Wanaume kuogopa wanawake

Wanaume kuogopa wanawake

Tatizo sio tu wewe mwanamke na pesa yako bali hata ndugu zako wanaweza kuniona sina jipya nakufubaza ila kwakuwa sina mali
Nakusihi mtafute aliyekuzidi pesa au mnayelingana na ukikosa mtafute aliyekuzidi elimu kwa mbali sanaaa huenda ukamuheshimu kwa elimu yake but vinginevyo ndoa haitodumu ukimpata uliyemzidi kila kitu
Women you are weak sana unaweza kumpenda marafiki na ndugu wakakubadili msimamo
History inasema tutakula kwa jasho na mtazaa kwa uchungu so ukiwa na kila kitu nini jukumu langu kama baba? Kulala? Mwisho wa siku utaniletea wanaume ndani
 
mi napenda ajue kwamba hakuna mtu mwenye uwezo asiekua na mtu mwingine aliekua na uwezo juu yake so huyo mwanamke hata awe na uwezo kiasi gani kutakua na mwanaume mwenye uwezo zaidi yake na huyo ndio atakae muoa
Kweli mkuu....ila humu usiwe serious sanaa
 
Ni kwa sababu ya baadhi ya wanawake
wenye kipato kuwa na nyodo na kuwadharau
waume zao,basi hakuna jingine.

Ni hili swala la kusema wanaume wanawaogopa
ni lugha ya mitaani,mwanaume wa ukweli hapendi vitu
vya dezo.Si kawaida mwanaume kutunzwa na mwanamke.
ndo maana mwanaume anaoa mtu ambaye wanaendana kimapato
ili wainuane kwa pamojana si kumtegemea mke wake.

Sasa je ni kwa nini wadada wenye uwezo
huchelewa kuolewa?
binafsi naweza kusema,hii inatokana na ukweli
kwambo vijana wengi wanaotaka kuoa huwa hawajawana uwezo
mkubwa wa kumiliki mali na hivyo kwa kuepuka nyodo kwenye ndoa zao
huwatafuta wanaolingana nao kimapato.Ni hili ndo kundi kubwa la waoaji.

Back to the point,kwa kuwa wewe unaamini katika
maendeleo kabla ya kuolewa,fanya upendavyo.
la kuzingatia ni kuwa,miili inazeeka,ila maendeleo hayazeeki.
anaweza kuyapata mtu yoyote,muda wowote awe ndani ya ndoa au nje.
endapo ataweka bidii kuyatafuta. Kupanga ni kuchagua.
%95 umezimaliza nasisi umetuachia asilimia 5, nimependa hapo miili inazeeka ila maendeleo hayazeeki, kila mtu anaweza kupata maendeleo haijarishi yupo kwenye ndoa au la! Afanye kitu roho inapenda, nimependa mchango wako
 
Malingumu ila nitaipata tu..
Mwanamke aliye na pesa pasipo ;
1.hekima,
2.heshima,
3.ukarimu
4.Utii
5.busara
6.Uaminifu .
Hafai kuwa mke.
Kama pesa inakufanya ufanye maamuzi kinyume na 1-6 basi wewe unatawaliwa na Pesa na bila shaka utakuwa limbukeni wa pesa maana hujaizoea pesa..wewe hata ukiolewa ndoa yako haitadumu.
Viceversa is true.
NB: Kiburi cha pesa ni sumu.
 
Ni tamaduni tu za kiafrika zinamuona kuwa mwanaume ndiye "bread winner". kwa mfano Mwanaume akiishi kwenye nyumba aliyojenga mwanamke anaonekana "ameolewa na huyo mwanamke"-jambo ambalo linaonekana kuwa ni aibu kwa mwanaume huyo. Pia baadhi ya wanawake wenye uwezo mkubwa kiuchumi, kielimu, kimafanikio, kuliko waume zao wanaweza kuwa na tabia ya kuwadharau hao waume zao -na kuwaita "wanaume suruali".

All in all, kinachotakiwa ni watu wawe wacha Mungu!. Wanaomcha Mungu hawawezi kuwa na tabia za ajabu.
Kwani bread winner anapaswa kuwa nani kutokana na maandiko?
 
mm naamin nitaaply mahusiano na wakuswampa soon tyu nikisikiaaa kamaliziaa mjengo wakeee
maaana mm siogopi wanawake waliofanikiwaaa bali ndo nawataftaaaaaaaaaaaaaaaaa

by mpenda kitongaaaaaaaaaaaaa
 
wakuswampa kupitia thread hii utapata mume...labda usipende wewe ila wa kila aina humu wapo..!!
 
Niko kwenye late 20's
.....umekulakula chumvi kumbe.....white will remain white n black .....black.....mwanaume anaejitambua hatataka siku moja mkikorofishana umletee mdomo kuwa hichi ni changu or unaishi kwenye nyumba yangu n blah blah blah.....mwanaume ameandikiwa kuwa kiongozi kama hatapata huo uongozi kwenye ndoa atautafuta kwa mchepuko!!!

Wanaume hawapendi wake wenye maendeleo coz mnakuwa Wanaume wawili kwenye nyumba
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Nani alisema hiyo??
...hapo juzi kuna uzi ulimuundia bwanako na ukamnyamba hadi mi mwenyewe nikakuuliza wanaume wa mtindo huo mnatoaga wapi?.. we mwenyewe ni shahidi wa hilo, jinsi ulivyokuwa ukimsema bwanako sijui tegemezi, mara ulimpa laki moja, mara alitoka dar hadi moro na nauli ya kurudia ulimpa.. afu ukaja lalamika hapa, leo hii unapingana na vile ambavyo uliviwasilisha, sasa kama unaona ni sawa kumlisha mwanaume.., kwanini ulimnyea vibaya yule bwanako? na kwanini usiendelee naye huyo ukampa kila anachotaka kama ni vizuri?... hakuna MWANAUME fala anaekubali kulelewa na mwanamke milele na milele.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
.....umekulakula chumvi kumbe.....white will remain white n black .....black.....mwanaume anaejitambua hatataka siku moja mkikorofishana umletee mdomo kuwa hichi ni changu or unaishi kwenye nyumba yangu n blah blah blah.....mwanaume ameandikiwa kuwa kiongozi kama hatapata huo uongozi kwenye ndoa atautafuta kwa mchepuko!!!

Wanaume hawapendi wake wenye maendeleo coz mnakuwa Wanaume wawili kwenye ndoa
 
hatuogopi wanawake wenye kipato.. tunachoogopa ni kudharauliwa .asimia kubwa ya wanawake wanapokuwa na kipato hukosa heshima kwa wenza wao..sasa hakuna mwanaume mwenye akili timamu anapenda kudharauliwa..kumbuka kuwa we are super before God.
Hakunaga dharau mnajistukia tu, hamjiamini...mmekuzwa na mfumo dime kuwa Juu, shida inaanzia hapo
 
mi napenda ajue kwamba hakuna mtu mwenye uwezo asiekua na mtu mwingine aliekua na uwezo juu yake so huyo mwanamke hata awe na uwezo kiasi gani kutakua na mwanaume mwenye uwezo zaidi yake na huyo ndio atakae muoa
Word
 
Malingumu ila nitaipata tu..
Mwanamke aliye na pesa pasipo ;
1.hekima,
2.heshima,
3.ukarimu
4.Utii
5.busara
6.Uaminifu .
Hafai kuwa mke.
Kama pesa inakufanya ufanye maamuzi kinyume na 1-6 basi wewe unatawaliwa na Pesa na bila shaka utakuwa limbukeni wa pesa maana hujaizoea pesa..wewe hata ukiolewa ndoa yako haitadumu.
Viceversa is true.
NB: Kiburi cha pesa ni sumu.
Umenena vyema mkuu
 
.....umekulakula chumvi kumbe.....white will remain white n black .....black.....mwanaume anaejitambua hatataka siku moja mkikorofishana umletee mdomo kuwa hichi ni changu or unaishi kwenye nyumba yangu n blah blah blah.....mwanaume ameandikiwa kuwa kiongozi kama hatapata huo uongozi kwenye ndoa atautafuta kwa mchepuko!!!

Wanaume hawapendi wake wenye maendeleo coz mnakuwa Wanaume wawili kwenye nyumba
Duh
 
...hapo juzi kuna uzi ulimuundia bwanako na ukamnyamba hadi mi mwenyewe nikakuuliza wanaume wa mtindo huo mnatoaga wapi?.. we mwenyewe ni shahidi wa hilo, jinsi ulivyokuwa ukimsema bwanako sijui tegemezi, mara ulimpa laki moja, mara alitoka dar hadi moro na nauli ya kurudia ulimpa.. afu ukaja lalamika hapa, leo hii unapingana na vile ambavyo uliviwasilisha, sasa kama unaona ni sawa kumlisha mwanaume.., kwanini ulimnyea vibaya yule bwanako? na kwanini usiendelee naye huyo ukampa kila anachotaka kama ni vizuri?... hakuna MWANAUME fala anaekubali kulelewa na mwanamke milele na milele.
Nahisi ananiogopa japo ni mpenda kitonga, anashindwa kufanya maamuzi ya kuoa coz nimemzidi ila kitonga anakipenda
 
Wakuswampa again, kweli unaswampa.
 
Back
Top Bottom