Hapa ndo inapokuja tofauti ya akili ya mwanamke na mwanaume katika kutafsiri mapenzi! Kwa mwanamke anakwenda extra miles kutaka kujuwa kwanini imekua hivyo. Mwanaume utakata long story short kwamba aamue tu kutokwenda biashara inakua imeisha.Mambo ya kawaida tu hayo kwa mwanamke. Hajakulazimisha kwenda nyumbani kwake. Amekuomba! Hivyo una hiyari ya kwenda, au kutokwenda.
Wanaume wenzangu muwe mnajifunza psychology ya wanawake kupitia nyuzi kama hizi.hii itakusaidia kuishi vema na mwenzi wako.Point yangu ni kwamba ,hatufahamiani, then uniite kwako nyumbani, hiyo ni sawa? Itakuwa kashaita wanagapi kwenye magroup aliyopo?
We ushamkubali tatizo unahitaj akuhakikishie usalama wakoPoint yangu ni kwamba ,hatufahamiani, then uniite kwako nyumbani, hiyo ni sawa? Itakuwa kashaita wanagapi kwenye magroup aliyopo?