KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,768
- 39,531
Shikamoo brother...jana tu nikiwa Barbershop baada ya kunyoa nikaenda kuoshwa na mdada,maneno niliyoambiwa na huyo mdada nilistaajabu,nikamuuliza yeye ni kabila gani. akatamka kabila ambalo ni langu,sikuamini.hawa viumbe ni shida
Marahaba......
Hayo uliyokutana nayo ndio hali halisi iliyopo sasa hivi kuhusu hawa dada zetu...mama zetu
Na hali hiyo ipo kila mahali kuanzia maofisini mpaka mitaani....kila mahali wanawake wanasifika kwa sifa mbaya....
Kama wanataka heshima basi hawana budi kubadilika wao kwanza.....