Ulikuwa na girlfriend, mmedumu nae kwa miaka 4, mkaachana. Mlikuwa na marafiki wengi tu, wake kwa waume, uliowatambulisha kwake na waliotambulishwa kwako. Baada ya kuachana, msichana anakutana na rafiki yako mmoja, alikuwa hajui kama mlishaachana, na baada ya maongezi anagundua hilo. Wakapeana namba za simu na kwa bahati ofisi zao ziko jengo moja. Lunch wanaenda wote sometimes, na hata mitoko ya weekend wanaweza kuwa wote (huyo mwananume ana mchumba na sometimes wanakuwa wote watatu). Siku moja mdogo wako anawakuta restaurant wanapata lunch, anakupa izo taarifa, je utajisikiaje?
Ulikuwa na girlfriend, mmedumu nae kwa miaka 4, mkaachana. Mlikuwa na marafiki wengi tu, wake kwa waume, uliowatambulisha kwake na waliotambulishwa kwako. Baada ya kuachana, msichana anakutana na rafiki yako mmoja, alikuwa hajui kama mlishaachana, na baada ya maongezi anagundua hilo. Wakapeana namba za simu na kwa bahati ofisi zao ziko jengo moja. Lunch wanaenda wote sometimes, na hata mitoko ya weekend wanaweza kuwa wote (huyo mwananume ana mchumba na sometimes wanakuwa wote watatu). Siku moja mdogo wako anawakuta restaurant wanapata lunch, anakupa izo taarifa, je utajisikiaje?
Kwani X inamaanisha nn
Ulikuwa na girlfriend, mmedumu nae kwa miaka 4, mkaachana. Mlikuwa na marafiki wengi tu, wake kwa waume, uliowatambulisha kwake na waliotambulishwa kwako. Baada ya kuachana, msichana anakutana na rafiki yako mmoja, alikuwa hajui kama mlishaachana, na baada ya maongezi anagundua hilo. Wakapeana namba za simu na kwa bahati ofisi zao ziko jengo moja. Lunch wanaenda wote sometimes, na hata mitoko ya weekend wanaweza kuwa wote (huyo mwananume ana mchumba na sometimes wanakuwa wote watatu). Siku moja mdogo wako anawakuta restaurant wanapata lunch, anakupa izo taarifa, je utajisikiaje?
kwa nini ujisikieje wakati mlishaachana.....?