Wanaume jamani mnatuchefua

Wanaume jamani mnatuchefua

Mwanaume ukiona vinyweleo vya masikio vinaanza kuota, jihesabu kuwa umri umeanza kusogea.

Binafsi vinyweleo vya puani vinanikera hadi nasikia kuumwa. Vipo vimashine vya kupunguza hiyo makitu.
 
kuna vitu huwezi kuzuia ni masuala ya genetics...

kuwachukia watu wa namna hiyo unakuwa huna tofauti na mtu anayemchukia mlemavu wa ngozi etc...

na namna asili ya nywele ilivyo, kadiri unavyozikata ndivyo zinavyokuja kwa kasi zaidi...
 
Mimba ni noma sana. Tafuta ndimu za kutosha,, zinasaidia kupunguza kuchefukwa
 
Hivi inakuwaje nyie wanaume huwa hamjiangalii kwenye vioo,,

Unakuta mwanaume ana nywele puani hadi zimetokeza nje hivi hamuwezi kata mnaziacha hivyo zinachungulia nje mnatia kinyaa hamjui tu mnatuchafua roho wengine hatupendi kuona vitu vya ajabu ajabu,,

Pia kuna video ya mzee Yusuph anaongea sijui manini yuko busy anajirekodi aisee najuta kuangalia hii video mapua yalivyo mapana sasa halaf zile nywele zimetokeza nje zina ukahawia hivi aisee kila nikifikiria napata kinyaa jamani,, basi hayo mapua mapana hamkujiumba basi yasafisheni mkate hizo nywele (sijui zinaitwaje )

Kuna lingine nalo hivyo hivyo nywele zimechungulianje. Hivi hamuoni kinyaa au mnaona kawaida tu,, Safisheni pua zenu, masikio aaaarghhh unakuta mwanaume ana uwezo na anatembea gari zuri tu lakin anatia kinyaa
Mzee yusuph aisee usirudie kujirekodi vile umenitia kinyaa mpakq najiuliza huyu Malkia Leyla anaona kawaida tu?

Wanaume mnaudhi sana wengine mpaka masikioni si mfanye wax na mnavyokuja kututongoza kifua mbele na nywele zako puani ptuuuuuuu

Nimemaliza kwa leo kama una pua imetokeza vinywele nyoa mnatutia kichefuchefu wengine bana

dada rudi tena katka usomaji wa maumbile ya binadamuu,mara nyingi huwezi kuona pua ilio na matundu madogo kua na nywele,wala c raisi ,ila kwa wengi wenye matundu makubwa upewa nywele ndani yake kwa ajili ya vumbi,sawa sawa na wanyama pori wa sehmu za bardi kama ulaya uwa na manyoya mengi wa sehem kwenye jua kali manyoa hua aya mei mengi-je ukiyakata ndo ujanjaa au !?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom