Wanaume, huwa mnaharakia nini?

Wanaume, huwa mnaharakia nini?

No reforms, no election.

Moja kwa moja kwenye mada, hivi nyie wanaume huwa mna shida gani?

Wakati wa mizagamuano hamtaki kabisa kutumia muda kutuandaa, mnara ukisoma 5G nyie mnataka kuzama tu, shida ni nini?

Mna haraka ya nini?, ndege kashakuwa wako manati ya nini eti?

Wanaume wenye hii tabia mbadilike mnatutoa kwenye mood🥲
Muda ule akili yetu huwa haisomi,ni kichwa cha chini ndio huwa kinaamua kila kitu.
Lakini ukiachana na hilo nyie wanawake huwa ni vigeugeu huwa hamchelewi kugeuza kibao mambo yakabadilika,hamchelewi kukumbushia mambo ya nyuma kwa mfano kuna maswali huwa mnauliza"mbona siku ile nilikwambia unipe hela ya kusuka ukakataa,mbona nilikwambia unilipie madeni ya vikoba ukakataa,mbona siku ile nilikuomba uninunulie viatu ukakataa" sasa haya maswali ukikosea tu kujibu mambo yanageuka maana mwanamke huamini muda ule sio silaha yake,kwa hiyo ndio maana wanaume wanaona ngoja kwanza aweke alama kwa ajili ya heshima kisha mambo mengine tutajua mbele ya safari.
 
No reforms, no election.

Moja kwa moja kwenye mada, hivi nyie wanaume huwa mna shida gani?

Wakati wa mizagamuano hamtaki kabisa kutumia muda kutuandaa, mnara ukisoma 5G nyie mnataka kuzama tu, shida ni nini?

Mna haraka ya nini?, ndege kashakuwa wako manati ya nini eti?

Wanaume wenye hii tabia mbadilike mnatutoa kwenye mood🥲
Khaaa wewe kwa nini usijiandae ili twende na muda?
 
No reforms, no election.

Moja kwa moja kwenye mada, hivi nyie wanaume huwa mna shida gani?

Wakati wa mizagamuano hamtaki kabisa kutumia muda kutuandaa, mnara ukisoma 5G nyie mnataka kuzama tu, shida ni nini?

Mna haraka ya nini?, ndege kashakuwa wako manati ya nini eti?

Wanaume wenye hii tabia mbadilike mnatutoa kwenye mood🥲
Je ilikua na ulazima kutolea mfano wakat huo ulioutaja!
 
Mapenzi hayawezi kunoga kama hamuandaai, mkichubuana je?
Mwanaume rijari anaweza kumaliza haja zake kwa kutumia ukwapa wa mwanamke na mafuta ya nazi ndani ya dakika 5 za shabaha. Why sasa apoteze muda kumuandaa mwanamke wakati kila m'moja anajitegemea katika kujipa raha.

Kwa kifupi , mwanaume kufanya na mwanamke muda mrefu ni kupotezeana muda tu akimsaidia mwanamke ambaye mwishoni hana shukurani.

One time my lady alileta za kuleta nikachukua dumu la mafuta ya alizeti, nikamwaga kwenye sakafu,nikadownload picha ya wema sepetu kipindi akiwa miss Tanzania, huku nikiitazama ile picha kwa jicho moja nilnoa hili jambia kwenye ule utelezi malumaluni huku nikijinasibu kuwa ni upaja wa wema sepetu,ndani ya dakika 3 nikamaliza haja zangu nikadeki sakafu nikarudi kulala. Nikwambie tu mwanaume rijali hashindwi na kitu.
 
Mwanaume rijari anaweza kumaliza haja zake kwa kutumia ukwapa wa mwanamke na mafuta ya nazi ndani ya dakika 5 za shabaha.

Kwa kifupi , mwanaume kufanya na mwanamke muda mrefu ni kupotezeana muda tu akimsaidia mwanamke ambaye mwishoni hana shukurani.

One time my lady alileta za kuleta nikachukua dumu la mafuta ya alizeti, nikamwaga kwenye sakafu,nikadownload picha ya wema sepetu kipindi akiwa miss Tanzania, huku nikiitazama ile picha kwa jicho moja nilnoa hili jambia kwenye ule utelezi malumaluni huku nikijinasibu kuwa ni upaja wa wema sepetu,ndani ya dakika 3 nikamaliza haja zangu nikadeki sakafu nikarudi kulala. Nikwambie tu mwanaume rijali hashindwi na kitu.
😂😂😂Huu uji sio chai
 
Ana hoja asikilizwe 💯

giphy.gif
 
Yaan
No reforms, no election.

Moja kwa moja kwenye mada, hivi nyie wanaume huwa mna shida gani?

Wakati wa mizagamuano hamtaki kabisa kutumia muda kutuandaa, mnara ukisoma 5G nyie mnataka kuzama tu, shida ni nini?

Mna haraka ya nini?, ndege kashakuwa wako manati ya nini eti?

Wanaume wenye hii tabia mbadilike mnatutoa kwenye mood🥲
Yaani mnadhani sie wanaume tuna kazi hiyo tu?
Kichwa kinawaza mambo mengi,
Nawaza kodi, Ada za watoto, bili za maji na umeme, tozo, bado muda huo nawaza deni la Taifa halafu mboo imebahatika kusimama bora nizamishe chap ntakuwa nakuandaa huku imo ili isije kulala nikiwa sijaingiza
Yaani nipoteze muda kukushikashika mara kukunyonya mwishowe nakuangalia usoni macho yanakutana nakuona unavyoniigizia kama unaenjoy!
 
No reforms, no election.

Moja kwa moja kwenye mada, hivi nyie wanaume huwa mna shida gani?

Wakati wa mizagamuano hamtaki kabisa kutumia muda kutuandaa, mnara ukisoma 5G nyie mnataka kuzama tu, shida ni nini?

Mna haraka ya nini?, ndege kashakuwa wako manati ya nini eti?

Wanaume wenye hii tabia mbadilike mnatutoa kwenye mood🥲
unazungumzia Generation Z 😛 ?, kama kwa sisi Generation X, tulifanya hayo makosa tulipokuwa trainers, kwa sasa GEN X akifanya hivyo basi ameamua kufanya summary kwa makusudi
 
Back
Top Bottom