Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,611
- 2,796
Duuuh ya kweli haya???Mwanaume msafi utampata wapi? Mwanamke ni kila kitu unaposikia harufu mbaya unaichukua unaiweka kwenye maji, ndio maana watu wasifia wa tanga ni sawa bwana anakuja kitandani mambo yanaanza bila kuoga, lakini wao wanapelekwa kuoga, ni wajibu wa mwanamke usafi wa mume si tanga kwa mwanamke naejiheshimu hii si ishu kabisa.