Wanaume ingieni huku Mara moja

Wanaume ingieni huku Mara moja

Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.
Moniccca nimekuchoka habari zako
 
Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.
Katika maisha yako ushawahi soma biblia?? mwanamke aliumbwa awe msaada wa mwanaume not otherwise!
 
Hivi unajua kabla ya kuumbwa kwa Eva Mungu alimuumba mwanamke na mwanaume? Ge 1:26-29 and Ge 5:1-2

Unajua kwa nini Eva aliumbwa?
Ge 2:18, Mwanamke wa kwanza (Lilith) kabla ya Eva hatua zake za uumbwaji zilikuwa Sawa na Adam na hivyo kupelekea kukataa kuishi Kama mke wa Adam kwa kigezo cha kuwa sawa kiuumbwaji na kimamlaka.

Ge 2:23-25 Adam akasema, sasa huyu Ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke kwa maana ametwaliwa katika mwanaume..

"After Eve’s creation in Ge 2:23, Adam awakes and exclaims upon seeing her, “This time is this!”
The Hebrew term for “this time”, hapa’am, is used when an event repeats and the subsequent event is
being compared to the first. It could perhaps best be understood in English as “at this iteration”. So
Adam could understood as saying, “At this iteration is this!”, in reference to Eve standing before him.
Adam’s use of this word implies that he is comparing Eve’s creation to a previous creation"

Hapa tunajifunza kwamba Eva aliumbwa kutoka katika nyama za ubavu wa Adam kwa ajili ya kitofautisha mamlaka ya viumbe hawa wawili, Mwanamke siku zote atakuwa chini ya mwanaume na itakapotokea mwanamke anatAka kuwa juu ya mwanaume basi watu hao hawataweza kuishi pamoja.

View attachment 343930

Maandiko yanasema Adam alikuwa alone na sio lonely..Adam alihitaji msaidizi(helper) wa kumfaa.

Sasa tatizo linakuja siku hizi madada zetu hawafundishwi nafasi zao katika familia hasa kwa waume zao, wanawake wanataka kuwa juu ya waume zao na wasikilizwe kwa kila wanachokitaka..it's against nature na ndio maana mahusiano yanasumbua kuliko hata biashara siku hizi. Baadhi ya Wanaume nao hawajuhi mamlaka waliyopewa juu ya mwanamke na familia na hivyo kupelekea kupoteza natural authority ya kuwa mwanaume.

Kwa leo inatosha
cc moniccca
 
Eti kaka nikukande mgongo kidogo?nikamwambia hapana nasafisha tu kidevu naondoka,akadakia kusema au nikitoka kazini nije ulipo nikufanyie massage?hapo ndo nikajua nimezungukwa na pepo
Sio pepo ni mabadiliko... Wameanzisha mobile massage therapy... Teh Teh
 
Wala sitamani. Najivunia jinsia yangu, kwa taarifa yako sijawahi kujutia wala kutamani kuwa mwanaume, wanaume walikuwepo zamani bhana,wengi wa waliopo sasa tofauti na wanawake ni maumbile tu..lkn mengne hawana ujasiri kbsa. Kutunza familia na Mimi pia naweza
Na wanawake walikuwepo zamani, sasa hivi biscuit tu....
 
Posts za Moniccca burudan sana.... Kinachoharibu ndoa nyingi ni kitendo cha kuleta uana harakati kwenye hii marriage institution.. Wanawake wamekuwa UKAWA... Always on constant struggles to liberate themselves from muscles of CCM domination... Our African beauty Queens also are in constant struggle to gain their naturally lost power over men...
Women wants to change the structure of our families, they no longer want pyramidal structure that ranks men in peak of structure, wanataka flat structure ambayo itawaweka on par with men... Idea ni nzuri lakini tatizo ni cultures zetu watu weusi. Mabadiliko yanawezekana Lakin it ll take centuries for Black men to accommodate these changes..
 
we monica si umeolewa juz tu..leo mmeo kashaanza kukuletea mfumo dumu
 
Shida ya dada Leah!!,imesababishwa na yeye mwenyewe,Kujiona yeye ndo kila mmewe hana sauti,rejea hata hii nyumba ni yangu,sikutaka kuzaa mpaka nimalize masters.Kiufupi mme wake haoni rahaa ya kuoa,sasa mdogo mtu alivyokuja inaonekana alionekana kumpa value shemeji yake(mme wa leah)kuliko hata mke mwenyewe anavyo mvalue,hii ikapelekea hayo yote.Haya rudi ukamuandalie chai mmeo mpya.

Tatizo lililojitokeza kwa Leah2, ni uzao wa maamuzi yake kwani lilikuwa linaepukika kama angejitambua na kuitendea haki nafasi yake kama mke, ...... Lah! sivyo asingeolewa kwanza!
 
Once made equal to man, woman becomes his superior.

Socrates

Wanaume wenye akili watanielewa hapa.
 
Back
Top Bottom