Wanaume ambao hawatumii pombe

Unataka kutuambia maadamu mapdre wa Katoriki ni wanywa pombe basi swala la uzinzi limewapita kuliko wachungaji wa makanisa ya kiprotestant ambao hawanywi pombe
Mkuu elewa nlichokiandika kwanza,ndo maana nimeandika baadhi yao sio wote sipend kugeneralize.Nmeandika kutokana na first hand experience kwa ndg,classmates na hta workmates wa hyo imani.Mambo ya makasisi wa kikatoliki ukiweza anzisha t mada utajibiwa vizuri tu kwa leo sina muda wa kuwajadili.
 

ndio nawaambia wasiwazingizie wao ndio wanapenda wanawake balaaa,akishalewa haangalii sura wala nini Ni anazoa tu
nyie msiokunywa mapenzi yenu hamtegemei konyagi ndio mpate mzuka Ni hisia zenu za kweli ,wao mpaka wanywe kwanza,hata Kuna mtu kakoment hapo anasema bila kiroba hawez kufanya mapenzi
 

nawe ungeanzisha mada hiyo ya wasabato
 
Hakuna wanaume Malaya kama walevi afu wakilewa hawachagui nyama yoyote twende.
 
Ukweli mtupu!!!....Niongezee hapo kidogo,sio tumaini la kumpata,na tumaini la kumgegeda pia ndio kubwa zaidi!!
 
...kata kilevi ujinga ukutoke!..,ujifunze kujenga hoja.,unaposema "mbona hata" umeelewa ulichomaanisha?..unajitekenya afu wacheka mwenyewe ka zoba!
...mengine yote uloandika juu ya wanywa pombe ni shudu tu kama shudu nyingine!
..kawape ng'ombe!
Hahahahaaaaaaaa shkamoo shemeji
 
Kwani Mada inaongelea Mlevi au Mnywapombe? Kuwa ana mu accuse asiyekunywa anapenda Dadaz
 
Unakumbuka hii::::::::::: Mwanamke kumchuna mumeo ni sawa na kujiibia mwenyewe
 
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…