Wanaume ingieni huku Mara moja

Wanaume ingieni huku Mara moja

Bibi harusi uko busy. Mpikie mume kwanza afurahie fungate atii. Achana na dunia, ilishanunuliwa kwa damu ya mwanakondoo
 
Tooobah! mie mwenyewe hgal akipika sili chakula.

Kama haukufundwa useme tufanye post kitchen party aisee. Utatutia aibu huko ukweni.
Hahahaha? Kama umegundua tatizo langu nisaidie plz
 
Moniccca unapenda kuchezea upande huu....... sasa ww umekuwa ni Queen wa huku malavi davini.....
 
Wala sitamani. Najivunia jinsia yangu, kwa taarifa yako sijawahi kujutia wala kutamani kuwa mwanaume, wanaume walikuwepo zamani bhana,wengi wa waliopo sasa tofauti na wanawake ni maumbile tu..lkn mengne hawana ujasiri kbsa. Kutunza familia na Mimi pia naweza
Kwa ideology kama hizi utakuja humu ukiwa na kama hayo ya mwenzio.Tangu mwanzo ndo nimeyasema kuwa ndo chanzo.
 
Kwa ideology kama hizi utakuja humu ukiwa na kama hayo ya mwenzio.Tangu mwanzo ndo nimeyasema kuwa ndo chanzo.
Nikwambie mim siyo muumini wa ndoa..akizingua atafungasha vilago mchana kweupeeeee! Nawala sitasema humu.
 
Nikwambie mim siyo muumini wa ndoa..akizingua atafungasha vilago mchana kweupeeeee! Nawala sitasema humu.
Kumbe na wewe mmeo ndo kahamia kwako ili siku akizingua anafungasha kama yule wa Leah2?
 
Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.



ww ndo leah2 mwenyew!
 
Leo ni suku ya ngapi ya ndoa yako bi mkubwa maana status yako ya ndoa kila mara unai update!
 
Nisaidie kuhesabu plz

Uzuri kwa trend yako wachambuzi wa masuala ya ndoa wameshaona destination...kuna kale kamsemo ka kiswahili kwamba ivumayo.....kama ungekuwa umepitia unyago ungeshafundwa kwamba si yote ya sirini unatakiwa kuweka hadharani! Tatizo ndoa za siku hizi zimekuwa kama crash program! Yaani ndoa za dharura!
 
Back
Top Bottom