Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,611
- 2,796
Leo wameamua kutushambulia dooh

Okey mkuuHapana
Wanawake wa hivi unaweza dhani wanakunya kekiWewe zitatokaje nje ya pua zinachungulia bana sijasema wanyoe zote wapunguze kule kuchungulia nje ni kinyaa
Ni vita leo mkuu...we kausha lakini si unajua ME ni MELeo wameamua kutushambulia dooh![]()
![]()
![]()
Hivi inakuwaje nyie wanaume huwa hamjiangalii kwenye vioo,,
Unakuta mwanaume ana nywele puani hadi zimetokeza nje hivi hamuwezi kata mnaziacha hivyo zinachungulia njemnatia kinyaa hamjui tu mnatuchafua roho wengine hatupendi kuona vitu vya ajabu ajabu,,
Pia kuna video ya mzee Yusuph anaongea sijui manini yuko busy anajirekodi aisee najuta kuangalia hii video mapua yalivyo mapana sasa halaf zile nywele zimetokeza nje zina ukahawia hivi aisee kila nikifikiria napata kinyaa jamani,, basi hayo mapua mapana hamkujiumba basi yasafisheni mkate hizo nywele (sijui zinaitwaje )
Kuna lingine nalo hivyo hivyo nywele zimechungulianje. Hivi hamuoni kinyaa au mnaona kawaida tu,, Safisheni pua zenu, masikio aaaarghhh unakuta mwanaume ana uwezo na anatembea gari zuri tu lakin anatia kinyaa
Mzee yusuph aisee usirudie kujirekodi vile umenitia kinyaa mpakq najiuliza huyu Malkia Leyla anaona kawaida tu?
Wanaume mnaudhi sana wengine mpaka masikioni si mfanye wax na mnavyokuja kututongoza kifua mbele na nywele zako puani ptuuuuuuu
Nimemaliza kwa leo kama una pua imetokeza vinywele nyoa mnatutia kichefuchefu wengine bana

Kiume tu tunapiga chiniNi vita leo mkuu...we kausha lakini si unajua ME ni ME
ndio hivyo mkuuKiume tu tunapiga chini
Sina mume ila nawaona wa wenzangu sijui wanavumiliajeMrekebishe kwanza mumeo ndio uje hapa
Asantee sanaASANTE....
wachache tumekuckia, Tuta jirekebisha...
Umefurahia nini,,ushawah waona?unayapenda?Shoga sio siri leo umejua kunichekesha. Lol
Jf idumu aisee.
Hiyo fungua uzi wake kwanzasawa sisi tuna manywele mapuani...
ila kaa ukijua tunawavumilia kwa mengi sana... ni kwa kuwa tumeumbwa na koromelo..
mdada unavaa chupi mpaka pale kati panakuwa pagumu kama jeans tunakausha tuu..hiyo bikini ndio usiseme kiasi kile kikamba kinachokatiza pale kinakuwa kama waya jinsi kinavyosagwa kiroho safi tunakausha......
acha hizo bhana... we angalia wallet yng tuu kama ilivyo ada yenu.....
Unanijuaje?Naw nawe umo kama nini sijui?kwanza nakujua bure huna lolote.
Kanyoe hizo nywele zisichungulieSasa unafikir kila mtu ni mzee yusuph? jaribu kujieshimu wengine ni babu zako na baba zako pia kaka zako..pumbavu nyingi zikufikie.