Hb wa Ilala
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,190
- 1,217
..Hao wanaume wa dar
ila humfanyii haki.. kama humtaki mteme kuliko kumsengenya, ili nawe utafute walokuzidi uwezo wenzako.. kumchora kwenye kadamnasi sio nginja bora uachane nae tuNahisi ananiogopa japo ni mpenda kitonga, anashindwa kufanya maamuzi ya kuoa coz nimemzidi ila kitonga anakipenda
Habari zenu sana jf
Kuna jambo linanitatiza hapa na sijajua if lina ukweli ndani yake au la. Siku ya X-mas nilikua na rafiki yangu mmoja tukawa tunapiga story, akaniambia kuwa ukiwa msichana, unafanya kazi, unajiweza, una gari inabidi uolewe.
Mimi nikamjibu kwamba ndoa sio jambo la kukurupuka, mpaka sasa sijaona atayenifaa na ambaye nitaendana nae. Sasa nilipomwambia kuolewa is not my priority nina plans zangu za maendeleo zaidi like kujenga nyumba etc alihamaki akaniambia,"Shosti wanaume watakuogopa na hutaolewa kamwe".
Hii statement imenishangaza. Kwahiyo eti nisifanye maendeleo yoyote eti sababu wanaume wataniogopa? Mbona wanawake tumekua watumwa wa ndoa hivi? Kwanini nisifanye kitu roho inapenda kwa kuhofia hiyo kitu?
Swali langu ni je ni kweli wanaume huogopa wanawake waliowazidi kipato? Kama ni kweli ni kwanini? Kwani mwanaume akinioa anashindwa kuja kuishi kwenye nyumba yangu?
Hili ni tusi la pili tunatukanwa wanaume wa JF ambalo siyo la nchi hii baada ya lile la mdada mmoja kuja na uzi hapa kuwa anatafuta mwanaume mwenye chura!!

Effect yake ni kubwa sana Dada yangu kwanza mwanaume hatajiamini hata katika maamuzi maana pesa ina nafasi kubwa sana katika maamuzi na ndio inaamua, .mm nakushauri kama unataka Mr Right basi anza nae mapema ajue malengo yako na ujue malengo yake.Habari zenu sana jf
Kuna jambo linanitatiza hapa na sijajua if lina ukweli ndani yake au la. Siku ya X-mas nilikua na rafiki yangu mmoja tukawa tunapiga story, akaniambia kuwa ukiwa msichana, unafanya kazi, unajiweza, una gari inabidi uolewe.
Mimi nikamjibu kwamba ndoa sio jambo la kukurupuka, mpaka sasa sijaona atayenifaa na ambaye nitaendana nae. Sasa nilipomwambia kuolewa is not my priority nina plans zangu za maendeleo zaidi like kujenga nyumba etc alihamaki akaniambia,"Shosti wanaume watakuogopa na hutaolewa kamwe".
Hii statement imenishangaza. Kwahiyo eti nisifanye maendeleo yoyote eti sababu wanaume wataniogopa? Mbona wanawake tumekua watumwa wa ndoa hivi? Kwanini nisifanye kitu roho inapenda kwa kuhofia hiyo kitu?
Swali langu ni je ni kweli wanaume huogopa wanawake waliowazidi kipato? Kama ni kweli ni kwanini? Kwani mwanaume akinioa anashindwa kuja kuishi kwenye nyumba yangu?
hapana si hivyo bali wanawake wa kileo wanapo miliki vitu au mali hudharau ndoa zao na wanataka wanaume zao wawe chin yaoKwa maana ni aibu na fedheha mume kulishwa na mkewe
Tusi how, kwani ubaya uko wapi...kama huna nyumba so bora nikusitiri MTT Wa kiumeHili ni tusi la pili tunatukanwa wanaume wa JF ambalo siyo la nchi hii baada ya lile la mdada mmoja kuja na uzi hapa kuwa anatafuta mwanaume mwenye chura!!
![]()
![]()
Una uhakika? Au umehadithiwa na wasio jiamini?Wanawake wengi wenye pesa huoa na c kuolewa,hivyo jiandae kuoa,mjini msingu kiuno na na c mwanaume Wa kujenga familia iliyonjema na mwenye mawazo chanya ndani ya familia,Kwan wanawake wengi wenye uchumi mzuri hujawa na viburi na dharau kwa wenza wao.
Sasa kama umemzidi atakuaje Juu yakohapana si hivyo bali wanawake wa kileo wanapo miliki vitu au mali hudharau ndoa zao na wanataka wanaume zao wawe chin yao
Atakuja tafuta ndoa /mwanaume when it come too late.ni kweli wanaogopa sababu wanwake tunakuwa na dharau.. ila usijali we jiendeleze achna na maswala ya ndoa si lazima wote tuolewe
amuue yeye kumuoa mwanaume kuna vijana msingi kiuono mjin awalee. Kwakuwa mdaa huu hana time but mnajidanganyamaisha ni kupanga na kuchagua .. ameshasema si lazima ndoa .. but muda ni mwalimu mzuri tu...... ukiona mtu ameshafanya maamuzi usipende sana kuingilia maamuzi yake mwache huku ukijua time will tell.Atakuja tafuta ndoa /mwanaume when it come too late.![]()
![]()
![]()
![]()
amuue yeye kumuoa mwanaume kuna vijana msingi kiuono mjin awalee. Kwakuwa mdaa huu hana time but mnajidanganya
Time eehmaisha ni kupanga na kuchagua .. ameshasema si lazima ndoa .. but muda ni mwalimu mzuri tu...... ukiona mtu ameshafanya maamuzi usipende sana kuingilia maamuzi yake mwache huku ukijua time will tell.

maisha ni kupanga na kuchagua .. ameshasema si lazima ndoa .. but muda ni mwalimu mzuri tu...... ukiona mtu ameshafanya maamuzi usipende sana kuingilia maamuzi yake mwache huku ukijua time will tell.
nmekuelewa sana mkuu