Wanaume ingieni huku Mara moja

Wanaume ingieni huku Mara moja

Moniy.... kila kosa huwa lina kuwa na sababu yake... sema kosa au chanzo cha nyie kuonekana vitendea kazi....
 
Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.

Acha kuweka watu mafungu kwa mkumbo
Utakacha kubweka majungu kwa fyatu wa mtungo
Parata kuswekwa nundu chatu kwa mdundo
Mkeka wa upatu udugu ufuturu bila mfungo
 
Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.
Teh teh teh!
 
Hivi bila kuwepo na mfumo dume mpaka sasa si mgesha tupanda mpaka kichwan. Nasema bila kutumia mfumo dume mnatudharau na hamna heshima kabisa katika familia . So hatuna budi kuwa peleka kimfumo dume
 
Ngoja nitoke kidogo kwa kurejelea maandiko... Toka kuumbwa kwa ulimwengu mpango wa MUNGU ulikuwa safi tu na hajawahi kupata shida yoyote akiwa na mtu mmoja tu duniani yaani ADAMU. Huyu Adamu aliishi muda mrefu (miaka mingi) sana. Na ndiye aliyewapatia majina viumbe vyote vilivyopo duniani. Baadaye akaumua kumuumba mwanamke (HAWA) aka EVE kutoka ubavu wa Adamu. Na hapo ndipo shida ilipoanza hapa duniani. Hakika mateso yote tuliyonayo sasa yaliletwa na mwanamke... Ndio maana siku zote mwanaume hata acha kumlaumu mwanamke. Sio mfumo dume..., hivyo ndivyo ilivyo toka enzi na enzi. Sasa hivi wanawake wanataka kujiinua eti kwa kisingizio cha new technology. Ok, technology ni nzuri lakini wanawake mnazidisha.
 
Ngoja nitoke kidogo kwa kurejelea maandiko... Toka kuumbwa kwa ulimwengu mpango wa MUNGU ulikuwa safi tu na hajawahi kupata shida yoyote akiwa na mtu mmoja tu duniani yaani ADAMU. Huyu Adamu aliishi muda mrefu (miaka mingi) sana. Na ndiye aliyewapatia majina viumbe vyote vilivyopo duniani. Baadaye akaumua kumuumba mwanamke (HAWA) aka EVE kutoka ubavu wa Adamu. Na hapo ndipo shida ilipoanza hapa duniani. Hakika mateso yote tuliyonayo sasa yaliletwa na mwanamke... Ndio maana siku zote mwanaume hata acha kumlaumu mwanamke. Sio mfumo dume..., hivyo ndivyo ilivyo toka enzi na enzi. Sasa hivi wanawake wanataka kujiinua eti kwa kisingizio cha new technology. Ok, technology ni nzuri lakini wanawake mnazidisha.
Na hawataweza kujiinua kama watakavyo kamwe mpaka dunia hii itaisha.hawawezi badilisha mpango wa MUNGU na nguvu zake.MWANAMUME ndo mfano wa MUNGU na nguvu zake.acha waige ya kwenye tamthilia ila watagonga tu mwamba
 
Ngoja nitoke kidogo kwa kurejelea maandiko... Toka kuumbwa kwa ulimwengu mpango wa MUNGU ulikuwa safi tu na hajawahi kupata shida yoyote akiwa na mtu mmoja tu duniani yaani ADAMU. Huyu Adamu aliishi muda mrefu (miaka mingi) sana. Na ndiye aliyewapatia majina viumbe vyote vilivyopo duniani. Baadaye akaumua kumuumba mwanamke (HAWA) aka EVE kutoka ubavu wa Adamu. Na hapo ndipo shida ilipoanza hapa duniani. Hakika mateso yote tuliyonayo sasa yaliletwa na mwanamke... Ndio maana siku zote mwanaume hata acha kumlaumu mwanamke. Sio mfumo dume..., hivyo ndivyo ilivyo toka enzi na enzi. Sasa hivi wanawake wanataka kujiinua eti kwa kisingizio cha new technology. Ok, technology ni nzuri lakini wanawake mnazidisha.
Umenena vyema hapo JabagaM
 
Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.
Naona sasa umekua!
 
Back
Top Bottom