Wanaume jamani mnatuchefua

Wanaume jamani mnatuchefua

Ukiachilia nyewe puani, kipindi kingine kinakuchefua?


Cc: mahondaw
Kikwapaa hapo sasa nakuambia live tumia deodorant
Mim mwanaume akinitaka cha kwanza kama anavutia namchunguza kama hanuki mdomo,hanuki kwapa,miguu ipoje ,harufu yake yaan ntajua tu huyu ni smart msafi
Ukiwa na kimoja hapo ntarekebisha ukiwa navyo vyote siwezi
 
Wanawake wa hivi unaweza dhani wanakunya keki

Alafu usikute ni kabovu, kamejaziana kama boflo, sura mbuzi, chunusi chunusi, miguu yote ya kushoto, vigimbi kama mwanariadha
Hehehehehehehee ndoto yako sio
 
Namtafuta mtu anaitwa john ambonise...ni mwenyeji wa mbeya...aliwai kuishi msasani namanga kwa ndugu yake na aliwai kufanya Nazi magomen wilayan...yeye ni dokta mifugo..yeyote mwenye taarifa zake plz.....0674251170
 
John ambonise...namtafuta ni mwenyeji wa mbeya...aliwai kufanya kaz magomen wilayan.....anaemjua plz..0674251170
 
Aloo hapo kwenye wax sikioni inatakiwa uwe makini cos ule wax unakazi kubwa xana, kuutoa toa unawezapata matatizo ya masikio.
Nivyema kumuona Daktari specialist wa masikio akuelekeze namna ya kusafisha,cos unashauliwa kusafisha pinna tuu,kitundu cha kuelekea ndani ya sikio usikiguse
 
sawa sisi tuna manywele mapuani...
ila kaa ukijua tunawavumilia kwa mengi sana... ni kwa kuwa tumeumbwa na koromelo..
mdada unavaa chupi mpaka pale kati panakuwa pagumu kama jeans tunakausha tuu..hiyo bikini ndio usiseme kiasi kile kikamba kinachokatiza pale kinakuwa kama waya jinsi kinavyosagwa kiroho safi tunakausha......
acha hizo bhana... we angalia wallet yng tuu kama ilivyo ada yenu.....
Huu uzi utavumbua vingi. Mnakutana wapi na hao watu? Loooh
 
Pole pole utaua mtu mama
Mwanaume msafi utampata wapi? Mwanamke ni kila kitu unaposikia harufu mbaya unaichukua unaiweka kwenye maji, ndio maana watu wasifia wa tanga ni sawa bwana anakuja kitandani mambo yanaanza bila kuoga, lakini wao wanapelekwa kuoga, ni wajibu wa mwanamke usafi wa mume si tanga kwa mwanamke naejiheshimu hii si ishu kabisa.
 
Aloo hapo kwenye wax sikioni inatakiwa uwe makini cos ule wax unakazi kubwa xana, kuutoa toa unawezapata matatizo ya masikio.
Nivyema kumuona Daktari specialist wa masikio akuelekeze namna ya kusafisha,cos unashauliwa kusafisha pinna tuu,kitundu cha kuelekea ndani ya sikio usikiguse
Pia kujisafisha sana haifai kunaondoa hisia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom