Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
- Thread starter
- #41
Kuna vimashineSasa watazikata na nini jamani mbona mmetukamia sana leo..
Kuna vimashineSasa watazikata na nini jamani mbona mmetukamia sana leo..
Wanavumilia tu,,mim hakuna na nnavyoongea utavipunguza tu nawahurumia wenye waume wa hivyoWake zetu wanazipenda sana so inakuwa nguma sana kuzinyoa kumridhisha mtu mwingine or rather mchepuko wakati hiyo ndio furaha ya wife..
Hakuna kipya usijeUnajua kila siku natakaga kuja inbox nkuombe mzigo halaf nasahau
Mfanye vyote tunavyovitakaWadad wa siku hizi?
Huku pesa yetu mnaitaka,huko malalamiko kibao
kwani mtu akikutokea lazima umkubali?
utakubalia wangapi? na hayo manywele
Mungu ameyaweka kukuokoa maana
huwezi kusema NO.
Kungekuwa hakuna kipya hata zamaradi asingeolewa na watt wawiliHakuna kipya usije
Mim siwezi kuwa na mwanaume wa hivyo kamwe!!!!SASA PUA YA MZEE YUSUPH INAKUHUSU NIN? AMEKUTONGOZA AU UNAMTAKA? MWAMBIE ULIYENAYE ASAFISHE
Ahsante sana kwa mwaliko wako "mwororo"Jisikie tu umekaribia nyumban kuwa huru kutoa mawazo yako
Hehehe utamu uko pale pale,,,wengine id nyingi humu so mnatufata kote kote wakati mtu mmojaKungekuwa hakuna kipya hata zamaradi asingeolewa na watt wawili



hahahahaahahahaahahhSASA PUA YA MZEE YUSUPH INAKUHUSU NIN? AMEKUTONGOZA AU UNAMTAKA? MWAMBIE ULIYENAYE ASAFISHE
Mrekebishe kwanza mumeo ndio uje hapaHivi inakuwaje nyie wanaume huwa hamjiangalii kwenye vioo,,
Unakuta mwanaume ana nywele puani hadi zimetokeza nje hivi hamuwezi kata mnaziacha hivyo zinachungulia njemnatia kinyaa hamjui tu mnatuchafua roho wengine hatupendi kuona vitu vya ajabu ajabu,,
Pia kuna video ya mzee Yusuph anaongea sijui manini yuko busy anajirekodi aisee najuta kuangalia hii video mapua yalivyo mapana sasa halaf zile nywele zimetokeza nje zina ukahawia hivi aisee kila nikifikiria napata kinyaa jamani,, basi hayo mapua mapana hamkujiumba basi yasafisheni mkate hizo nywele (sijui zinaitwaje )
Kuna lingine nalo hivyo hivyo nywele zimechungulianje. Hivi hamuoni kinyaa au mnaona kawaida tu,, Safisheni pua zenu, masikio aaaarghhh unakuta mwanaume ana uwezo na anatembea gari zuri tu lakin anatia kinyaa
Mzee yusuph aisee usirudie kujirekodi vile umenitia kinyaa mpakq najiuliza huyu Malkia Leyla anaona kawaida tu?
Wanaume mnaudhi sana wengine mpaka masikioni si mfanye wax na mnavyokuja kututongoza kifua mbele na nywele zako puani ptuuuuuuu
Nimemaliza kwa leo kama una pua imetokeza vinywele nyoa mnatutia kichefuchefu wengine bana
Mm nipo peke yangu sema tu unaanza uchoyoHehehe utamu uko pale pale,,,wengine id nyingi humu so mnatufata kote kote wakati mtu mmoja![]()
Masista duu bwana!!!Hivi inakuwaje nyie wanaume huwa hamjiangalii kwenye vioo,,
Unakuta mwanaume ana nywele puani hadi zimetokeza nje hivi hamuwezi kata mnaziacha hivyo zinachungulia njemnatia kinyaa hamjui tu mnatuchafua roho wengine hatupendi kuona vitu vya ajabu ajabu,,
Pia kuna video ya mzee Yusuph anaongea sijui manini yuko busy anajirekodi aisee najuta kuangalia hii video mapua yalivyo mapana sasa halaf zile nywele zimetokeza nje zina ukahawia hivi aisee kila nikifikiria napata kinyaa jamani,, basi hayo mapua mapana hamkujiumba basi yasafisheni mkate hizo nywele (sijui zinaitwaje )
Kuna lingine nalo hivyo hivyo nywele zimechungulianje. Hivi hamuoni kinyaa au mnaona kawaida tu,, Safisheni pua zenu, masikio aaaarghhh unakuta mwanaume ana uwezo na anatembea gari zuri tu lakin anatia kinyaa
Mzee yusuph aisee usirudie kujirekodi vile umenitia kinyaa mpakq najiuliza huyu Malkia Leyla anaona kawaida tu?
Wanaume mnaudhi sana wengine mpaka masikioni si mfanye wax na mnavyokuja kututongoza kifua mbele na nywele zako puani ptuuuuuuu
Nimemaliza kwa leo kama una pua imetokeza vinywele nyoa mnatutia kichefuchefu wengine bana
ASANTE....Hivi inakuwaje nyie wanaume huwa hamjiangalii kwenye vioo,,
Unakuta mwanaume ana nywele puani hadi zimetokeza nje hivi hamuwezi kata mnaziacha hivyo zinachungulia njemnatia kinyaa hamjui tu mnatuchafua roho wengine hatupendi kuona vitu vya ajabu ajabu,,
Pia kuna video ya mzee Yusuph anaongea sijui manini yuko busy anajirekodi aisee najuta kuangalia hii video mapua yalivyo mapana sasa halaf zile nywele zimetokeza nje zina ukahawia hivi aisee kila nikifikiria napata kinyaa jamani,, basi hayo mapua mapana hamkujiumba basi yasafisheni mkate hizo nywele (sijui zinaitwaje )
Kuna lingine nalo hivyo hivyo nywele zimechungulianje. Hivi hamuoni kinyaa au mnaona kawaida tu,, Safisheni pua zenu, masikio aaaarghhh unakuta mwanaume ana uwezo na anatembea gari zuri tu lakin anatia kinyaa
Mzee yusuph aisee usirudie kujirekodi vile umenitia kinyaa mpakq najiuliza huyu Malkia Leyla anaona kawaida tu?
Wanaume mnaudhi sana wengine mpaka masikioni si mfanye wax na mnavyokuja kututongoza kifua mbele na nywele zako puani ptuuuuuuu
Nimemaliza kwa leo kama una pua imetokeza vinywele nyoa mnatutia kichefuchefu wengine bana
yaani wewe nimekuelewa ila kumbuka wamesema kuna wanaopenda. so ni kujikataa tu kwa hao watu na maisha yanaendaSiwezi kuwa na mwanaume mwenye manywele yametokeza nje,,naanzaje sasa
Saloon tuna kazi, sasa zile kunyoa inakuwaje ? Mimi binafsi ukija saloon nikunyoe zile kuna njia mbili tu,
1. Nizivute kwa koleo au
2. Niziwashie moto




