- Thread starter
- #81
Ndiyo nina wawili bibie, na niko very happy and healthyBro una wake wawili?
Ndiyo nina wawili bibie, na niko very happy and healthyBro una wake wawili?
Safi!!!Hawa wanawake mkuu usiombe ukakutana na mbovu. Jifanye uko bize ili familia yako na yeye mkeo akiwa mmoja eti iishi maisha Bora.
Watoto wakikuakua kidogo anaanza kuwapa sumu kali mno inayopelekea watoto wako wa kiume kukosa ukaribu na baba yao wakiamini simulizi za mama yao.
Na kama umeshawai kugundua,baba anayefanya kazi bega kwa bega na mtoto wake wa kiume,tuseme labda kazi ya ufundi magari,mtoto huyu akiwa imara kwenye kazi hamtengi baba yake hata kidogo,huwa ni washikaji.
Hii ni tofauti na baba ambaye watoto wake wakiwa likizo ana wapangia kazi za kufanya tofauti na anazofanya yeye na kwa mtindo huu mama hutumia hii nafasi pengine kwenda kufanya naye hiyo kazi ama kumbadilishia ratiba ili ampe sumu.
Kama ambavyo kina mama (wa zamani) hukaa na binti zao jikoni,nasi kina baba tujitahidi kuwatumia vijana wetu kama saidia fundi kwenye shughuli zetu.
Hawa kina mama wanaenda mbali sana mpaka kuwakagua binti zao sehemu za siri na hata maziwa na kuwachombeza vi maneno na hivyo binti zao huwachukulia kama marafiki zao.
Upande wetu sasa wanaume kijana wako akiacha kuoga adhalani tu ndio mwisho wa kumkagua ama kuona viunga vya ikulu yake na hata kutaniana hakupo.
Kwa mfano;
Ni 95% ya wanaume pindi wanapofikia wakati wa kuoa wa kwanza kuuziwa wazo ni mama na baadae mama hutoa maagizo wazo hilo lipelekwe kwa baba ama mama mwenyewe ndiye anaenda kumpa taarifa mmewe.
Mwanaume mwenzangu,kazi unayofanya hakikisha mwanao wa kiume naye anafanya nawe hata kama siyo hobby yake ila awe anasogeza tofali, spanner,anaingiza kamba za viatu nk.
Ivan Stepanov pitia summary hiziKama hukuwa na mahusiano mazuri na huyo mwanao usitegemee maajabu.
WaMama wanabembeleza, wanaonya kwa upole.
Baba wewe unataka uogopwe kama Simba, unakoroma tuu.
Fainali uzeeni.
Mimi kama mwanaume siwezi kwenda kuishi na mtoto wangu wa kiume kwake labda kukaa siku mbili Tatum na kusepa. Akina mama ndiyo wanaweza kukaa tena wengine hadi wanafurugana na wakwe zao. Aisee mimi kama chaliangu hawezi nipa msaada pale pale kwangu aniache nipambane na Hali yanguNani ni mfaidi wa ndoa, kati ya mke, watoto na mme? Mstaafu wa miaka 68 alifanya kazi maisha yake yote ili familia yake iishi katika first class life style, na kulinda hiyo 'status quo' limemgharimu karibia maisha yake yote, hassling for the wife and children, akijinyima kila kitu kuhakikisha watoto wake wanasoma shule nzuri za private na wapate kozi nzuri vyuoni.
Mke wake ambaye amefikisha 60yrs amechukuliwa na mtoto wake wa mwisho Amsterdam in the Netherlands, mzee anapambana na high blood pressure, na kisukari, lakini upweke kwenye bagalow lake ndo shida kubwa kuliko, mzee hakuzaa watoto wengi aliza wawili tu. Ambao wameamua kuchukua na kulea mama yao na kuacha baba yao.
Hivi kwanini watoto hususani wa kiume wakikua wana tuchukia sisi Baba wakati sisi ni factor kubwa katika mafanikio yao?
Wanatutenga na kuthamini mama zao wengine wanatamani tufe mapema wachukue urithi loh!
NB.
1. Wanaume tujiandeni kwa wakati wa kustaafu hao watoto na wake zetu hubadilika na kuwa adui zetu tukistaafu (nolonger productive)
2. Early birth and late birth ni muhimu Zaeni watoto wa ukubwani kwa mke mdogo ukiwa 55 to 60yrs ( ukistaafu angalau uwe na wakukaa nao nyumbani, monogamy ina maumivi badaye polygamy inatatua shida zingine badaye.
View attachment 2948887
Hicho ndo watu wanakosa kujua wanawake wote hawawezi kua na roho mbaya ya kukutenga, jaribu kua nawake hata wawili kwa mpigo.Angeoa wake wanne yote yasingemkuta.
Hapo mkuu ni kulelewa, hamna mapenzi tena.Watu walikuwa wanamcheka yule raisi wa ufaransa kuoa mwanamke aliemzidi umri,yeye miaka 46 mke wake miaka 70,hapa mke ataleta ujanja gani,akiondoka unavuta wa size yako,sio wewe miaka 70 mke 46,hapa mke akiondoka lazima ulie na kusaga meno....
Sijasema mtoto akikosea umbembeleze.Kwahiyo wewe mtoto akosei eti umbebeleze, kisa unataka akupende uzeeni, hapana hiyo biashara sifanyi, kama kaamua hivo basi ni kudra za Mungu siwezi kujipendekeza kwa mtoto kisa kupendwa uzeeni.
Hicho ndo watu wanakosa kujua wanawake wote hawawezi kua na roho mbaya ya kukutenga, jaribu kua nawake hata wawili kwa mpigo.
Hauna mpango wa kuongeza?Ndiyo nina wawili bibie, na niko very happy and healthy
Huyu anayesonga nguna ndio dingi yako sioNani ni mfaidi wa ndoa, kati ya mke, watoto na mme? Mstaafu wa miaka 68 alifanya kazi maisha yake yote ili familia yake iishi katika first class life style, na kulinda hiyo 'status quo' limemgharimu karibia maisha yake yote, hassling for the wife and children, akijinyima kila kitu kuhakikisha watoto wake wanasoma shule nzuri za private na wapate kozi nzuri vyuoni.
Mke wake ambaye amefikisha 60yrs amechukuliwa na mtoto wake wa mwisho Amsterdam in the Netherlands, mzee anapambana na high blood pressure, na kisukari, lakini upweke kwenye bagalow lake ndo shida kubwa kuliko, mzee hakuzaa watoto wengi aliza wawili tu. Ambao wameamua kuchukua na kulea mama yao na kuacha baba yao.
Hivi kwanini watoto hususani wa kiume wakikua wana tuchukia sisi Baba wakati sisi ni factor kubwa katika mafanikio yao?
Wanatutenga na kuthamini mama zao wengine wanatamani tufe mapema wachukue urithi loh!
NB.
1. Wanaume tujiandeni kwa wakati wa kustaafu hao watoto na wake zetu hubadilika na kuwa adui zetu tukistaafu (nolonger productive)
2. Early birth and late birth ni muhimu Zaeni watoto wa ukubwani kwa mke mdogo ukiwa 55 to 60yrs ( ukistaafu angalau uwe na wakukaa nao nyumbani, monogamy ina maumivi badaye polygamy inatatua shida zingine badaye.
View attachment 2948887
🤣🤣🤣 ww ukizingua ujanani usitarajie faraja uzeeniNyie wanawake mno roho mbaya kuanzia leo ntaangalia mwanamke wangu na jicho la tatu loh
Hapana mkuu sio ndugu yangu in just for illustrationHuyu anayesonga nguna ndio dingi yako sio
Hapo ndipo unapokuja umuhimu wa kuoa wake wengi. Wanawake wengine huwa wana tabia ya kuwamezesha sumu watoto wao juu ya baba yao.Nani ni mfaidi wa ndoa, kati ya mke, watoto na mme? Mstaafu wa miaka 68 alifanya kazi maisha yake yote ili familia yake iishi katika first class life style, na kulinda hiyo 'status quo' limemgharimu karibia maisha yake yote, hassling for the wife and children, akijinyima kila kitu kuhakikisha watoto wake wanasoma shule nzuri za private na wapate kozi nzuri vyuoni.
Mke wake ambaye amefikisha 60yrs amechukuliwa na mtoto wake wa mwisho Amsterdam in the Netherlands, mzee anapambana na high blood pressure, na kisukari, lakini upweke kwenye bagalow lake ndo shida kubwa kuliko, mzee hakuzaa watoto wengi aliza wawili tu. Ambao wameamua kuchukua na kulea mama yao na kuacha baba yao.
Hivi kwanini watoto hususani wa kiume wakikua wana tuchukia sisi Baba wakati sisi ni factor kubwa katika mafanikio yao?
Wanatutenga na kuthamini mama zao wengine wanatamani tufe mapema wachukue urithi loh!
NB.
1. Wanaume tujiandeni kwa wakati wa kustaafu hao watoto na wake zetu hubadilika na kuwa adui zetu tukistaafu (nolonger productive)
2. Early birth and late birth ni muhimu Zaeni watoto wa ukubwani kwa mke mdogo ukiwa 55 to 60yrs ( ukistaafu angalau uwe na wakukaa nao nyumbani, monogamy ina maumivi badaye polygamy inatatua shida zingine badaye.
View attachment 2948887
Correct statement.Mungu ataendelea kubaki na wewe hata watoto na mke wakikukimbia.
Kama kipindi cha nyuma hukukaa vyema na familia yako usitarajie uzeeni wao ndio wakae vizuri na wewe. Huo wakati wengi wenu mnakua hamna pa kushika mshazeeka na mbaya zaidi ukute na pesa hakuna mnaanza kutafuta huruma kwa familia zenu. Kila mtu atavuna alichopanda.Kwa mazuri yote anae kufanyia huwezi kumsamahe huyu mwana ume unajua, sisi wanaume tunasamehe sanaa hatujui kueleza makosa ya wake zetu tunameza tu, ila wanawake wanavituko nyumbani sema tuna waacha tu
Yaan wee acha tyuuh,mitandao bwana. We si nimekukuta kule unamsifia mkeo anavyojua kulea watoto wako vizuri....



