Na huyu sijui kama ndoa yake itafikisha hata miezi sita.
Habari zenu!
Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.
Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.
Asante.
Habari zenu!
Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.
Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.
Asante.
Teh teh teh!
Na hawataweza kujiinua kama watakavyo kamwe mpaka dunia hii itaisha.hawawezi badilisha mpango wa MUNGU na nguvu zake.MWANAMUME ndo mfano wa MUNGU na nguvu zake.acha waige ya kwenye tamthilia ila watagonga tu mwambaNgoja nitoke kidogo kwa kurejelea maandiko... Toka kuumbwa kwa ulimwengu mpango wa MUNGU ulikuwa safi tu na hajawahi kupata shida yoyote akiwa na mtu mmoja tu duniani yaani ADAMU. Huyu Adamu aliishi muda mrefu (miaka mingi) sana. Na ndiye aliyewapatia majina viumbe vyote vilivyopo duniani. Baadaye akaumua kumuumba mwanamke (HAWA) aka EVE kutoka ubavu wa Adamu. Na hapo ndipo shida ilipoanza hapa duniani. Hakika mateso yote tuliyonayo sasa yaliletwa na mwanamke... Ndio maana siku zote mwanaume hata acha kumlaumu mwanamke. Sio mfumo dume..., hivyo ndivyo ilivyo toka enzi na enzi. Sasa hivi wanawake wanataka kujiinua eti kwa kisingizio cha new technology. Ok, technology ni nzuri lakini wanawake mnazidisha.
Umenena vyema hapo JabagaMNgoja nitoke kidogo kwa kurejelea maandiko... Toka kuumbwa kwa ulimwengu mpango wa MUNGU ulikuwa safi tu na hajawahi kupata shida yoyote akiwa na mtu mmoja tu duniani yaani ADAMU. Huyu Adamu aliishi muda mrefu (miaka mingi) sana. Na ndiye aliyewapatia majina viumbe vyote vilivyopo duniani. Baadaye akaumua kumuumba mwanamke (HAWA) aka EVE kutoka ubavu wa Adamu. Na hapo ndipo shida ilipoanza hapa duniani. Hakika mateso yote tuliyonayo sasa yaliletwa na mwanamke... Ndio maana siku zote mwanaume hata acha kumlaumu mwanamke. Sio mfumo dume..., hivyo ndivyo ilivyo toka enzi na enzi. Sasa hivi wanawake wanataka kujiinua eti kwa kisingizio cha new technology. Ok, technology ni nzuri lakini wanawake mnazidisha.
Naona sasa umekua!Habari zenu!
Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.
Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.
Asante.