Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
- Thread starter
- #121
Kikwapaa hapo sasa nakuambia live tumia deodorant
Mim mwanaume akinitaka cha kwanza kama anavutia namchunguza kama hanuki mdomo,hanuki kwapa,miguu ipoje ,harufu yake yaan ntajua tu huyu ni smart msafi
Ukiwa na kimoja hapo ntarekebisha ukiwa navyo vyote siwezi

