Zekidon
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 1,903
- 569
Naweza kutangaza janga la kitaifa kwa vijana. Niisaidie tu serikali maana naona ipo kimya na watu wanagugumia na maumivu no wonder why familia nyingi hazina amani,kumbe ni matumizi ya muda mrefu ya vidonge vya kuongeza nguvu.
Vijana wadogo kabisa wanatumia hizi mambo kabla ya kukutana na mabinti au kina mama wenye uwezo ili kuwaonesha kwamba ni rijali haswa. Baada ya hapo binti au mama anaanza kutoa matumizi kumantain huduma nzuri anayopata toka kwa kijana.
Huko tuendako maandiko yatatimia kwa mume mmoja kuwa na wake saba kama hali ndio hii. Nawaasa vijana kuacha tabia hii mara moja maana huku ni kujiharibu mapema,kula vyakula vyenye afya, kuacha pombe nakufanya mazoezi ndio mpango mzima.
Vidonge ni hatari
Vijana wadogo kabisa wanatumia hizi mambo kabla ya kukutana na mabinti au kina mama wenye uwezo ili kuwaonesha kwamba ni rijali haswa. Baada ya hapo binti au mama anaanza kutoa matumizi kumantain huduma nzuri anayopata toka kwa kijana.
Huko tuendako maandiko yatatimia kwa mume mmoja kuwa na wake saba kama hali ndio hii. Nawaasa vijana kuacha tabia hii mara moja maana huku ni kujiharibu mapema,kula vyakula vyenye afya, kuacha pombe nakufanya mazoezi ndio mpango mzima.
Vidonge ni hatari