Wanaume hebu tuulizane, unaanzaje kumpiga mwanamke?

Wanaume hebu tuulizane, unaanzaje kumpiga mwanamke?

Kingsharon92

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
7,936
Reaction score
10,561
Habari wazeee kwa vijana?
Leo nimekaa nikatafakari Sana bila majibu
Hivi mwanaume kabisa umekamilika
Unampigaje mwanamke mpaka unamjeruhi mangeo wengine mpaka kuua
Huwa mnaanzaje?
Hebu jiulize Eva alisababisha Adam akafukuzwa pale Edeni
Ila mwanaume hakumaind Wala Nini akabeba mke wake akamkumbatia maisha yakasonga
Leo hii baadhi yetu mnakwama wapi nauliza Tena huwa mnaanzaje kupiga wanawake?

Majibu tafadhali
 
Habari wazeee kwa vijana?
Leo nimekaa nikatafakari Sana bila majibu
Hivi mwanaume kabisa umekamilika
Unampigaje mwanamke mpaka unamjeruhi mangeo wengine mpaka kuua
Huwa mnaanzaje?
Hebu jiulize Eva alisababisha Adam akafukuzwa pale Edeni
Ila mwanaume hakumaind Wala Nini akabeba mke wake akamkumbatia maisha yakasonga
Leo hii baadhi yetu mnakwama wapi nauliza Tena huwa mnaanzaje kupiga wanawake?

Majibu tafadhali
Wanawake wengi wanapigwa mpaka kuuwawa kwa ujinga wao tu, hamna kingine....hata wewe kama ni mwanamke ukiwa mjinga utapigwa sana .... mwanamke mjinga upigwa sana tena mpaka kuuwawa..
 
Wana matumizi mabaya ya nguvu zao.
Badala mwanaume atumie kupambana kwenye ngumi za kulipwa,eti anagombana na mtu ambaye anajua kabisa atamshinda.

Mimi huwa nasema kila siku kwamba ukijiona una nguvu nenda kafuane na akina John Cenna na Undertaker huko kwenye mieleka.
 
Habari wazeee kwa vijana?
Leo nimekaa nikatafakari Sana bila majibu
Hivi mwanaume kabisa umekamilika
Unampigaje mwanamke mpaka unamjeruhi mangeo wengine mpaka kuua
Huwa mnaanzaje?
Hebu jiulize Eva alisababisha Adam akafukuzwa pale Edeni
Ila mwanaume hakumaind Wala Nini akabeba mke wake akamkumbatia maisha yakasonga
Leo hii baadhi yetu mnakwama wapi nauliza Tena huwa mnaanzaje kupiga wanawake?

Majibu tafadhali
Mwanamke hapingwi anashikishwa tu adabu ili anche jeuri dharau uongo na shombo wa naudhi sana hao wa Dudu hata kama huna lengo la kuumiza utajikuta ume uumiza tu.......
 
Habari wazeee kwa vijana?
Leo nimekaa nikatafakari Sana bila majibu
Hivi mwanaume kabisa umekamilika
Unampigaje mwanamke mpaka unamjeruhi mangeo wengine mpaka kuua
Huwa mnaanzaje?
Hebu jiulize Eva alisababisha Adam akafukuzwa pale Edeni
Ila mwanaume hakumaind Wala Nini akabeba mke wake akamkumbatia maisha yakasonga
Leo hii baadhi yetu mnakwama wapi nauliza Tena huwa mnaanzaje kupiga wanawake?

Majibu tafadhali
Unaongelea mke/ girlfriend au mwanamke yeyote? Kwa mke au mpenzi ni tatizo, ila kwa mwanamke mwingine yaweza kutokea kutokana na jambo baya alilotenda.

Halafu hiyo Edeni iliwahi kuwepo kweli? Kama haikuwahi kuwepo kwani mpaka leo tumeshindwa kui-locate, basi hata huyo Adam na Eva/ Hawa ni story tu za kufikirika!
 
Mwanamke hapingwi anashikishwa tu adabu ili anche jeuri dharau uongo na shombo wa naudhi sana hao wa Dudu hata kama huna lengo la kuumiza utajikuta ume uumiza tu.......
Hivi mkuu tuliambiwa kuvumiliana na kichukuliana kwa Kila namna
Haya wew ukimkosea mwenzio akufanye Nini?
 
Unaongelea mke/ girlfriend au mwanamke yeyote? Kwa mke au mpenzi ni tatizo, ila kwa mwanamke mwingine yaweza kutokea kutokana na jambo baya alilotenda.

Halafu hiyo Edeni iliwahi kuwepo kweli? Kama haikuwahi kuwepo kwani mpaka leo tumeshindwa kui-locate, basi hata huyo Adam na Eva/ Hawa ni story tu za kufikirika!
Eden ndugu yangu nimerithi tu hadithi za wazungu wakatuambia Mambo kedekede
 
Habari wazeee kwa vijana?
Leo nimekaa nikatafakari Sana bila majibu
Hivi mwanaume kabisa umekamilika
Unampigaje mwanamke mpaka unamjeruhi mangeo wengine mpaka kuua
Huwa mnaanzaje?
Hebu jiulize Eva alisababisha Adam akafukuzwa pale Edeni
Ila mwanaume hakumaind Wala Nini akabeba mke wake akamkumbatia maisha yakasonga
Leo hii baadhi yetu mnakwama wapi nauliza Tena huwa mnaanzaje kupiga wanawake?

Majibu tafadhali
Subiri siku ukioa ndiyo utajua huwa wanaanzaje. Endelea kujipikia geto tu huku ukiendelea kujiuliza.
Kipindi bado mdogo, nilikuwa najiuliza sana. Inawezekanaje mtu mzima anakosa hata 5,000 mfukoni? Ila nilipokua. Nilijionea mwenyewe
 
Subiri siku ukioa ndiyo utajua huwa wanaanzaje. Endelea kujipikia geto tu huku ukiendelea kujiuliza.
Kipindi bado mdogo, nilikuwa najiuliza sana. Inawezekanaje mtu mzima anakosa hata 5,000 mfukoni? Ila nilipokua. Nilijionea mwenyewe
Nina miaka 39 ya ndoa nilishakuwa mkongwe wa changamoto za ndoa Ila so kumpiga mwanamke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom