miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
- Thread starter
-
- #101
Huyo mtu wako ana matatizo ya Kiakili yanayosababishwa na kuwa na dushe ndogo, na ninavyoona he is somehow handsome, kama nimekosea nikosoe hapa hapa!
Nikiona picha yako na ya Mpz wako, ninao uwezo wa kuyajibu maswali yako yote kwa ufasaha kwa sababu inaelekea yanasababishwa na peronality ya Mwenzio!
Pole sana, mimi nikiona mwanamke ananyanyasika for love huwa napata tabu sana kujua mwanaume anamfikiriaje mwanamke huyu mpk amfanyie hv, just give her black and white ili kama kuna kumalizana mmalizane!habari zenu wanajf .....
kuna jambo linanitatiza sana limenikuta mara kadhaa na hata baadhi ya rafiki zangu. nimejikuta na maswali mengi kutokana na hilo jambo:
- mnaposema unataka niwe hot maana yake nini? au unataka niweje? tunapenda wenza wetu wawe wanavutia kimahabamahaba all the time around, bahati mbaya hili si jepesi kwa mwanamke mwenye majukumu yake km vile kazi ama familia, unless muwe waigizaji!
- mwanaume upo mbali na mimi may be mkoa mwingine alafu unaniambia sihangaiki na wewe.. wakati muda wote najitahidi kupiga simu kuchati ? kwa hapa huwa mnataka tufanye nini? penzi limefika mwisho, natafuta sababu tu!
- ulikuwa mbali penzi lililegalega umekuja karibu unaamua kuniacha kuna kuwa kuna nini hapo jamani? nilikosa sababu ya wazi wazi kukuacha, nikakurupuka!
- unapopigiwa simu upokei alafu baada ya mda unakuja kupokea au unapiga ujaulizwa unaanza kunifokea na kunigombeza huwa hapo unaficha nini ? hii inaitwa defensive mechanism! najishtukia, nafsi inanisuta! huna chako, ingekuwa bao la kete, hapa umeliwa mummy!
wanawake mnakaribishwa ila nilitaka wanaume ndo wanijibu ...jamani napata wakati mgumu sana hata kufikiri kuanza upya katika mahusino mengine nahisi ni yale yale tu..... wapenzi wangu nipeni maujanja nifanyaje mimi.... ila theory practical nitafanya mwenyewe....
- pamoja na kuniambia kuwa naudhaifu huo nakuomba msamaha na kutaka kurudiana na wewe bado unakataa tena kwa nguvu zote. najiuliza ni kwamba katika mazuri yote nayo jitahidi kufanya uoni unaona, visababu vidogo? hakuna raha kama kuombwa msamaha na mke ama gf, kwa kuwa na msimamo kama wa huyo jamaa, anamaanisha hataki tena relation na sababu ni kashapata replacement!
naombeni msaada wenu please..
asante mbarikiwe
okey mkuu ila huyu kaka si kiivyo wa kawaida sana sema yupo smart sana
mbona yuko vizuri any way siwezi jua kinachomnyima comfidence kwa kweli?Huyo anajiona ni zawadi kwako kwa hiyo hana haja ya kugharimikia uhusiano wenu.
Kingine ni kuwa ana tatizo la kutojiamini kuwa hakuridhishi kutokana na udogo wa mashine yake na anahisi unatafuta penzi nje!
Kama ni mfupi kwa kimo kuliko wewe, ni jambo linalomsumbua akilini na inamfanya asiwe na confidence na wivu kwa kuwa anadhani unamuona yuko inadequate!
nishamaliza sema najitahidi kuomba msamaha lakini hataki kabisa wakati sina hata kosa.. ila yote ni maishaPole sana, mimi nikiona mwanamke ananyanyasika for love huwa napata tabu sana kujua mwanaume anamfikiriaje mwanamke huyu mpk amfanyie hv, just give her black and white ili kama kuna kumalizana mmalizane!
Nimeyasoma hayo maswali lakini nadhani ulipaswa uwaulize wavulana na sio wanaume...
Usitukane wakunga na uzazi ungalipo. Hii inakuhusu Miss Chaga. Unakumbuka ulivyotuita Mbwa siku za nyuma? Acha kuangaika na Mbwa, tafuta Mbuzi, akikuudhi unamchinja unamla mchuzi. Usipotuomba msamaha unalo.
mbona yuko vizuri any way siwezi jua kinachomnyima comfidence kwa kweli?
Ukiona Ivo Ujue Kashajipatia Mwingine Na Anatafuta Visababu Tu Vya Kukuacha Na Kuhusu Sijui Kuwa Hot Iyo Huwa Tunamaanisha Uvutie Bibie Yaani Uwe Na Mwonekano Wa Mtoto Wa Kike Si Unakua Mchafu Kama Umetoka Shimoni,masinzi Mengi,kikwapa Kama Toilet Za Pale Tosamaganga. Kuhusu Kukuuliza Uliza Kwa Nini Huangaiki Na Yeye Hii Inatokana Na Wewe Kutompa Maneno Matam Muda Mnachat Au Mnaongea Kwa Simu Umeishia Kuuliza Tu Vp Umenunua Ipad Mpya? Mara Ooh Jesca Umeskia Anaumwa,yaani Inshort Unakua Na Maongezi Ya Kawaida Na Hais Utofauti Wako Na Friends Wake.
Hapo Kwenye Kukataa Kurudiana Ni Anakua Ashakuchoka Kutokana Na Tabia Nilizosema Apo Awali Na Anakua Ashapata Kipoozeo Matokeo Yake Anakua Na Hasira Na Ukipiga Simu Anakata Au Hapokei Kabisa.[/QUOTE
Haaaha Kumbe Asante sana
yani akianza mapicha picha
ujue kashakuchoka tu coz
y aanze kudai u-hot leo,kipindi
cha nyuma hakujua kuna u-hot?ebooo!!
Ubarikiwethank u sana
Tip yangu hii: for the next relationship chagua anayekupenda sana wakati wewe unamuona wa kawaida tu hata humpaparikii, over time utaniambia mwenyewe utakavyo-enjoy upendo wake
Chunguza kisha ukirekebishe au muache! Wakati mwingine unaweza usione tatizo lakini yeye linamsumbua!
Sorry I have to say this...Tatizo wanawake wengi wakishapata mchumba au mume ndio kujijali kwao basi tena. Yani unaamkuta mwanamke hata mafuta ya kunukia kidogo hapaki,kimnunulia gari mpe wiki tatu tuu hulipandi huko ndani kama vile kulikua na vita ja Maji Maji, Siku hizi eti wameanza mchezo wa kuvaa vitu vya kiume...eg Saa, Tshrt zetu, Boxers, Shorts zetu....jamani this is not Sexy....tunataka wasichna..ukivyaa Tsht yangu mimi nakuona kama Mdogo wangu wa kuime tuu!
Tuoneeni huruma jamani. Unakuta meamka asubuhi uko bafuni unaoga na kupiga zako Mswaki demu anaingia bafuni anakaa kwenye toilet seat na kuanza Kunya wakati wewe uko hapo...Kha jamani dada zetu msijisahau kiivyo. We still want you to look the same or Better from the day we met you!
okey nimekuelewa mkuu