kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,182
Nimeonaaaaaaaa somoUmeona eeeh!
Nimeonaaaaaaaa somoUmeona eeeh!
Houeseg anapika bhana..karibu nyumbani
Kwa ideology kama hizi utakuja humu ukiwa na kama hayo ya mwenzio.Tangu mwanzo ndo nimeyasema kuwa ndo chanzo.Wala sitamani. Najivunia jinsia yangu, kwa taarifa yako sijawahi kujutia wala kutamani kuwa mwanaume, wanaume walikuwepo zamani bhana,wengi wa waliopo sasa tofauti na wanawake ni maumbile tu..lkn mengne hawana ujasiri kbsa. Kutunza familia na Mimi pia naweza
Kumbe na wewe mmeo ndo kahamia kwako ili siku akizingua anafungasha kama yule wa Leah2?Nikwambie mim siyo muumini wa ndoa..akizingua atafungasha vilago mchana kweupeeeee! Nawala sitasema humu.
Mbona hata miezi sita mingi mkuuNa huyu sijui kama ndoa yake itafikisha hata miezi sita.
Habari zenu!
Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.
Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.
Asante.
Nisaidie kuhesabu plz
Rejea uliposema akizingua anafungasha virago vyakeWewe ndo umesema hivyo