VAN HEIST
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 1,434
- 617
Hebu utumie basi tuoneSikukutuma utafsiri
Hebu utumie basi tuoneSikukutuma utafsiri
Tupe tafsiri ya hapo kwenye "akizingua anafungasha virago kweupeee"Sijakuelewa
Teh teh tehSilazima nitafsiri ndo maana nikaeleza kama ulivyosoma
Moniccca nimekuchoka habari zakoHabari zenu!
Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.
Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.
Asante.
Katika maisha yako ushawahi soma biblia?? mwanamke aliumbwa awe msaada wa mwanaume not otherwise!Habari zenu!
Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.
Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.
Asante.
cc monicccaHivi unajua kabla ya kuumbwa kwa Eva Mungu alimuumba mwanamke na mwanaume? Ge 1:26-29 and Ge 5:1-2
Unajua kwa nini Eva aliumbwa?
Ge 2:18, Mwanamke wa kwanza (Lilith) kabla ya Eva hatua zake za uumbwaji zilikuwa Sawa na Adam na hivyo kupelekea kukataa kuishi Kama mke wa Adam kwa kigezo cha kuwa sawa kiuumbwaji na kimamlaka.
Ge 2:23-25 Adam akasema, sasa huyu Ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke kwa maana ametwaliwa katika mwanaume..
"After Eve’s creation in Ge 2:23, Adam awakes and exclaims upon seeing her, “This time is this!”
The Hebrew term for “this time”, hapa’am, is used when an event repeats and the subsequent event is
being compared to the first. It could perhaps best be understood in English as “at this iteration”. So
Adam could understood as saying, “At this iteration is this!”, in reference to Eve standing before him.
Adam’s use of this word implies that he is comparing Eve’s creation to a previous creation"
Hapa tunajifunza kwamba Eva aliumbwa kutoka katika nyama za ubavu wa Adam kwa ajili ya kitofautisha mamlaka ya viumbe hawa wawili, Mwanamke siku zote atakuwa chini ya mwanaume na itakapotokea mwanamke anatAka kuwa juu ya mwanaume basi watu hao hawataweza kuishi pamoja.
View attachment 343930
Maandiko yanasema Adam alikuwa alone na sio lonely..Adam alihitaji msaidizi(helper) wa kumfaa.
Sasa tatizo linakuja siku hizi madada zetu hawafundishwi nafasi zao katika familia hasa kwa waume zao, wanawake wanataka kuwa juu ya waume zao na wasikilizwe kwa kila wanachokitaka..it's against nature na ndio maana mahusiano yanasumbua kuliko hata biashara siku hizi. Baadhi ya Wanaume nao hawajuhi mamlaka waliyopewa juu ya mwanamke na familia na hivyo kupelekea kupoteza natural authority ya kuwa mwanaume.
Kwa leo inatosha
ha ha ha ha ha unajifukuzia eeeh ??Tatizo wew unakibamia
Teh Teh, au kafunga ya mkataba.... Miez mitatu Wana renewNa huyu sijui kama ndoa yake itafikisha hata miezi sita.
Huku kuna vichwa vya kuelewa content si maneno yaliyoandikwa,uwe unakumbuka hilo.Sikukutuma utafsiri
Siku ukipigwa kichapo kilichotukuka u share na sisi pia....Mim komandoo ajaribu aone, ntamng'oa meno ya mbele bila ganzi
Sio pepo ni mabadiliko... Wameanzisha mobile massage therapy... Teh TehEti kaka nikukande mgongo kidogo?nikamwambia hapana nasafisha tu kidevu naondoka,akadakia kusema au nikitoka kazini nije ulipo nikufanyie massage?hapo ndo nikajua nimezungukwa na pepo
HahahahaaaSio pepo ni mabadiliko... Wameanzisha mobile massage therapy... Teh Teh
Na wanawake walikuwepo zamani, sasa hivi biscuit tu....Wala sitamani. Najivunia jinsia yangu, kwa taarifa yako sijawahi kujutia wala kutamani kuwa mwanaume, wanaume walikuwepo zamani bhana,wengi wa waliopo sasa tofauti na wanawake ni maumbile tu..lkn mengne hawana ujasiri kbsa. Kutunza familia na Mimi pia naweza
Shida ya dada Leah!!,imesababishwa na yeye mwenyewe,Kujiona yeye ndo kila mmewe hana sauti,rejea hata hii nyumba ni yangu,sikutaka kuzaa mpaka nimalize masters.Kiufupi mme wake haoni rahaa ya kuoa,sasa mdogo mtu alivyokuja inaonekana alionekana kumpa value shemeji yake(mme wa leah)kuliko hata mke mwenyewe anavyo mvalue,hii ikapelekea hayo yote.Haya rudi ukamuandalie chai mmeo mpya.