema wa kazi gani huyu akati familia naitunza mim. Muda huo uko na mashoga zako wasiokuwa na akili kama wew mnatetana habar za familia. Wew jenga, nunua halafu ukatafute mbunge au waziri au mfanyabiashara kama akina manji mtaishi
 
Back
Top Bottom