Wanaume ingieni huku Mara moja

Wanaume ingieni huku Mara moja

Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.
Haya tumekusikia,ila usisahau kumtii mumeo
 
Umeandika marefu nawewe halafu unarudia points za wenzako, emu kaa chini. Next..

Do you think kila anayechangia anasoma comment za wengine?..kwa hiyo akili ya taarabu huwezi kuacha kulalamikia wanaume hapa.
 
Shikamoo brother...jana tu nikiwa Barbershop baada ya kunyoa nikaenda kuoshwa na mdada,maneno niliyoambiwa na huyo mdada nilistaajabu,nikamuuliza yeye ni kabila gani. akatamka kabila ambalo ni langu,sikuamini.hawa viumbe ni shida
Funguka mkuu,aliyanena yapi?
 
Shikamoo brother...jana tu nikiwa Barbershop baada ya kunyoa nikaenda kuoshwa na mdada,maneno niliyoambiwa na huyo mdada nilistaajabu,nikamuuliza yeye ni kabila gani. akatamka kabila ambalo ni langu,sikuamini.hawa viumbe ni shida
Alisemaje?
 
Ukitamka neno MWANAUME dunia inatetemeka na MUNGU anatega sikio kusikiliza unataka kusema nini juu ya MWANAUME.%90 ya wanaume tunawatunza ninyi,tunawafundisha na mnatulipa maovu tu kwa kutugeuza ATM,usikivu kwenu umekua mgumu eti kisa mmesoma mnafanya kazi wafanyazo WANAUME,sasa hv mmedanganywa na watu wa Magharibi eti tuwe 50/50 kati yetu na ninyi,nawaapia haitakaa ikatokea mpaka dunia itakwisha,kumbukeni sisi ndo tuliumbwa na ninyi mkatolewa ktk viungo vyetu kipande kidogo mkatengenezwa ili mtuzalie na kutusaidia mahitaji madogomadogo ya nyumbani pindi tukiwa mihangaikoni,hebu rudini ktk uhalisia,acheni kuishi kitamthilia,chunguza mwanamke anaejielewa hata kama amesoma mpaka nyuma ya ubao wa vyuo lakini akikaa nyumbani akamtii mumewe na kutenda majukumu yake angalia atakavyokua na amani ktk ndoa.tatizo lenu mna vitu vya kuigaiga,mambo mnayaonea kwenye tamthilia za kifilipino yale ni maigizo ninyi mnataka kuyaishi,lazima ile kwenu.MWANAUME anaheshimiwa sana na MUNGU trust me.hzi shule mnazopata,vi IST mnavyotembelea na utandawazi ndo jipu lenu.nakuagiza heshimu na tii MWANAUME ule mema ya nchi.msituijie sisi na vigari vyenu vya mikopo ofcn kwenu na kutumwa na ofc kupeleka training fulani kwa watu,unawafundisha WANAUME kwa wanawake ktk ukumbi wanakusikiliza ukitoka hapo kichwa kinakujaa kua hata na nyumbani utaendesha training kwa mumeo,nakwambia utapigwa chini tu na uishie kua unachezewa na kuachwa.we mwanamke umekubali kuolewa alafu eti unaleta tena masharti ya kuzaa mpaka muda fulani,ukileta masharti ya kuzaa tafisili rahisi ni kuna muda ukiwa kitandani utakataa kumpa mumeo unyumba,alafu unadhani nini kitatokea?shauli zenu,mtalalamika mpaka dunia itakwisha msipobadilika.FINISH
Nimekuelewa sana mkuu nadhanj yamewaingia haswaaa
 
Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.
tumekusikia ndugu, lakini lear2 si kajitakia mwenyewe, na wewe si uko kwenye ndoa changa, kamlete mdogo wako uone then uanze kuja hapa jamiiforum kulialia!
 
tumekusikia ndugu, lakini lear2 si kajitakia mwenyewe, na wewe si uko kwenye ndoa changa, kamlete mdogo wako uone then uanze kuja hapa jamiiforum kulialia!
Mim komandoo ajaribu aone, ntamng'oa meno ya mbele bila ganzi
 
Alisemaje?
Eti kaka nikukande mgongo kidogo?nikamwambia hapana nasafisha tu kidevu naondoka,akadakia kusema au nikitoka kazini nije ulipo nikufanyie massage?hapo ndo nikajua nimezungukwa na pepo
 
Do you think kila anayechangia anasoma comment za wengine?..kwa hiyo akili ya taarabu huwezi kuacha kulalamikia wanaume hapa.
Jichungulie maungoni mwako huenda jinsia yako imebadirika..maana naona umeanza tabia za kike
 
Shikamoo brother...jana tu nikiwa Barbershop baada ya kunyoa nikaenda kuoshwa na mdada,maneno niliyoambiwa na huyo mdada nilistaajabu,nikamuuliza yeye ni kabila gani. akatamka kabila ambalo ni langu,sikuamini.hawa viumbe ni shida
Tushirikishe hayo majibu au huna ujasiri
 
Ash Monica lover lover,,ur sweet love baby kill me,,,!!¡!!!!!!!!!!!
Ushashiba chain ya Shem unaanza kusumbua eeh!!?
 
Eti kaka nikukande mgongo kidogo?nikamwambia hapana nasafisha tu kidevu naondoka,akadakia kusema au nikitoka kazini nije ulipo nikufanyie massage?hapo ndo nikajua nimezungukwa na pepo
Mkuu huko,ndo lugha za kazi zao hizo!!teh teh teheee
 
Eti kaka nikukande mgongo kidogo?nikamwambia hapana nasafisha tu kidevu naondoka,akadakia kusema au nikitoka kazini nije ulipo nikufanyie massage?hapo ndo nikajua nimezungukwa na pepo
Ukiwa si mpenzi wa hayo mambo ya kukandwa ishia tu kwa kinyozi, akiishakunyoa mwambie akusafishe kidogo halafu uondoke. Hiyo mitihani, ni rahisi kushawishika!!
 
Habari zenu!

Nimewaita huku ilituzungumze machache yanayowahusu,
Hivi kwann mntufanya sisi kama vitendea kazi vyenu?
Nimejaribu kufuatilia michango yenu ktk threads mbalimbali nimegundua hamuoni thamani yetu kbsa.
Niwakumbushe tu sisi ndiyo dada zenu, mama zenu, shangazi zenu, Bibi zenu na pia watu wa muhimu sana kwenu.
Mungu kutuumba wajinsia ya kike hakuwa namaana kawapa watumwa, bali alifanya vile kukamilisha familia.
Familia haiwezi kuwa kamili kama hakuna mwanamke na mwanaume.
Msijisahau enzi ya mfumo dume imepitwa na wakati, wengi wenu hata Matunzo kwenye familia hamtoi, wake zenu ndo kila lkn bado mkitoka vijiweni hamna jipya zaidi ya kusema wake zenu.
Emu badirikeni. Zingatieni hayo. Haya nende mkaendelee na shughuli zenu.

Mkasa wa leah2 umenifanya niwaandikie haya.

Asante.
Mimi sipo hivyo tena nimetoka kumfulia wifi yako pamba zake au kamtoko flani kinamuhusu,,,
 
Monica, habar za ndoa mpya?

nataka nikusihi hujaolewa ili kwanza utimize ndoto zako pekee, ndani ya ndoa,pasi kujua ndoto za mmeo ni zipi?kinachoonekana hapa, LEAH hakujua ndoto zammewe, yeye alikurupuka, akampangia mmewe, ohooo subiri nimalize mastazi, ndoa sio mastazi bhna ndoa ni watoto, komeni nyinyi vischana visivyo na adabu,yan wwe mi nakuoa unaniambia mastaz what is mastz? mme wa lea ni mvumilivu mimi mimba ningemtia mama mkwe na si mdogo mtu pumbafu, mastazi inazuia kuzaa, wanawake wa vijijini wanalima maekali uku na mimba kuanzia mwezi wa kwnza mpaka wa tisa wewe mimba unaona tatzo, pumbafu,Monicca nakusihi, tanua paja, zunguzsha viungo, mmeo anataka mtto.sio mastazi
 
Back
Top Bottom