tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Lakini kama kufuli lenyewe limeegeshwa, au jamaa hajaenda mbali?
Hapo nyama haijawekwa subiri iwekwe kufuli lita yake place.
Lakini kama kufuli lenyewe limeegeshwa, au jamaa hajaenda mbali?
Kumbe nawe ulishaliona hilo. Tatizo hawa wenzetu wa ile jinsia hawajui nini hasa wanafanya. Na ndio maana wale wanaoufahamu ukweli hauwezi mkuta na laana hizo.Nina miaka kumi najiuliza swali hilo juu ya nywele
Leo hii ukimuona mwanmke ananywele asili utafikiri kashushwa toka mbinguni
Hapo kwenye kidoti cheusi ni tatizo la kiufundi la camera. Samahanini kwa usumbufu!