Wanaume jamani mnatuchefua

Wanaume jamani mnatuchefua

Mwanaume msafi utampata wapi? Mwanamke ni kila kitu unaposikia harufu mbaya unaichukua unaiweka kwenye maji, ndio maana watu wasifia wa tanga ni sawa bwana anakuja kitandani mambo yanaanza bila kuoga, lakini wao wanapelekwa kuoga, ni wajibu wa mwanamke usafi wa mume si tanga kwa mwanamke naejiheshimu hii si ishu kabisa.
Duuuh ya kweli haya???
 
Kwahiyo una msitu?



Hongera sana...jamaa atakuwa anatembea na toothpick mfukoni
Sina msitu. Ila yy akiwa nao siwezi kumtenga. Badala yake naweza fanikisha zoezi la kuondoa nisichokitaka
 
Mkewe labda ndio inachangia kumsisimua.. na anapewa maraha nayo..
Acha kumfolo au kuangalia yake.
 
Aloo hapo kwenye wax sikioni inatakiwa uwe makini cos ule wax unakazi kubwa xana, kuutoa toa unawezapata matatizo ya masikio.
Nivyema kumuona Daktari specialist wa masikio akuelekeze namna ya kusafisha,cos unashauliwa kusafisha pinna tuu,kitundu cha kuelekea ndani ya sikio usikiguse
Nimeudhika nikajikuta nasema vile tu kuhusu wax
 
Kikwapaa hapo sasa nakuambia live tumia deodorant
Mim mwanaume akinitaka cha kwanza kama anavutia namchunguza kama hanuki mdomo,hanuki kwapa,miguu ipoje ,harufu yake yaan ntajua tu huyu ni smart msafi
Ukiwa na kimoja hapo ntarekebisha ukiwa navyo vyote siwezi

Na kama mwanaume akikutaka yeye... aangalie nini kwako?


cc: mahondaw
 
Mwanaume msafi utampata wapi? Mwanamke ni kila kitu unaposikia harufu mbaya unaichukua unaiweka kwenye maji, ndio maana watu wasifia wa tanga ni sawa bwana anakuja kitandani mambo yanaanza bila kuoga, lakini wao wanapelekwa kuoga, ni wajibu wa mwanamke usafi wa mume si tanga kwa mwanamke naejiheshimu hii si ishu kabisa.
Duuh hatar sana hii, sidhani kama tutakuwa tunawasaidia zaidi ya kuwafanya wazidi kuwa wachafu, hivi mkuu tuongee ule ukweli tusiongee kufurahisha jukwaa kwa mtu anayejielewa iwe mwanaume au mwanamke anaweza kusubiria kuhimizwa kuoga au kujiswafi sehemu zake muhimu? Hapana aiseeh hilo jambo nalipinga kwa asilimia miambili. Kuna vitu vya kuhimizana /kushauriana lakini sio kuoga anayesubiria kuambiwa kaoge huyo ni mchafu aliyetukuka katika wachafu.
 
Duuh hatar sana hii, sidhani kama tutakuwa tunawasaidia zaidi ya kuwafanya wazidi kuwa wachafu, hivi mkuu tuongee ule ukweli tusiongee kufurahisha jukwaa kwa mtu anayejielewa iwe mwanaume au mwanamke anaweza kusubiria kuhimizwa kuoga au kujiswafi sehemu zake muhimu? Hapana aiseeh hilo jambo nalipinga kwa asilimia miambili. Kuna vitu vya kuhimizana /kushauriana lakini sio kuoga anayesubiria kuambiwa kaoge huyo ni mchafu aliyetukuka katika wachafu.
Ndio maana hata simkujibu aisee niliona ntajichosha bora umemjibu,,vitu vingine sio vya kumwambia mtu lazima ajiongeze mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom