Wanaume jamani mnatuchefua

Wanaume jamani mnatuchefua

sawa sisi tuna manywele mapuani...
ila kaa ukijua tunawavumilia kwa mengi sana... ni kwa kuwa tumeumbwa na koromelo..
mdada unavaa chupi mpaka pale kati panakuwa pagumu kama jeans tunakausha tuu..hiyo bikini ndio usiseme kiasi kile kikamba kinachokatiza pale kinakuwa kama waya jinsi kinavyosagwa kiroho safi tunakausha......
acha hizo bhana... we angalia wallet yng tuu kama ilivyo ada yenu.....
 
mie za masikio zimetokeza sijui nizifanyeje nazo
 
sawa sisi tuna manywele mapuani...
ila kaa ukijua tunawavumilia kwa mengi sana... ni kwa kuwa tumeumbwa na koromelo..
mdada unavaa chupi mpaka pale kati panakuwa pagumu kama jeans tunakausha tuu..hiyo bikini ndio usiseme kiasi kile kikamba kinachokatiza pale kinakuwa kama waya jinsi kinavyosagwa kiroho safi tunakausha......
acha hizo bhana... we angalia wallet yng tuu kama ilivyo ada yenu.....

..hapo umenena mkuu chupi zinatia kinyaa nyingine zina madamdam,,halafu ukienda bafuni unazikuta alivyo mvivu kaziweka kwenye sink kaziacha,,,, aaaaagh nahisi kutapika
 
We anakuhusu nini ? Kila mtu na maisha yake!!
 
Wake zetu wanazipenda sana so inakuwa nguma sana kuzinyoa kumridhisha mtu mwingine or rather mchepuko wakati hiyo ndio furaha ya wife..
Once said the late Sebastian Kinyondo. R.I.P. Mustache wake ulikuwa raha ya mkewe.
 
Ndio maana siku wadada wenye ndevu wamekua wengi kazi kuwaponda wanaume..
Bora uchafu wa asili kuliko uchafu wa kujitakia wa mawigi yenu .yani unakuta wigi linanuka kama choo.
 
Sasa unafikir kila mtu ni mzee yusuph? jaribu kujieshimu wengine ni babu zako na baba zako pia kaka zako..pumbavu nyingi zikufikie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom